Mliowahi kudate na Msichana Mzungu Pitia hapa

Mliowahi kudate na Msichana Mzungu Pitia hapa

Umenikumbusha mzee mmoja anakujaga na familia yake kule Coco Beach ana mke mzungu.
Ana watoto 6 na mmoja tupo tumboni.
Kila mtu akienda anamshangaa yule mzee na mkewe maana kamzalisha vya kutosha
Mostly Wasafi, sijui ni ile ngozi yao kuonekana Angavu au la. Waaminifu sijapata kuona.
Watamu kama waswahili wetu hawa.
Nimebahatika kuwakaza Wazungu 5 katika maisha yangu.
Watatu 3 Afrka Kusini, 1 Zanzibar na Mmoja Mtwara.
Wanapenda MASHINE ya maana, Sio vibamia, wanapenda koni balaa, uzuri wa Wazungu unaweza piga popote pale, sebuleni, Jikoni, room hata kwa corridor.
 
Wa kike wamefata kwa mama Hadi nywele na uweusi kwa mbali.
Ila wakiume Wana rangi nyeusi japo sio Kama baba yao.
Kila jumapili uwa wanakwenda pale Coco Beach kwenye mapango kule kuna kibanda uwa wanakaa na familia yake.
Mimi na rafiki yangu uwa tunapenda kumuita "carribean family"
Daah mwamba ametisha


Kuna mtoto aliyechukua kwa mama ? Au black gene ndio inakuwa dominant siku zote ?
 
Mke wangu siwez kumuacha mkuu,tumepitia nyakati ngumu pamoja kuna kipindi kampuni niliyokuwa nafanya kazi ikafirisika ikabidi nipige benchi nikawa mimi na TV Tv na mimi tu home mke wangu alisimamia kila kitu alisumbua sana ndugu zake waniinue mpaka nainuka na kupwa na angalau ni kwa juhudi zake yeye,sasa hapo mkuu kumuacha si laaana hiyo? Na tuna historia ndefu sana na ngumu mno..kuhus suala la kumchakata mzungu watu ikiwemo mimi mwanzo huwa wanahisi wazungu ni wa baridi hawana joto kama wanawake wetu wakibantu jibu hapa ni big noo hawana tofauti na wanawake wetu sema wao kwa mtazamo wangu wapo nasty sana kitandani anaweza akafanga chochote kukuridhisha hawana aibu halafu kesho unaweza ukamkuta kwenye project fulan yipo serious huwez amin anayoyafanya kitandani..Kwa ujumla utamu ni uleule tu hauna tofauti

Wewe sio mjasiliamali!
Kaskazini vijana hawaangalii kama wameoa au la linapokuja suala la fursa.

Kuna jamaa alikamata mzungu wake ambaye yupo vzr kiuchumi ikabidi amshirikishe mkewe, wakakubaliana! Kwa hy mzungu anajua jamaa hajaoa.

Uzuri akija Tanzania anakaa kama wiki 1 anarudi zake kwao. Mke anamuacha jamaa akakae na mzungu weka alikopangisha then mzungu akiondoka jamaa anarudi kwenye familia.

Jamaa ameinvest vya kutosha kutoka kwa anachokipata toka kwa mzungu, dunia ina mambo mengi[emoji28]
 
Wa kike wamefata kwa mama Hadi nywele na uweusi kwa mbali.
Ila wakiume Wana rangi nyeusi japo sio Kama baba yao.
Kila jumapili uwa wanakwenda pale Coco Beach kwenye mapango kule kuna kibanda uwa wanakaa na familia yake.
Mimi na rafiki yangu uwa tunapenda kumuita "carribean family"
Mke wake ni wale wazungu njaa ? Au ana mawe ?
 
Wadau kwema embu naomba mliwahi ku date na wadada toka nje ya bara la Africa hasa wazungu karibu ku share ni kituko gani au kadhia unayokutana nayo au ulikutana nayo kwa mara ya kwanza.

Kuna jamaa mmoja alikuwa ana date na mzungu, basi siku mmoja akatutolea siri akidai wadada wa kizungu wachafu sana na ukikwinchi kwinchi nae kulamba mbususu yake ni MUST, yaani bila kumlamba mbususu yake basi hujafanya kazi, akasema pia wao wapo makini na swala na Mimba zisizotarajiwa, japo hawatumii ndomuu

Wadau karibuni katika jukwaa ku share vimbwanga vya hawa wadada ....
Niliwahi ku-date naye mmoja wakati niko chuo. Walikuwa wamekuja kwa ajili ya tafiti za wanyama pori (Mikumi). Alikuwa anaoga kama mara 1 katika wiki mbili, na sikuwahi kumwona akipiga mswaki.
 
Niliwahi ku-date naye mmoja wakati niko chuo. Walikuwa wamekuja kwa ajili ya tafiti za wanyama pori (Mikumi). Alikuwa anaoga kama mara 1 katika wiki mbili, na sikuwahi kumwona akipiga mswaki.
Vipi mbususu ulilamnishwa kijana wangu ?
 
Mkuu majuzi nilikuwa ktk.social network.moja ivi maarufu sanaa sasa iv, basi kuna ka discussion kalikuwa kanapigwa humo juu ya issues za maisha huko scandnnavia cou.tries

Ndipo mwamba mmoja yupo Denmark akafunguka akasema huko Den, watoto wa ki Denish wana penda sana kujaribu ku sex na majitu meusi toka Africa ... Jamaa.alienda zaidi akadai wakat yy anaingia Denmark ile kutoa ushamba ya mbususu za wazungu akajua atatongoza kwa kutumia nguvu sanaa jamaa akadai yaan alikuwa ni kumsukuma mlevi tu anajipigia tu
Daaaah kmmk usitake nihamie huko. Hao ndio wanawake kwanza
 
Ndio ipo hivyo mkuu watoto wa Scandinavia na Eastern Europe wanapenda sana mishedede ya jamaa weusi..Sema ni ukidate nao uwe makini kaka zao wanamind kinoma na nchi kama urusi unaundiwa kamati na wahuni wanakuwinda kama digidigi porini..Recommended place kwa mtu mweusi kudate na mzungu labda sanasana Scandinavian countries lakini ukipata wa Eastern Europe piga kimbia usimgande kwanza wana njaa kama viwavijeshi wanacheza porn kwa bei rahisi sana hata millioni 5 wanakubali kuact
Ni watamu eeeh?
 
Back
Top Bottom