Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ilikuwa poa sema mimi sijafurahi sana kila mtu alikuwa na wake mimi tu ndo nilikuwa mpweke naomba kipindi kijacho nitafutiwe patrner hata wa kukodi kwa muda jamani
watu8 yani Hakunaga kumbatio tamu kama lile la PakaJimmy hata Chimbuvu wangu hajawahi nipaga,Ila lile kumbatio la kule CHUMVINI hakika hutokuja lipata tena kama lile toka kwa PJ....mpaka dereva alitaka kutuingiza mtaroni jinsi mimacho ilivyokua yamtoka kutaka shuhudia.
Humbled and speechless!
Thanks a zillion,
Nitarudi!
Good.....karibuni tena wakuu
ilikuwa poa sema mimi sijafurahi sana kila mtu alikuwa na wake mimi tu ndo nilikuwa mpweke naomba kipindi kijacho nitafutiwe patrner hata wa kukodi kwa muda jamani
Safi sana PakaJimmy,
Ukisikia mtu anaitwa kiongozi, a.k.a mwenyekiti....hii ndiyo maana yake...
Sina mengi zaidi ya kukushukuru wewe na wadau wote ambao waliwezesha hili tukio la kihistoria kutendeka....
Ukweli wa mambo haya utabiki katika kumbukumbu zetu sote, leo na hata vizazi vijavyo!!
Nawapenda sana nyote na karibu tena Ta....... (kwa ruhusu ya mwenyekiti, Mwanyasi)!!
Babu DC!!
Asante Mkuu!