Mlisho-Nyuma(Feedback) wa Safari ya Tanga.

Mlisho-Nyuma(Feedback) wa Safari ya Tanga.

Hahahahahahahahaahh,

Mbona unaniangusha kajukuu??

Ulisahau usemi wetu wa siku zote kuwa raha jipe mwenyewe....

Na pia kuwa, chakula cha safari hakiokotwi njiani........!!


Next time jipange mama Smile, sawa ehhhhhhh??

Babu yako DC!!!

Daah, nimeupenda usemi wa Chakula cha safari hakiokotwi njiani...
 
Last edited by a moderator:
Pia, sisi kama Arusha -Wing tunachukua fursa hii kutoa shukrani za pekee kwa Wana-Dar waliotuunga mkono na kushiriki na sisi mwanzo kati mwisho, tunawapenda sana brodas and Sistos.
Pia shukrani za pekee ziende kwa Wana Tanga wote tajwa, maana walifanya kazi ya ziada kuhakikisha hapaharibiki kitu. Kuna huyu member wa Tanga YNNAH ambaye hakufanikiwa kuungana na sisi, lakini alikuwa anafuatilia kwa ukaribu sana kila hatua tunayosonga, tunampongeza sana na kummwambia kuwa tunampenda.
Mbarikiwe sana nyote!

mkuu ni furaha kwa wote japo wengine tulishindwa kufika, la muhimu kila kitu kimekwenda sawa na kila mtu karudi salama,
hongereni sana kwa kufanikisha hilo, tuombe uzima next time iwe na mafanikio makubwa zaidi.
 
Weeee nilijua kuna mtu kapost vitu vingine,
Nasema hiviiiiii..... Smile haondoki Tanga. Hapa kafika.....

Aiiiii yamekuwa hayo tena Mwanyasi mbona yeye mwenyewe Smile kasema hakupata wa kumpeti peti kumbe katupaka mafuta kwa mgongo wa chupa ya konyagi.
 
Last edited by a moderator:
ni kweli mkuu....jana hiyo hiyo niliunga safari na hapa nilipo ni full duck kusubiri mwaka mpya...logistics zote zipo kama zilivyopangwa.....

U mwanamke wa shoka Preta! Unganisho lile la ajabu..ndege ilitua Ngorongoro
 
Last edited by a moderator:
U mwanamke wa shoka
Preta! Unganisho lile la ajabu..ndege ilitua
Ngorongoro

kabisa na hapa namtafuta pembe yupo wapi....kwa jinsi rais wetu alivyotupenda hata akatuletea pembe wa kikaburu....yatupasa wote tumfurahie pembe.....na wote tuseme ameeeeeen
 
Last edited by a moderator:
kabisa na hapa namtafuta pembe yupo wapi....kwa jinsi rais wetu alivyotupenda hata akatuletea pembe wa kikaburu....yatupasa wote tumfurahie pembe.....na wote tuseme ameeeeeen

Wasi2 wangu ni ndege ingetuajena mvua? amen
 
Back
Top Bottom