Mliowahi kuishi Uingereza ni kweli ile nchi ina masikini wengi?

Mliowahi kuishi Uingereza ni kweli ile nchi ina masikini wengi?

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Nimestaafu mwezi uliopita
Nasubiri kiinua mgongo changu kama milioni kadhaa.

Napenda sana mpira nikiangalua EPL napata wazimu.

Natamani nikaishi England nifie huko

Kinachonishangaza kuna uzi wa magari ulikuja humu jamaa anauliza kwa nini waingereza hawanunui magari ya landrover na range,kuna wachangiaji kadhaa walicomment kuwa England ni masikini hawawezi kununua hayo magari,namkumbuka PRONDO kama mchangiaji mmoja wapo.

Je, ni kweli waingereza ni masikini

Maisha yangu yote najua waingereza wako vizuri kiuchumi
 
Kuna Maskini na Homeless

1) Maskini wa UK ana food assistance ya kila mwezi(ana uhakika wa kula na malazi)

2) Homeless wa UK wale ombaomba wanao lala nje wengine ni drug addiction imewafanya kuwa hivyo. wengine walifikwa na maisha flani wakawa hivyo.

Bora uwe maskini 🇬🇧 kuliko kuwa maskini Afrika.
 
B
Nimestaafu mwezi uliopita
Nasubiri kiinua mgongo changu kama milioni kadhaa.

Napenda sana mpira nikiangalua EPL napata wazimu.

Natamani nikaishi England nifie huko

Kinachonishangaza kuna uzi wa magari ulikuja humu jamaa anauliza kwa nini waingereza hawanunui magari ya landrover na range,kuna wachangiaji kadhaa walicomment kuwa England ni masikini hawawezi kununua hayo magari,namkumbuka Brondo kama mchangiaji mmoja wapo.

Je ni kweli waingereza ni masikini

Maisha yangu yote najua waingereza wako vizuri kiuchumi
Brondo❌
@prondo ✔️
 
Kama mbeba box wa [emoji636] anaendesha velar basi umasikini hautaisha huku
1532598572.jpg
 
Mkuu siko kinyume na wewe ila ninaamini kupitia kiinua mgongo utakachopata kinaweza kukufanya uwe miongoni mwa matajiri.

Jiulize huko uingereza unaenda fanya nini??,kwanini??, Nawaza kwa umri ulionao sijui itakuwaje??.

Ukiniambia biashara nitakushangaa??,unazijua sera zao za uchumi kwa wageni??,mifumo ikoje ushindani??

Kwanini usiwekeze hapahapa tanzania,ukifikiri na kutenda ipasavyo basi hajtaanguka.

Unaeza fungua kiwanda hata kidogo Cha sabuni za unga au tomato kisha ukajitangaza coz the market is still there boss.

Fanya hata kilimo coz it's the most promising future of tommorow, ukatafuta soko lako, wateja wako.

huwa sioni umuhimu wa kukimbilia mbele ambako unaenda kuwa Kama mbwa aliyekosa umiliki.
 
Back
Top Bottom