Mliowahi kudate na wazungu, nipeni muongozo

Kuna girl mmoja wa kizungu hapa, foreigner hajui hata Kiswahili, naona anaingia kwenye 18 zangu.

Naombeni tips wakuu, vitu gani zaidi niepukane navyo ili nimnase mazima huyu mrembo.

Natanguliza shukrani.
mm wa kwangu alikua binti mdogo tu ninae 5yrs, ila nimeoa home bado niko nae, sijawahi hitaji chochote toka kwake, hata bills mara kibao nilikua nakataa asilinilipie, Juz juz tu ndo naona PayPal yangu imeanza kusoma miamala mfululizo, sijui kuna nn mbeleni, miaka yote ni kunjunjana tu na mitoko tukikutana maeneo mbalimbali ya ulimwengu,
alishawah kuniletea story kibao za KGB, mafian cartels, tukakosana, anaspend kuliko anavyofanya kazi, lakin baadae alinichek na kuniunganisha na washikaji wa Kwa Puttin, sikua interested pia, so hakuna jipya lolote, ila kama ni kijana unajitafuta take advantage huwez jua mkuu
japo unaweza kua unatumika tu, kazi yake ikiisha anasepa anakuacha mataa, si unajua ukimchukua umempa uhalali wa kukaa bongo bila bugudha
 
You made my day!!
 
Hao wanaume wa kizungu mbna nao kizungumkutii?

Mkitoka out eti bill juu yangu, ukiomba pesa utaskia lete projects, projects ya nyokooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kwenye sex enyewe sio mitamu, kwan ina baridi utadhani panga lililolala njee. Mfyuuuuh zao.
 
😅😅 Kumbe mkiwaomba hela wanawaambia mpeleke projects, huo mfumo mzuri sana , na bongo ufike
 
Utadateje mzungu serengeti boy my dia? Date 45+ hutojuta. Hakuna mwanaume anajali kama mzungu akishakuelewa, hàyo mengine ni story. Usimuombe acha akianza kujiongeza hutojuta.

Wakati ukifika naleta hapa ushuhuda
Ahaaaa.

Ahaaaaaa nimecheka loh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…