Mlipuko mwingine umetokea South Somalia inasemekana Magaidi wa Kizanzibari ni miongoni mwa Waliouwawa

Moderator naona wanamchekea sana huyu jamaa, kila siku anakuja na mada za kuichonganisha Tz vs Somalia, na anaonekana kuna koo au kabila ndio anataka watawale Somalia, ana maslahi binafsi analeta habari za kutunga tunga na kuleta chuki kati ya utawala wa Somalia na wananchi waTz, ana agenda gani ya siri huyu?
 
Hakuna cha kuchonganisha wa chuki hao jamaa washenzi sana popote walipo ni ku declair vita tu Kwan wale wa kibiti walichonganishwa na nan? Yan sifikirii kabisa mtu aliyeenda shule kulia lia eti anachonganishwa na hao mafala wakati hawanag negotiation na mtu yoyote kwenye maushenzi yao wanapofanyia watu
 
Hakuna cha kuchonganisha wala chuki hao jamaa washenzi sana popote walipo ni ku declair vita tu Kwan wale wa kibiti walichonganishwa na nan? Yan sifikirii kabisa mtu aliyeenda shule kulia lia eti anachonganishwa na hao mafala wakati hawanag negotiation na mtu yoyote kwenye maushenzi yao wanapofanyia watu
 
Hakuna cha kuchonganisha wala chuki hao jamaa washenzi sana popote walipo ni ku declair vita tu Kwan wale wa kibiti walichonganishwa na nan? Yan sifikirii kabisa mtu aliyeenda shule kulia lia eti anachonganishwa na hao mafala wakati hawanag negotiation na mtu yoyote kwenye maushenzi yao wanapofanyia watu
 
Chuki gani tayri somalia wameshalianzisha...alshabab tayari wameua watanzania...
 
Chuki gani tayri somalia wameshalianzisha...alshabab tayari wameua watanzania...
Kwani Al Shabab waliwa target watanzania, ingekuwa shambulio lipo ndani ya ardhi ya Tz sawa, acheni kutafuta choko choko zisizo wahusu, acheni Kenya wapambane vita yao, Tz tuna matatizo ya kiuchumi na kijamii yanayotutosha.
 
Alaaa!!kauli tena imebadilika...si nynyi mlisema mtanzania haguswi...akiguswa tutawajua...leo tena mmebadilisha kauli...


Km mlivyoingia msumibiji kutafuta wale jamaa walioua watu wenu..kisa mlipata taarifa hwatumii RPG[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116] https://www.facebook.com/

Ingieni na somalia bana...damu ya mtanzania haipotei...makomando wenu ni hatari kabisa...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwani Al Shabab waliwa target watanzania, ingekuwa shambulio lipo ndani ya ardhi ya Tz sawa, acheni kutafuta choko choko zisizo wahusu, acheni Kenya wapambane vita yao, Tz tuna matatizo ya kiuchumi na kijamii yanayotutosha.
 
Safi sana,KDF,hiyo ndio dawa,hatutaki mambo ya mpeketoni yajirudie,
Hao dawa yao huwa ni shaba tu
 
Leta ushahidi kuwa Turkey ndio wanahusika
 
We unawatambua walokufa kabila gani?
Waliokufa hawatuhusu vilivyo kwasababu ni wasomali walioloweya Tz.
 
Halafu una ubishi wa kikisii.
Au mkisii wewe??
Wale wasomali walioloweya Tz.
Waache wamekufa in their motherland.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…