kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 10,406
- 19,892
Kama una moyo mwepesi unaweza kutapikaHivi huwa hawanuki kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama una moyo mwepesi unaweza kutapikaHivi huwa hawanuki kweli
Dah umenikumbusha mbali mtoto Abigail alinipenda kuliko kawaida,kwa mara ya kwanza ndio niliona mtoto wa kizungu anataka kujiua kisa kapuku mimi sitosahau....Demand yake ilikuwa ni moja tu nimuoe kisha tukaishi moja kati ya nchi ya Scandinavia tatzo ni kwamba mimi nilikuwa nishaoa na nina familia baada ya kumfichaficha ukweli ikabidi siku moja nimtobokee tu kwamba am arleady taken hapo ndipo mawazo ya kutaka kuchukua maamuzi magumu yalivyompata..She is educated woman,Beautiful,Rich na wife material kabisa,sifa ulizozitaja hapo zote wanazo,Kulia ni mimi kushoto ni yeye enzi zetu somewhere in Tz
View attachment 2198556
Ongeza Mkuu; hautojutia....huyo jamaa anazungumzia wazungu wa Ulaya. Wako watoto wa kizungu hapo South Africa; wengine Namibia na Mozambique, hao ndio utaenjoy zaidi. Maana wana tabia za kizungu na za ki-afrika pia. Mfano - wanajua kukata viuno vizuri - kuliko hata wa-afrika wenzetu....Ngoja niweke kambi maana nataka kuomgeza mke mzungu
Taste ni tofauti kabisa...jaribu utaona...Labda groups lakini group moja wa afrika, ulaya, asia na amerika ni ileile.
Wanajua kuwa suala zima la mapenzi na kufika kileleni ni jitihada za kila mtu 😀😀😀Halafu wana mtindo mmoja, ukiwa unapeleka moto, na yeye anachochea pale kwenye clit.. anakuwa anajisugua.
Mabaharia wenzangu wanalifahamu hili.
[emoji23][emoji23]hivi yule jamaa alikuja kumalizia yaliyomkuta kuleKuna mkaka humu alienda Kisiwa Cha Malta ngoja aje akupe mchapo
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Waziri gani sasa atakukabidhi bendera? Waziri wa Michezo (Mchengerwa??) au Maendeleo ya jamii (Gwajima??) au wa Mambo ya nje na Ushirikiano wa kimataifa (MulaMula)?Soon ntaenda kwa waziri mwenye dhamana kukabidhiwa bendera ya taifa.
#MaendeleoHayanaChama
😂😂😂Wanajua kuwa suala zima la mapenzi na kufika kileleni ni jitihada za kila mtu 😀😀😀
Kumbe ulikuwa jizee tayari?Dah umenikumbusha mbali mtoto Abigail alinipenda kuliko kawaida,kwa mara ya kwanza ndio niliona mtoto wa kizungu anataka kujiua kisa kapuku mimi sitosahau....Demand yake ilikuwa ni moja tu nimuoe kisha tukaishi moja kati ya nchi ya Scandinavia tatzo ni kwamba mimi nilikuwa nishaoa na nina familia baada ya kumfichaficha ukweli ikabidi siku moja nimtobokee tu kwamba am arleady taken hapo ndipo mawazo ya kutaka kuchukua maamuzi magumu yalivyompata..She is educated woman,Beautiful,Rich na wife material kabisa,sifa ulizozitaja hapo zote wanazo,Kulia ni mimi kushoto ni yeye enzi zetu somewhere in Tz
View attachment 2198556
DuuuuhMbususa ya albino inatofauti gani na ya mzungu mnk nimechakata ya albino Sana
Ooooh serious? Hawanuki mavi kweli?Huwa hawajichambi na maji
Tobaaaa, wenyewe hawajishtukii?!wana nuka mavi yana nafuu...
Duuuh mbona mnanikatisha tamaa jamani?Kama una moyo mwepesi unaweza kutapika
Kama una moyo mwepesi unaweza kutapikaHivi huwa hawanuki kweli
Mozambique kuna Wazungu? Mbona TZ wapo mkuu?Ongeza Mkuu; hautojutia....huyo jamaa anazungumzia wazungu wa Ulaya. Wako watoto wa kizungu hapo South Africa; wengine Namibia na Mozambique, hao ndio utaenjoy zaidi. Maana wana tabia za kizungu na za ki-afrika pia. Mfano - wanajua kukata viuno vizuri - kuliko hata wa-afrika wenzetu....
Ushawahi date nao?Kama una moyo mwepesi unaweza kutapika
Mke wangu ananitosha.Taste ni tofauti kabisa...jaribu utaona...
Hii hata waswahili wetu hufanya sana tu. Huwa naamini mdada akifanya hivyo ana katabia ka kujichua.Halafu wana mtindo mmoja, ukiwa unapeleka moto, na yeye anachochea pale kwenye clit.. anakuwa anajisugua.
Mabaharia wenzangu wanalifahamu hili.
Halienda akatekwa akasulubiwa.... Akakatwa na kidole[emoji28]Yule muhuni hakwenda