mnaotafuta internship. Pambana upate kwenye NGOs utaifurahia career yako. Ukikuta kuna project inaendelea ndo utafurahi sana, utajifunza kwa vitendo kila kitu ulichokuwa unafundishwa. Kuandika reports, M&E, Project budget, Proposal zinavyoandikwa, Field kukutana na beneficiaries.Mm.mwneyew community economic development hapa degree nipo kitaa natafuta field
Sent using Jamii Forums mobile app
Chukua transcript google aina zote za course zilizomo humu.Soma soma somAAAAAAAAA SOMaaaaaaChukukuaNigusie bas hata aina ya maswal maan kuanza kusoma.notes mzee shughul then tumesoma.masomo mengi sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeshangaa hata mm lakin kada zingn wanapiga story z a maswali mpka unapenda yaniviewers 1k comment 22 tu ina maana wote hamna cha kushare hapa. Mliowahi kuganya saili kwenye kada ya Maendeleo ya jamii na nyie kimya...acheni uchoyo nafasi 800 huwezi zichukua mtu mmoja. Leteni madini hapa
KabisaJAMANI JAMANI JAMANI JAMANI
wote tulioomba kada ya maendeleo ya jamii kwann pia tusitengeneze group la.wasap tukawepo pamoja
Naamini hatutakosa kitu cha kufanya kule.
Ikiwa kupeana michongo ya NGOs na mashirika.
Tufanye hvyo basi
Sent using Jamii Forums mobile app
Tengeneza Mkuu.JAMANI JAMANI JAMANI JAMANI
wote tulioomba kada ya maendeleo ya jamii kwann pia tusitengeneze group la.wasap tukawepo pamoja
Naamini hatutakosa kitu cha kufanya kule.
Ikiwa kupeana michongo ya NGOs na mashirika.
Tufanye hvyo basi
Sent using Jamii Forums mobile app
Anzeni kupiga msuli paper za utumishi ni balaaHivi hii advanced diploma bado vyuo vinatoa cheti chake kweli?