Mlipuko mpya wa virusi vya Corona waibuka jijini Beijing, China kutoka kwa samaki kwenye soko la vyakula la Xianfadi

Mlipuko mpya wa virusi vya Corona waibuka jijini Beijing, China kutoka kwa samaki kwenye soko la vyakula la Xianfadi

Pilipili itabaki kwenye kinu,sawa.Ila ngoja nikuulize swali,kwa nini mlimkosoa Magu alipofanya hivi?
Hapa kuna utafauti sana na chenye Maghufuli alichokifanya. Yeye alipeleka sampuli maabarani ambazo hazikuwa kachafuliwa (conterminated) na akadai matokeo yake kaonyesha kuna virusi. Hapa tunaongelea vifaa ambavyo vishaa chafuliwa.
 
Hyo na ile ya Magufuli Ina tofauti?
Jaribu kuelewa,chopping board ilikatiwa mnyama mwingine then badae salmon ,hao wadudu wote wana bacteria tofauti. Swala ni kuchange chopping board baina ya samaki na nyama au la uoshe.

Hao macho ndogo ni wachafu sana niliwahi kukuta chura kwenye buffé lao mpk lao sijawahi kukanyaga restaurant au duka lao lolote.
 
Hapa kuna utafauti sana na chenye Maghufuli alichokifanya. Yeye alipeleka sampuli maabarani ambazo hazikuwa kachafuliwa (conterminated) na akadai matokeo yake kaonyesha kuna virusi. Hapa tunaongelea vifaa ambavyo vishaa chafuliwa
Wacha kuzunguka, hiyo mbao iliyokatiwa Samaki maana yake imekua "Con terminated" na Samaki, kwahiyo kirusi kilikua ndani ya Samaki, hii ina maana Samaki ndio walikua na Kirusi.

Kwasababu mchina ndiye amegundua Samaki kuwa na kirusi cha Corona hamshangai na mnakubaliana naye, ila Magufuli aliposema mbuzi na ndege wamegundulika kuwa na Corona, mnapinga, tukisema wakenya bado ni watumwa wa watu weupe mnapinga.
 
Jaribu kuelewa,chopping board ilikatiwa mnyama mwingine then badae salmon ,hao wadudu wote wana bacteria tofauti. Swala ni kuchange chopping board baina ya samaki na nyama au la uoshe.

Hao macho ndogo ni wachafu sana niliwahi kukuta chura kwenye buffé lao mpk lao sijawahi kukanyaga restaurant au duka lao lolote.
Issue hapa ni kirusi kupatikana kwa wanyama au Samaki. Mbona Magufuli aliposema Mbuzi na Papai na ndege waligundulika kuwa na Virusi mlipinga?. Wakenya hawana akili na wamejaa wivu sana kwa Tanzania na Magufuli
 
Wacha kuzunguka, hiyo mbao iliyokatiwa Samaki maana yake imekua "Con terminated" na Samaki, kwahiyo kirusi kilikua ndani ya Samaki, hii ina maana Samaki ndio walikua na Kirusi.

Kwasababu mchina ndiye amegundua Samaki kuwa na kirusi cha Corona hamshangai na mnakubaliana naye, ila Magufuli aliposema mbuzi na ndege wamegundulika kuwa na Corona, mnapinga, tukisema wakenya bado ni watumwa wa watu weupe mnapinga.
Hadi na papai na oili ya gari!?🤣🤣
 
Wacha kuzunguka, hiyo mbao iliyokatiwa Samaki maana yake imekua "Con terminated" na Samaki, kwahiyo kirusi kilikua ndani ya Samaki, hii ina maana Samaki ndio walikua na Kirusi.

Kwasababu mchina ndiye amegundua Samaki kuwa na kirusi cha Corona hamshangai na mnakubaliana naye, ila Magufuli aliposema mbuzi na ndege wamegundulika kuwa na Corona, mnapinga, tukisema wakenya bado ni watumwa wa watu weupe mnapinga.
Virusi kama vya COVID-19 huwa vinashamiri kwenye joto la viumbe ambao wana temperature ya zaidi ya 36 degees C. Hakuna samaki ambaye huwa yupo hai kwenye temperature ya kiwango hicho, ndio maana kinachotajwa ni contamination ndani ya soko la nyama, sio samaki kwenye maji au samaki ambao wapo hai. Hebu kuwa serious wakati mwingine na uwe na mazoea ya kusoma ili ujiongeze.

