Mliozaliwa kuanzia 1990 hadi 1997 someni hapa, msome Kwa umakini

Mliozaliwa kuanzia 1990 hadi 1997 someni hapa, msome Kwa umakini

Kuoa au kuzaa sio success
Abstain Alcohol
Abstain sex

Maintain nutrition
Maintain exercise

We are strive for money with huge investment. As to get long run cash flow.

26 yrs
Mkuu sometimes ni vyema kunyamaza tu ili ulinde heshima yako maana unaweza jikuta unasema jambo ukajiona upo sahihi kumbe umebwatuka nonesense.

Ila una point.
 
Akili za kijinga tutafute utajiri tutafute hela , tutafute cash flow sio tofali 4800 , kuishi kwako sio mafanikio wape salamu chanika huko
Sidhani kama kuna sehemu nimeandika kuwaambia watu watafute utajiri.

Huu Uzi Kuna watu wanaweza wasiuelewe, lengo langu mm ni kuwakumbusha watu tuishi kulingana na umri tuliopo... Nimewaona marafiki wengi sana wamenasia kwenye lifestyle ya ujana ndo maana nimeleta Uzi huu


The rest kama nimekukwaza naomba unisamehe
 
Habari zenu vijana (Mimi pia ni kijana)

Kama upo ndani ya huo umri nilioutaja hapo juu nnaomba unisikilize Kwa makini hasa wale ambao wanajiona Bado ni wadogo.

Sasa ivi wewe kijana upo katika umri wa kujijenga kiuchumi wewe pamoja na familia iliyopo kiunoni mwako

Leo hii wewe tunakuita kijana lakini tambua wengi wenu mmebakiza Miaka 16 had 20 Ili mtimize Miaka 50, (nyinyi ndo mtakua wazee na sio nguvu kazi ya taifa).

Kama huna mtoto jitahidi sana usivuke hii Miaka miwili bila kutafuta mtoto au watoto ikiwezekana. Sio vizuri mzazi kuona mtoto wako wa kwanza anamaliza form 4 wakati huo wewe mvi zimetanda kichwani(Kuna baadhi ya vitu utashindwa kuvitekeleza kama mzazi Ili mwanao apate malezi Bora)


Kwa huu umri wa sasa jitahidi sana uwe na kiwanja hata kimoja tu(siku izi wapo watu wengi wanauza viwanja had vya laki sita Tena unalipia Kwa awamu)

Piga ua garagaza ukitimiza Miaka 40 uhamie kwako (hakuna kinachoshindikana wewe jibane na punguza matumizi, nyumba inahitaji tofali 4500 tu Ili isimame na tofali Moja linauzwa kati ya 1000 mpaka 1500.
Haipendezi mtu kuzeekea kwenye nyumba ya kupanga jitahidi ukifikisha Miaka 40 uwe na mji wako.

Kwa umri huu wa sasa usitegemee Kuna ndugu Wala rafiki anahitaji kukusaidia sasa ivi ukiona mtu anakusaidia ujue ananufaika Kwa kiwango kikubwa kupitia wewe, tengeneza mrija wako wa kujipatia fedha za kuendesha maisha Yako usitegemee Kuna mtu anapenda ufanikiwe kumzid yeye.


Pombe ni nzuri hasa ikiwa wine na Tena unakunywa Kwa ustaarabu ila bia na mabapa huharibu uchumi na afya
Nilikuwa nimeagiza bia [emoji481][emoji481]zangu mbili za baridii....nkajisemea ngoja nicheki jf Kuna kipya gan leo,nkakutana na huu Uzi, nimeacha bia hata sijazifungua nimejikuta nimefika nyumbanii nakitazama cheti changu cha kuzaliwa macho juu ya dali
 
Akili za kijinga tutafute utajiri tutafute hela , tutafute cash flow sio tofali 4800 , kuishi kwako sio mafanikio wape salamu chanika huko.
[emoji851][emoji851][emoji851]Kwa bongo hii utengeneze mfereji wa kuingiza pesa utakao kuaimara Kwa muda mrefu(umeme sio wa uhakika,barabara foleni sana zingine mbovu,gharama za usafirishaji zipo juu Bado vijicho vya usuda na mazing'izong'i mengine)

Kama unatobo linalokuwezesha katika ujana huu fanya ujenge ata Kwa kujibana kama mtoa mada alivyo sisitiza,Bongo maisha yakutotegemea kujenga Bado hayapo

Ila usije wapa watoto mzigo wa kukutimizia ndoto zako,timiza zako ikiwezekana anzisha na misingi inayoelewaka inayoonekana sio kusema niwapa elimu weka na mali pia Kwa wanao,ukishindwa kutimiza ya wanao basi wakukute unajiweza usiwe mchovu Ili wao waanze na yao na siyo yako

Nakukumbusha nyumba muhimu, biashara isipo eleweka vizuri uwazi kumpa mtu laki6 au milion1 ya Kodi Bali msosi na ya watoto kwendea shule afu unakuta wengine wanalima wakivuna gunia kadhaa kaziweka ndani anapunguza gharama za chakula

Ila sio la Zima mifumo ifanane Kila mtu ananjia yake
 
Habari zenu vijana (Mimi pia ni kijana)

Kama upo ndani ya huo umri nilioutaja hapo juu nnaomba unisikilize Kwa makini hasa wale ambao wanajiona Bado ni wadogo.

Sasa ivi wewe kijana upo katika umri wa kujijenga kiuchumi wewe pamoja na familia iliyopo kiunoni mwako

Leo hii wewe tunakuita kijana lakini tambua wengi wenu mmebakiza Miaka 16 had 20 Ili mtimize Miaka 50, (nyinyi ndo mtakua wazee na sio nguvu kazi ya taifa).

Kama huna mtoto jitahidi sana usivuke hii Miaka miwili bila kutafuta mtoto au watoto ikiwezekana. Sio vizuri mzazi kuona mtoto wako wa kwanza anamaliza form 4 wakati huo wewe mvi zimetanda kichwani(Kuna baadhi ya vitu utashindwa kuvitekeleza kama mzazi Ili mwanao apate malezi Bora)


Kwa huu umri wa sasa jitahidi sana uwe na kiwanja hata kimoja tu(siku izi wapo watu wengi wanauza viwanja had vya laki sita Tena unalipia Kwa awamu)

Piga ua garagaza ukitimiza Miaka 40 uhamie kwako (hakuna kinachoshindikana wewe jibane na punguza matumizi, nyumba inahitaji tofali 4500 tu Ili isimame na tofali Moja linauzwa kati ya 1000 mpaka 1500.
Haipendezi mtu kuzeekea kwenye nyumba ya kupanga jitahidi ukifikisha Miaka 40 uwe na mji wako.

Kwa umri huu wa sasa usitegemee Kuna ndugu Wala rafiki anahitaji kukusaidia sasa ivi ukiona mtu anakusaidia ujue ananufaika Kwa kiwango kikubwa kupitia wewe, tengeneza mrija wako wa kujipatia fedha za kuendesha maisha Yako usitegemee Kuna mtu anapenda ufanikiwe kumzid yeye.


Pombe ni nzuri hasa ikiwa wine na Tena unakunywa Kwa ustaarabu ila bia na mabapa huharibu uchumi na afya
Mkuu wacha mwaka upite kwanza.

Nakukumbusha skukuu ya PASAKA itakuwa ni tarehe moja ambayo ni siku ya WAJINGA.

Wacha nitafute mlungula kuna nguvu umeiamsha kwangu mkuu.

Shukran kwa bandiko
 
Back
Top Bottom