Be calm
JF-Expert Member
- May 20, 2023
- 3,766
- 8,959
🤣🤣 Sawasawa 🤒Ah kwa nini nisie de jamani kuona warembo...huko ndio pakupata nke wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣 Sawasawa 🤒Ah kwa nini nisie de jamani kuona warembo...huko ndio pakupata nke wewe
Hata shuleni kuna kipindi cha mapumziko ambacho utapata udaku na mengine mengi yenye kufaa na yasiyo faa.Mada zetu pendwa.
Watu wanapenda kupelekeana moto sana aseeHuu uzi utatembea pages nyingi mnoo.
Hii mada inapendwa sana na wachangiaji ni wengi.
Wapangaji walikuwa wakike wote na wangapi? wote walikuwa wazuri?Nilitongoza wapangaji wote🤣🥶ni kamaliza wote nilipo enda kupima nikasema kuanzia leo nafunga zipu
Walikuwepo wakike, na wengine wamama🤣vipi ili jibu linakufaaWapangaji walikuwa wakike wote na wangapi? wote walikuwa wazuri?
Niliwahi kupanga na bahati nzuri walikuwepo mabinti wa3 pisi kweli na walikuwa wananiwinda mwisho wakaanza kuniita mi ni usalama wa Taifa. katika kitu ambacho nilikuwa najirinda ni kuwa na mahusiano sehemu nayo ishi maana siwezi leta demu hapo aseeWalikuwepo wakike, na wengine wamama🤣vipi ili jibu linakufaa
Wala hata hamna tunahitaji ushuhuda tuKuna kitu mnatutafuta siyo bure.
Kabisaa siye tuna Pihechidii
Tuwekee hapa mkuuKabisaa siye tuna Pihechidii
Nikuwekee nini tena rfkTuwekee hapa mkuu
mmmmhJamani sitakuja kushau ule moto niliopelekwa kwenye lile land cruser hadtop, uzuri maji yalikuwepo ya kunawa kutoa zile manii, naomba nisielezee nisije nikawafanya mshindwe kulala
nimeona ushuhuda wako aseeNikuwekee nini tena rfk
Ndio hivyoo nilinyooshwa jaman, tena ilikuwa maeneo ya singida nikiwa na ofc fulani ya kimataifa, jaman sitakuja kusahau yule mchaga sijui kajifunzia wapi kuleka motoo jamanmmmmh
Mkuu tufanayeje Maccm yanapora kurakwa nguvu na yanasaidiwa na mapolisi yao?Kwa akili hizi za kitaahira CCM itawatawala hili taifa la misukule daima