Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Miaka yetu tunakua kulikuwa na magonjwa hatarishi sana ya sex. Ilikuwa hatari sana... Na ukumbuke Condoms zilikuwa bidhaa adimu sana hasa vijijini. Na pia ilikuwa ngumu kumuelewesha mtu kuvaa condom.
Yaani ukanunue pipi halafu uanze kumung'unya ikiwa kwenye karatasi? Aaaah wapi..... Hawakuelewi watu. Na wakati huo huo condoms nazo zilikuwa chache sana. Ukipata unaitumia hata mara 10.ukimaliza unaiosha vizuri unaihifadhi.
Ilikuwa si ajabu jamaa anakuja kugongea umwazime maana amebanwa sana. Unamwambia tu akimaliza aioshe kabisa ndo akuletee asilete ikiwa na grease.
Magonjwa Sumbufu yalikuwa ni PANGUSA, GONORHEA, KASWENDE, KICHOCHO haya ndo magonjwa ya kizamani kabla ya kuja UTI Sugu n.k
Yamewatesa wengi sana miaka hiyo... Na dawa maarufu ilikuwa rangi mbili. Siku hizi watu wanaogopa umeme tu... But miaka yetu magonjwa yalikuwa mengi sana huku down. Kuna ugonjwa hapo ulikuwa unatafuna mashine mpaka inafutika kabisa.... Sijajua ni upi kati ya hayo. Na ukiona picha ya sehemu za siri ambazo zimeliwa utashangaa kabisa. Zinatisha.
Vijana wa siku hizi waambiwe haya wasije tu kujisifu wamekula kimasikhara.... Nao watakapoanza kuliwa wanaanza kulia lia.
Yaani ukanunue pipi halafu uanze kumung'unya ikiwa kwenye karatasi? Aaaah wapi..... Hawakuelewi watu. Na wakati huo huo condoms nazo zilikuwa chache sana. Ukipata unaitumia hata mara 10.ukimaliza unaiosha vizuri unaihifadhi.
Ilikuwa si ajabu jamaa anakuja kugongea umwazime maana amebanwa sana. Unamwambia tu akimaliza aioshe kabisa ndo akuletee asilete ikiwa na grease.
Magonjwa Sumbufu yalikuwa ni PANGUSA, GONORHEA, KASWENDE, KICHOCHO haya ndo magonjwa ya kizamani kabla ya kuja UTI Sugu n.k
Yamewatesa wengi sana miaka hiyo... Na dawa maarufu ilikuwa rangi mbili. Siku hizi watu wanaogopa umeme tu... But miaka yetu magonjwa yalikuwa mengi sana huku down. Kuna ugonjwa hapo ulikuwa unatafuna mashine mpaka inafutika kabisa.... Sijajua ni upi kati ya hayo. Na ukiona picha ya sehemu za siri ambazo zimeliwa utashangaa kabisa. Zinatisha.
Vijana wa siku hizi waambiwe haya wasije tu kujisifu wamekula kimasikhara.... Nao watakapoanza kuliwa wanaanza kulia lia.