Can freshwater fish transmit novel coronavirus? - Chinadaily.com.cn
 
Virusi kama vya COVID-19 huwa vinashamiri kwenye joto la viumbe ambao wana temperature ya zaidi ya 36 degees C. Hakuna samaki ambaye huwa yupo hai kwenye temperature ya kiwango hicho, ndio maana kinachotajwa ni contamination ndani ya soko la nyama, sio samaki kwenye maji au samaki ambao wapo hai. Hebu kuwa serious wakati mwingine na uwe na mazoea ya kusoma ili ujiongeze. Can freshwater fish transmit novel coronavirus? - Chinadaily.com.cn
Mbuzi temperature yake ni ngapi?, ndege temperature yake ni ngapi?, mbona Magufuli alivyopima mbuzi na ndege mlipinga na kusema vile vipimo ni kwa ajili ya binadamu pekee?

Hao Wachina wslichukua 'sample " toka kwenye ubao wa kukatia Samaki/nyama, hiyo maana yake ni kwamba hiyo nyama au Samaki ndio wenye virusi, ' Chopping body was contaminated by fish or meat', not by a person who chopped, otherwise they would take samples from people from that market and find they are the soutces.
 
Haha, yaani mimi nilitaka kumjibu ila nikajisemea, ntajichosha tu.
Wanachosha sana hawa, alafu nashangaa sana kwamba hadi kwenye enzi hizi za info mitandaoni bado kuna watu ambao wanaona sifa kuibuka na kauli za ajabu ajabu kama za kina mama sokoni.
 
MBAO YA KUKATIA SAMAKI INA CORONA?
ndo maana mimi nasema kwenye corona nipo na magufuli
Na kwenye lipi haupo naye? Unashaangaa mbao? Je, hujui hata nguo yako au barakoa inaweza kuwa na virus wa corona? Matanga mnatia aibu nchi, yani unashangaa mbao kuwa na corona wakati ushaambiwa chochote kile kinaweza kiwa na hivyo virus mpaka pesa.
 
Mbona alipo sema mapapai Yana corona mlimcheka?
Na kwenye lipi haupo naye? Unashaangaa mbao? Je hujui hata nguo yako au barakoa inaweza kuwa na virus wa corona? Matanga mnatia aibu nchi, yani unashangaa mbao kuwa na corona wakati ushaambiwa chochote kile kinaweza kiwa na hivyo virus mpaka pesa.
 
Wanachosha sana hawa, alafu nashangaa sana kwamba hadi kwenye enzi hizi za info mitandaoni bado kuna watu ambao wanaona sifa kuibuka na kauli za ajabu ajabu kama za kina mama sokoni.
Ninyi wakenya uwezo wenu wa akili ni mdogo sana, hao wachina walichokifanya ni sawa na Magufuli alichokifanya, kuchukua samples kutoka kwa viumbe na vitu tofauti na binadamu, lakini kwasababu ya wivu na roho mbaya, hamuamini wala kukubali kwamba Magufuli amekua smart kuwazidi hao wazungu mnaowanyenyekea.
 
Bado kunahitajika uchunguzi wa kina ili kuweza kubaini nini hasa chanzo cha virusi hivi...
 
Eleza tofauti usijifiche kwenye kichaka unachojaribu kutengeneza. Zote zilikuwa na aim moja;kutambua uwepo wa DNA ya kirusi kwenye hivyo vitu. Sasa utofauti upo wapi?
Aisee, hio chopping board imekatia kiumbe chenye corona, sasa haijulikani ni samaki, nyama, chura, popo, kenge ila mbao kama mbao haiwezi kua na corona. Hii ni kesi tofauti na ya Magufuli, kama Oil ya magari inakuaje na corona?
 
Je, hivi mnaojibu kiajabuajabu mnajua kuwa kirusi kinaweza kupatikana hata kwenye kijiko baada ya kuipaka huenda mate yako ukiwa na corona? Hio haimanishi kijiko kina corona. Tuwe wepesi wa kuelewa
Kuna watu wana uwezo mdogo sana wa kuelewa mambo mkuu, binfsi nilishangaa sana pale watu waliposhaanga virus vya corona kukutwa kwenye papai, yani tafsiri yao ya kimatanga wakajua papai ndiyo lina corona, hii nchi ngumu sana.
 
Aisee,hio chopping board imekatia kiumbe chenye corona,sasa haijulikani ni samaki,nyama,chura,popo,kenge ila mbao kama mbao haiwezi kua na corona.Hii ni kesi tofauti na ya ********,kama Oil ya magari inakuaje na corona?
Mbuzi na ndege walipogundulika na Corona, mbona mlisema hivyo vipimo ni kwa ajili ya binadamu pekee, mbona Leo mbakubaliana na wachina kwamba, Samaki au wanyama wengine wanaweza kuwa na Corona?, "Purely slavery mentality".
 
Back
Top Bottom