Joseph Waga
Member
- May 8, 2015
- 29
- 3
Lakezone oral bhado. Tuko dilema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole mkuu,View attachment 2666980Hata aptitude test sijafanya nikatumiwa hiyo
View attachment 2666980Hata aptitude test sijafanya nikatumiwa hiyo
Kuna mimi ambae nimefanya test yao tarehe 22/06/2023 naona bado kimya
Nilishaitwa mkuu nikafanya Oral wakaniita tena kukamilisha taratibu zao....dar zoneUlipata ngapi mkuu na upo zone gani
DSS AU BANK OFFICER?Nilishaitwa mkuu nikafanya Oral wakaniita tena kukamilisha taratibu zao....dar zone
DSS BANCASSURANCEDSS AU BANK OFFICER?
Mshahara laki tatu na hamsini na Tisa......hongera saaanaDSS BANCASSURANCE
SIO MBAYA KABISAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAMshahara laki tatu na hamsini na Tisa......hongera saaana
Kabla au baada ya kodi?Mshahara laki tatu na hamsini na Tisa......hongera saaana
Baada ya kodi
Naomba namba yako kuna issue nataka nikuulizekuna ambao hawajapata email?
Maswali ni kuhusiana na nini zaidi?Leo mimi nmefanya kwa dar es salaam zone
du bank laki tatu au ni kazi ya mkataba mwaka mwaka hata kama ni ivyo mbna wengne permanent wanalipwa pesa nzuri sijui laki tisaMshahara laki tatu na hamsini na Tisa......hongera saaana
Mm niliwahi kufanya huko nyuma sasa sijui kama format imeshabadilika .Kwanza kwenye aptitude hakukuwa na swali lolote linalohusu bank sijui mission wala vision.Wakuu maswali ya Aptitude test sana ni yapi maana nimetumiwa email ya test itakayofanyika jumanne kwa application za disemba.
Google free online aptitute test, zinakuja website nyingi tu zenye hizo test,. Jipime huko. Wanachomoa huko, ni copy and paste tu.Wakuu maswali ya Aptitude test sana ni yapi maana nimetumiwa email ya test itakayofanyika jumanne kwa application za disemba.
Swadakta!Google free online aptitute test, zinakuja website nyingi tu zenye hizo test,. Jipime huko. Wanachomoa huko, ni copy and paste tu.