Mlisho-Nyuma(Feedback) wa Safari ya Tanga.

Mlisho-Nyuma(Feedback) wa Safari ya Tanga.

Duh!Nasikitika sana
kuikosa hii! Ama kweli mkamia maji hayanywi na akiyanywa basi yatakuwa
na utoko wa chura dume.

Karibuni tena kunani.

dah mkuu...ulitutosa sana bana...tulikutafuta mno kuanzia kwa Minchi...majani mapana...barabara ya 8 mpaka Sahare..,bila mafanikio...
 
raha gani babu watu walikuwa wanakumbatiana kila saa
hivi hujaambiwa kilio alichotoa Madam B wakati pakajimy alimpitisha chumvini pale?
muulize Filipo na Arushaone ndo waliona maana muda huo mamaa wa msafara Preta alikuwa chimbo na mtu chake wake wakipiga savannah

Ila lile kumbatio la kule CHUMVINI hakika hutokuja lipata tena kama lile toka kwa PJ....mpaka dereva alitaka kutuingiza mtaroni jinsi mimacho ilivyokua yamtoka kutaka shuhudia.

watu8 yani Hakunaga kumbatio tamu kama lile la PakaJimmy hata Chimbuvu wangu hajawahi nipaga,
Nini dereva, ulimuona mume wangu Arushaone na Arabela walivyokuwa wanatushangaa........ mpaka nikajisikia aibu yenye Utamu.

Khaaaaaaaa............ unataka uhakika Mwanyasi?????????
KUMBATIO LA PakaJimmy

Si unajua nilikuwa najaribu kumteka kiaina PakaJimmy, nayeye akategeka mwenyewe, Chezea Mimi wewe.
Basi kadri niendeleavyo basi nae kumbatio huzidi, nikaona hapo hapo, hasa ukizigatia My Huz AraChuga1 alikuwa amempa Ruhusa PJ

na mikono milaini kama ulimi chezea kumbato wewe

hahahahahah hadi mtu anaulizwa wajisikiaje ,nanukuu "bado hapa" huku kichwa kimelegezewa begani lol ilikuwa hatari Madame B nakuaminia kwa movie uliyocheza pale khaaa

na PJ...?

hivi Mzee Mwanakijiji hawezi ku du ze nidful hapa....kariwaya tu...KUMBATIO LA PAKAJIMMY.....

lakini ulifaudu kuliko wamiliki halali 45km rafu rodi lol
Aisee mbona mmekomalia sana hii ishu ya KUMBATIO LA PAKAJIMMY!!
Usinambie mlitaka kuniroga siku ile, loolz!
Acheni hii maneno bana!...hivi mnaelewa kuwa niko ofisini nafanya kazi ya Sirikali muda huu nyie?
 
Mohamedi Mtoi ulishawahi kuona wageni wanakuja mwenyeji anajificha?

Mkuu.
Sijakimbia! Huwa tuna utaratibu wa kufanya kumbukumbu ya marehemu wetu kijijini kila tarehe 23 Disemba. Kibaya zaidi ukatokea na msiba, nimeingia Tanga Tarehe 28 usiku nikiwa hoi na maralia juu. Sina sababu ya kuwakimbia wageni!
 
Last edited by a moderator:
Nimesema nitarudi Tanga kwaajili ya Arabela! Hii hata wife wangu marejesho ameridhia! Chezeya toto ya kitanga weye!!!! Maji ya ukili si mchezo! Ukiyaoka hutoki kwenye mkeka!

me na marejesho roho zetu kwatu
 
Last edited by a moderator:
raha gani babu watu walikuwa wanakumbatiana kila saa
hivi hujaambiwa kilio alichotoa Madam B wakati pakajimy alimpitisha chumvini pale?
muulize Filipo na Arushaone ndo waliona maana muda huo mamaa wa msafara Preta alikuwa chimbo na mtu chake wake wakipiga savannah

Walikuwa wanakufundisha jinsi ya kupack suit cases zako kila unapotaka kusafiri...

I hope next time you will do better...

Babu DC!!
 
ilikuwa poa sema mimi sijafurahi sana kila mtu alikuwa na wake mimi tu ndo nilikuwa mpweke naomba kipindi kijacho nitafutiwe patrner hata wa kukodi kwa muda jamani

Kama picha ilowekwa ni ya wanasafari mbona inakushtaki... naona kuna njemba za kutosha na zina afya tele... ungetangaza nia...kumbe mikwara yote nyuma ya keyboard...:majani7:
 
Hongera zenu jamani.. mi sikuwahi kudhani kama mission yenu ingematerialize..
Big up JF C.C. Big up washiriki na coordinators wa Tanga trip..
GeeCee

khaaa....chezeya kamati ya bata weye...sasa tunaandaa trip ya kwenda Ibiza....utakuja....?
 
Mkuu.
Sijakimbia! Huwa tuna utaratibu wa kufanya kumbukumbu ya marehemu wetu kijijini kila tarehe 23 Disemba. Kibaya zaidi ukatokea na msiba, nimeingia Tanga Tarehe 28 usiku nikiwa hoi na maralia juu. Sina sababu ya kuwakimbia wageni!

Tunakuelewa mkuu Mohamedi Mtoi,

Take it easy and there is always another chance....

Karibu kwenye club ya Ta wing,

CC: Mwenyekiti - Mwanyasi na Katibu - KOKUTONA
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom