Hizi hesabu za uongo umezitoa wapi!?Kama inamhusu muisrael moja kwa moja inamhusu Biden, Kama inamhusu Biden na sisi inatuhusu.
Ile misaada ya hisani ya watu wa marekani itaadimika, mafuta yatapanda Bei, nauli za daladala zitapanda, tozo zitaongezeka.
Multiplier effect yake sio ya kitoto.
Dollar haina global threat hata upunje.Hiki comment yako ni wachache sana kwa sasa watakuelewa wengi watakubeza ila itunze baada ya mwaka 1 au 2 wakati ambapo global financial crisis itakuwa imetukia watakukumbuka
Mijitu mizima inashabikia vita ikiwa huko ikwiriri. Nenden muwasaidie kufa basi. Japo naiunga mkono Israel ila kwasasa inatosha. Hiki kichapo ni miaka 100 hawatakisahau. Ila sasa basi jaman watu wanakufa mno, na Israel kule West bank kashachukua eneo lenye ukubwa wa kata nzima kajiongezea.Angelia Mandela aliyehukumiwa kifo na kufungwa miaka 27 kwa kudai nchi yake.
Wapalestina ni watu wa vitendo, siyo wa kulialia. Miaka zaidi ya 75 leo wanadai haki yao kwa mapambano aina yte unayoijuwa wewe na usiyoijuwa.
Ndivyo unavyojidanganya hivyo!?Mijitu mizima inashabikia vita ikiwa huko ikwiriri. Nenden muwasaidie kufa basi. Japo naiunga mkono Israel ila kwasasa inatosha. Hiki kichapo ni miaka 100 hawatakisahau. Ila sasa basi jaman watu wanakufa mno, na Israel kule West bank kashachukua eneo lenye ukubwa wa kata nzima kajiongezea.
Nadanganya wapi tena Sheikh wangu. Tunaomba vita iishe basiNdivyo unavyojidanganya hivyo!?
AISEE pole sana.
South Africa ilichukuliwa yote na wenye nchi wakaambiwa magaidi kwa miaka zaidi ya 200, sasa kiko wapi?Mijitu mizima inashabikia vita ikiwa huko ikwiriri. Nenden muwasaidie kufa basi. Japo naiunga mkono Israel ila kwasasa inatosha. Hiki kichapo ni miaka 100 hawatakisahau. Ila sasa basi jaman watu wanakufa mno, na Israel kule West bank kashachukua eneo lenye ukubwa wa kata nzima kajiongezea.
Waongo na wanafik wale tunawajuwa.😂😂😂😂😂😂Washaanza visingizio.
Eti was detected but not intercepted because was not taken as a threat!
Mara there was a human error detected in the Yafa drone.
Sasa which is which!?
Protoproto nenda ugirikiUporoto.
Bashe kafunga kazi ya "cartel" kwa muongozo wa Rais wa Tanzania, Mama Samia Sukuhu Hassan.Protoproto nenda ugiriki
Dunia inaenda kuwa na single digital currency very soon we umebakia na dhana za dollar bado? pole sanaDollar haina global threat hata upunje.
Kuna mataifa mengi makubwa yameshakua na kuweza kuwa mbadala wa USA katika economic influence.
Tena taifa la kwanza ni China.
Ona unavyojivuruga.Dunia inaenda kuwa na single digital currency very soon we umebakia na dhana za dollar bado? pole sana
Anga la wakatolikiBashe kafunga kazi ya "cartel" kwa muongozo wa Rais wa Tanzania, Mama Samia Sukuhu Hassan.
Myemeni leo kaibamiza Tel Aviv analipiza kisasi cha kupigwa Hodeidah na katangaza sasa target laini ni Tel Aviv.
Unalielewa hilo?
Piga hayo magaidi ya kiyahudiMapema leo huko Tel Aviv kumetokea mlipuko karibia na ubalozi wa Marekani na kusababisha majeraha.
La kujiuliza ni aina gani ya drone iliyotumika kwenye shambulio hili yaani watu wanastukia kitu kinalipuka na hakuna onyo lolote! Udini na mahaba weka pembeni!
‘Suicide drone’ explodes near US consulate in Tel Aviv – reports
An explosion injured at least seven people in an area near the US consulate in Tel Aviv early Friday morning. A man in his 30s and a woman in her 20s were wounded by shrapnel and were taken to the hospital, while the others suffered lighter injuries, according to the Times of Israel.
The Israel Defense Forces (IDF) are investigating the explosion, which it suspects was caused by “an aerial target,” a military term it uses for drones, the Times of Israel wrote, adding that no air sirens were heard ahead of the blast.
One killed in drone attack near US Embassy office in Tel Aviv
An explosion has killed one person and injured several others near the US Embassy in Tel Avivwww.rt.com
Wao wametoa matangazo na hiyo si kawaida ya ziraili.Yote sema wewe, walioipiga tel aviv ni Wayemeni. Na wametangaza kinaga ubaga.
🤣🤣🤣Watu wa vitendo Gani tena huku wanateketea?? Au vitendo vya kuzikwa na dhambi zao!?
Nyie mashabiki Maandazi wapuuzi sana!! Wewe mwenyewe unaandika ukiwa umejificha msikitini hapo Mbagala Rangitatu!!
Confirmed leo.Yote sema wewe, walioipiga tel aviv ni Wayemeni. Na wametangaza kinaga ubaga.
Vita siku hizi zineadvance sana. Mnaweza kuwa wote mnavitambi ila mkapogana kwa kutumia vifaa na akili tu na mkashinda 😁😁 hapo hakuna kuvunja matofali kwa kichwa
View: https://youtube.com/shorts/krn0VKG7R5c?si=AqSR8awTYW4SYOUm
Taifa teule la mungu ni binadamu aliye zaliwa na binadamu😄
Sasa hivi bikira ni 73 imeongezeka moja ya maria mpalizwa mbinguni.Wao wametoa matangazo na hiyo si kawaida ya ziraili.
Kesho kutwa andaa bikra 72+ km huna shauri yako watakuja huko utajua la kuwapa.
waHouths wamejinasibisha kuhusika. Kwa mantiki hiyo (kama itakuwa ni kweli na ikathibitika hivyo) watajibiwa hao-hao vikali ipasavyo na Itakuwa ni fundisho kwa wenzao watakaothubutu kufanya hivyo. Tusubiri tuone. Never mess with the Israelites.Mlipuko huo wavaa kobaz wataulipia pale gaza au lebanon