MTego huuHuyu dada Anajibu Kistaarabu Sana!! Kuzidi hata Hao Vichwa Vya familia!
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Mkuu sometimes ni vyema kunyamaza tu ili ulinde heshima yako maana unaweza jikuta unasema jambo ukajiona upo sahihi kumbe umebwatuka nonesense.Kuoa au kuzaa sio success
Abstain Alcohol
Abstain sex
Maintain nutrition
Maintain exercise
We are strive for money with huge investment. As to get long run cash flow.
26 yrs
Sidhani kama kuna sehemu nimeandika kuwaambia watu watafute utajiri.Akili za kijinga tutafute utajiri tutafute hela , tutafute cash flow sio tofali 4800 , kuishi kwako sio mafanikio wape salamu chanika huko
Kuoa sio mafanikio narudia tenaMkuu sometimes ni vyema kunyamaza tu ili ulinde heshima yako maana unaweza jikuta unasema jambo ukajiona upo sahihi kumbe umebwatuka nonesense.
Ila una point.
Naunga mkono hoja , kuna mambo mengi Sana ya kuipambania hii dunia ili na sisi tuache alama chanya .Yes kuoa sio mafanikio.. lakini malezi Bora ya watoto yanatoka ndani ya ndoa(sio wote hapa nimemaanisha wale wanaofata mifumo ya dini ama kimila)
Nilikuwa nimeagiza bia [emoji481][emoji481]zangu mbili za baridii....nkajisemea ngoja nicheki jf Kuna kipya gan leo,nkakutana na huu Uzi, nimeacha bia hata sijazifungua nimejikuta nimefika nyumbanii nakitazama cheti changu cha kuzaliwa macho juu ya daliHabari zenu vijana (Mimi pia ni kijana)
Kama upo ndani ya huo umri nilioutaja hapo juu nnaomba unisikilize Kwa makini hasa wale ambao wanajiona Bado ni wadogo.
Sasa ivi wewe kijana upo katika umri wa kujijenga kiuchumi wewe pamoja na familia iliyopo kiunoni mwako
Leo hii wewe tunakuita kijana lakini tambua wengi wenu mmebakiza Miaka 16 had 20 Ili mtimize Miaka 50, (nyinyi ndo mtakua wazee na sio nguvu kazi ya taifa).
Kama huna mtoto jitahidi sana usivuke hii Miaka miwili bila kutafuta mtoto au watoto ikiwezekana. Sio vizuri mzazi kuona mtoto wako wa kwanza anamaliza form 4 wakati huo wewe mvi zimetanda kichwani(Kuna baadhi ya vitu utashindwa kuvitekeleza kama mzazi Ili mwanao apate malezi Bora)
Kwa huu umri wa sasa jitahidi sana uwe na kiwanja hata kimoja tu(siku izi wapo watu wengi wanauza viwanja had vya laki sita Tena unalipia Kwa awamu)
Piga ua garagaza ukitimiza Miaka 40 uhamie kwako (hakuna kinachoshindikana wewe jibane na punguza matumizi, nyumba inahitaji tofali 4500 tu Ili isimame na tofali Moja linauzwa kati ya 1000 mpaka 1500.
Haipendezi mtu kuzeekea kwenye nyumba ya kupanga jitahidi ukifikisha Miaka 40 uwe na mji wako.
Kwa umri huu wa sasa usitegemee Kuna ndugu Wala rafiki anahitaji kukusaidia sasa ivi ukiona mtu anakusaidia ujue ananufaika Kwa kiwango kikubwa kupitia wewe, tengeneza mrija wako wa kujipatia fedha za kuendesha maisha Yako usitegemee Kuna mtu anapenda ufanikiwe kumzid yeye.
Pombe ni nzuri hasa ikiwa wine na Tena unakunywa Kwa ustaarabu ila bia na mabapa huharibu uchumi na afya
[emoji851][emoji851][emoji851]Kwa bongo hii utengeneze mfereji wa kuingiza pesa utakao kuaimara Kwa muda mrefu(umeme sio wa uhakika,barabara foleni sana zingine mbovu,gharama za usafirishaji zipo juu Bado vijicho vya usuda na mazing'izong'i mengine)Akili za kijinga tutafute utajiri tutafute hela , tutafute cash flow sio tofali 4800 , kuishi kwako sio mafanikio wape salamu chanika huko.
Endelea kuvaa visendo manyoya mtaani basiMimi sifanyi na huna kitu utanifanya
😎
Punguza. Usiache ghafla bin vuubangi vipi mkuu?
Mkuu wacha mwaka upite kwanza.Habari zenu vijana (Mimi pia ni kijana)
Kama upo ndani ya huo umri nilioutaja hapo juu nnaomba unisikilize Kwa makini hasa wale ambao wanajiona Bado ni wadogo.
Sasa ivi wewe kijana upo katika umri wa kujijenga kiuchumi wewe pamoja na familia iliyopo kiunoni mwako
Leo hii wewe tunakuita kijana lakini tambua wengi wenu mmebakiza Miaka 16 had 20 Ili mtimize Miaka 50, (nyinyi ndo mtakua wazee na sio nguvu kazi ya taifa).
Kama huna mtoto jitahidi sana usivuke hii Miaka miwili bila kutafuta mtoto au watoto ikiwezekana. Sio vizuri mzazi kuona mtoto wako wa kwanza anamaliza form 4 wakati huo wewe mvi zimetanda kichwani(Kuna baadhi ya vitu utashindwa kuvitekeleza kama mzazi Ili mwanao apate malezi Bora)
Kwa huu umri wa sasa jitahidi sana uwe na kiwanja hata kimoja tu(siku izi wapo watu wengi wanauza viwanja had vya laki sita Tena unalipia Kwa awamu)
Piga ua garagaza ukitimiza Miaka 40 uhamie kwako (hakuna kinachoshindikana wewe jibane na punguza matumizi, nyumba inahitaji tofali 4500 tu Ili isimame na tofali Moja linauzwa kati ya 1000 mpaka 1500.
Haipendezi mtu kuzeekea kwenye nyumba ya kupanga jitahidi ukifikisha Miaka 40 uwe na mji wako.
Kwa umri huu wa sasa usitegemee Kuna ndugu Wala rafiki anahitaji kukusaidia sasa ivi ukiona mtu anakusaidia ujue ananufaika Kwa kiwango kikubwa kupitia wewe, tengeneza mrija wako wa kujipatia fedha za kuendesha maisha Yako usitegemee Kuna mtu anapenda ufanikiwe kumzid yeye.
Pombe ni nzuri hasa ikiwa wine na Tena unakunywa Kwa ustaarabu ila bia na mabapa huharibu uchumi na afya