Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lini tena huko?. mia
Ibiza ipo Valencia, Spain babu....halafu muandae bibi kabisa....ukiwa single huruhusiwe kwenda na sisi tulio double.....
kuna mtu ashafanya booking mapema soma uzi wa Mwanyasi
Jamani Blaki Womani, wenzangu wanakumbatiwa mi nichapwe, sitaki
Nani tena aisee?
Blaki Womani; Nakwakikishia 85% hapo Mwanyasi ni kelele tu hana sumu hata kidogo!!!!!
Nafikiri huyu Mwanyasi anafurahisha jamvi tu!!!!!!
Kha ha ha ha ha haaaaa!!!!
we unao wangapi acha kumzibia mwenzio
Nimekusikia kamanda......
Ila sasa wewe Preta mbona uko JF wakati sie
tunajua umetangulia mahali kuandaa mkutano wa Joint A and Ta Wings ili
tukukule mwaka mupya kwa pamoja??
Babu DC!!
Mambo ya Beach Pangani hayo!View attachment 77560
ni kweli mkuu....jana hiyo hiyo niliunga safari na hapa nilipo ni full duck kusubiri mwaka mpya...logistics zote zipo kama zilivyopangwa.....