Mliowahi kuamka asubuhi na kukuta hali hii naombeni ushauri!

UMUNYU

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2017
Posts
726
Reaction score
564
Hali hii isiyo ya kawaida hutokea usiku mtu ukiwa umelala! Unapoamka unakuta mikwaruzo hiyo hasa tumboni, shingoni, mapajani, kifuani au mgongoni!! Husababishwa na ninini?

Maana inawasha balaa! Naombeni majibu muafaka! Nimeweka picha!!
 
Hakikisha usafi wa kucha zako
oga vizuri kabla ya kulala
Hakikisha unapolala ni pasafi na hakuna wadudu( Mbu, kunguni, papasi nk)
Hii itasaidia kuepuka kujikuna usiku

Ikiendelea basi ujue kuna shamba la miiba unaendaga kulima usiku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…