Weeeh hatari hiyoNimeona waombaji 7600+ kwa nafasi 300 kazi ipo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weeeh hatari hiyoNimeona waombaji 7600+ kwa nafasi 300 kazi ipo.
Nani kasema hahahaaInawezekana labda ila mimi tayari nishafanya maybe wanajua watu wata share info kufikia usiku.
Sio 90??wanadai inategemeana na ufaulu .lakini below 50 ni no
Vipi ndugu, uliitwa? Mimi pia nimefanya leoView attachment 2535799
Nimepata ivyo ndugu zangu kuna kuitwa kweli hapa
Mmekua akili mnemba ?Sio 90??
Jamani waliofanya interview ya DSS ya Aptitude test tarehe21/10/2024.Tujuane jamani kwa lolote tufahamishane..
Mm nimefanya vip bado hawajaanza kuita oral maana tumbo joto nimechoka kukaa mtaani bila kaziJamani waliofanya interview ya DSS ya Aptitude test tarehe21/10/2024.Tujuane jamani kwa lolote tufahamishane..
Bado hakuna taarifa ndugu,tuendelee kusubiri..Mimi niliomba kma nikiitwa oral niitwe western zone.Japo sijajua watatumia vigezo Gani kuita.Mm nimefanya vip bado hawajaanza kuita oral maana tumbo joto nimechoka kukaa mtaani bila kazi
Bado hakuna taarifa ndugu,tuendelee kusubiri..Mimi niliomba kma nikiitwa oral niitwe western zone.Japo sijajua watatumia vigezo Gani kuita.
Niliona jana kuna mtu kasema wameshaanza kuita Lake zone. Alafu siunaitwa zone uliyoombea hiyo Kwani wewe uliombea zone gani...? Alafu nenda kwenye lile tangazo la kazi lile la nafasi 300 direct sales officer soma zile comment mbaka page ya mwisho kabisa utaona watu wanasema washaanza kuitwa oralBado hakuna taarifa ndugu,tuendelee kusubiri..Mimi niliomba kma nikiitwa oral niitwe western zone.Japo sijajua watatumia vigezo Gani kuita.
Congratulations 🎊.Oya sio poa hio miswali mkule kabisa wazeeView attachment 2873413
Ulichaguliwa NMb kipindi hikiJamaniii anaejua wanaulizaga maswali gani kwenye aptitude ya direct sales ya NMB anisaidie
mkuu ulitoboa hii Nafasi?View attachment 2535799
Nimepata ivyo ndugu zangu kuna kuitwa kweli hapa
Ulifanya kazi hii ya Direct sales Agent mwaka gani mkuu?
Naomba connection ya kazi ,unaonekana una mchango wa maana kabisa kwa taifaShida sio test shida ni nyie hamjui kutumia computer halafu kingine hamuwezi kutatua jamboo kwa haraka .
Halafu mnaajiriwa ndio maana nchi haiendelei vile inapaswa ina watu kama nyie sasa mnajadili . Mjuzi mmoja ndio anajitokeza kwa bahati yeye mwenyewe sio mjuzi kivile anawalamba lamba ndio anawafundisha jinsi yakufanya . Shame shame
Achana na matapeli mkuu.Naomba connection ya kazi ,unaonekana una mchango wa maana kabisa kwa taifa
Tatizo nyie hamuwezi kuwa na shukrani mkionyeshwa link zakujiungaNaomba connection ya kazi ,unaonekana una mchango wa maana kabisa kwa taifa
Uzuri wa Jf kila mtu ni boss.....Tatizo nyie hamuwezi kuwa na shukrani mkionyeshwa link zakujiunga