Kampuni ya nishati ya jua ya Zola walinifungia mtambo wao, lakini ajabu tofauti na makubaliano mtambo huu uligoma kuniwashia TV, na pia umeshindwa hadi kunichajia simu!
Nimejaribu kuwasiliana na Zola wamekuwa wananiahidi uongo. Mara tutashughulikia lakini hadi leo miezi zaidi ya kumi imepita bila msaada wowote!
Mliowahi kukutana na hili tatizo naombeni ushauri wenu wa jinsi mlivyofanya ili kutatua hilo tatizo, maana Zola hawanipi ushirikiano
Nimejaribu kuwasiliana na Zola wamekuwa wananiahidi uongo. Mara tutashughulikia lakini hadi leo miezi zaidi ya kumi imepita bila msaada wowote!
Mliowahi kukutana na hili tatizo naombeni ushauri wenu wa jinsi mlivyofanya ili kutatua hilo tatizo, maana Zola hawanipi ushirikiano