Nina deficit ya pesa na sina njia yoyote ya kupata pesa kaka.
Nimeshafika elastic limit
Mkuu bado unataka kutumia hizi bati bomba au umebadili mawazo?Baada ya miezi sita ya Bati Bomba nitarudi kuufufua huu uzi kwa ajili ya mrejesho
Nimetumia hizo hizo kaka. Budget ilishanikataaMkuu bado unataka kutumia hizi bati bomba au umebadili mawazo?
Mkuu Hongera mpaka hapo imekula ngapi?Nimetumia hizo hizo kaka. Budget ilishanikataaView attachment 2745996
Nimetumia hizo hizo kaka. Budget ilishanikataaView attachment 2745996
Kuhusu wepesi ni kweli hili .hizi bati ni shida Kuna ndugu yangu kanunua 30g ni nyepesi sana sijui ni amepigwa au inakuaje
Sina hesabu kamili kama. Nimeunga mwana ssna tuMkuu mpaka hapo imekula ngapi
Nikipata muda nitaseti some estimation nitashareMkuu mpaka hapo imekula ngapi
Hakika imetulia kiongozi.Hongera. pia fundi w kupaua apewe maua yakeNimetumia hizo hizo kaka. Budget ilishanikataaView attachment 2745996
Yaani bado unawaamini TBS hawa hawa pole sana,Hivi tunapozungumzia ubora wa bati tunaangalia muda mpaka bati ianze kupata kutu au muda ambao rangi itaanza kupauka?
Maana hizo unazosema za bei ndogo zimepitishwa na TBS,na wanatoa warranty ya miaka 10,sasa kigezo cha kuzipitisha ni nini? ina maana zinakidhi viwango.
Mi naona mambo mengine hapa ni mfuko wa mtu,weka bati kulingana na uwezo wako,kwani wengi wetu nchi nzima tunaweka haya viwanda vidogo na hayo maswala ya kutu au rangi tutadanganyana tu humu...
Sina hesabu kamili kama. Nimeunga mwana ssna tu
Hongera sana kaka ghetto limekaa freshNimetumia hizo hizo kaka. Budget ilishanikataaView attachment 2745996
Mi najuta, nimepauwa 2021 Leo hata siliangalii nataka mwakani niweke paa jipyaHakuna BATI hapo nilinunua kiwandani 2020 April hata December haikufika zikapauka......kwanza bati ni nyepesi kuliko maelezo
Bora ungetumia rangi ya chocolate au damu ya mzee. Hii uliyotumia inapauka haraka mnoooNimetumia hizo hizo kaka. Budget ilishanikataaView attachment 2745996
Umetumia bati la rangi ipi?Mi najuta, nimepauwa 2021 Leo hata siliangalii nataka mwakani niweke paa jipya
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Ni kweli kaka. Ila zilikua hazipatikani kabisa sikuwa na namnaBora ungetumia rangi ya chocolate au damu ya mzee. Hii uliyotumia inapauka haraka mnooo