Mliozaliwa kuanzia 1990 hadi 1997 someni hapa, msome Kwa umakini

Mliozaliwa kuanzia 1990 hadi 1997 someni hapa, msome Kwa umakini

Mimi nina miaka 33 siku hizi nikishuka tu naona watu hata wale walionizidi umri huwa utasikia Braza habari? au Mshua karibu. Kimoyo moyo huwa najisemeaga hapa nishakuwa faza umri wa ujana nimemaliza tayari.
 
Mimi nina miaka 33 siku hizi nikishuka tu naona watu hata wale walionizidi umri huwa utasikia Braza habari? au Mshua karibu. Kimoyo moyo huwa najisemeaga hapa nishakuwa faza umri wa ujana nimemaliza tayari.
Fanya mazoezi mkuu kitambi sio poa
 
Nilikuwa nimeagiza bia [emoji481][emoji481]zangu mbili za baridii....nkajisemea ngoja nicheki jf Kuna kipya gan leo,nkakutana na huu Uzi, nimeacha bia hata sijazifungua nimejikuta nimefika nyumbanii nakitazama cheti changu cha kuzaliwa macho juu ya dali
Nmecheka sana
 
Kujenga nyumba Haina maana yeyote. Jaribu kuwekeza Kwa watoto au binafsi. Sababu ukijenga nyumba na bila kuwajengea future ni bure tu. Watoto watauza nyumba siku haupo na ambayo umejenga Kwa shida sana.
 
Mtoto sio lazima ,ukiwa na pesa na ukatulia ukaachana na mambo ya hovyo uhakika wa kutoboa miaka 80 upo.

Ukizaa mapema utakuja kubaki pekeako ukiwa early 60's,kaa kijanja ndio maana wasukuma wanazaa wakiww hata wazee na ndio maana miji ya wasukuma inabaki na watu wengi miaka yote .

Baba amezaa mapema ninavyokuambia sasa hata mtoto hata mmoja wote wapo mikoani na maisha yake hata watoto wa ndugu nao washakuwa .
 
Mkuu sometimes ni vyema kunyamaza tu ili ulinde heshima yako maana unaweza jikuta unasema jambo ukajiona upo sahihi kumbe umebwatuka nonesense.

Ila una point.
Kuoa na kuzaa sio mafanikio kwa sababu binadamu anapigania kuservive kupitia uwezo wa kupata mahitaji ya lazima kama chakula, malazi na mavazi.
 
Vp tulio wekeza tokea wadogo ilipofika 30 mpaka nyumba ikabomoka tumerud tena kupanga
 
Mimi nina miaka 33 siku hizi nikishuka tu naona watu hata wale walionizidi umri huwa utasikia Braza habari? au Mshua karibu. Kimoyo moyo huwa najisemeaga hapa nishakuwa faza umri wa ujana nimemaliza tayari.
mi 28yrs
 
Akili za kijinga tutafute utajiri tutafute hela , tutafute cash flow sio tofali 4800 , kuishi kwako sio mafanikio wape salamu chanika huko.
Kuna mwana alikuwa ana cash sio chini ya milion 70 yaani hiyo ilikuepo tu na anaendelea kupiga kazi kama kawaida.

Ile pesa ilikuja kuisha ghafla na tetesi hakujenga lakini home kupo.

Nikimuonaga daah asee inakata sana.

Kumiliki magari hadi sasa kuomba pempaz ya mtoto wake.

Mkuu nyumba muhimu sana kwa haya maisha ya hapa bongo.
 
Back
Top Bottom