umenikumbusha Mario Van Peebles wa Solo , kitambo sana kibanda umiza[emoji16]
Ha ha haumenikumbusha Mario Van Peebles wa Solo , kitambo sana kibanda umiza
Mm sijachoma hizo dalili nimepata hadi kuumwa kfua lakini haikuwa serious sana na nshaaponaMi nimechoma moja tu bado moja ,
Ila juzi hapa niliukwa koo na mafua na homa ila sio kali vile naelekea kupona
Yap hata leo nipo poaMm sijachoma hizo dalili nimepata hadi kuumwa kfua lakini haikuwa serious sana na nshaapona
BetaAlfa
Bravo
Delta
Omicron
........
.......
.......
......
Endeleeni kuchoma
Usiwe na wasi mkuu, fimbi cheza iko poa tu!Mlochomwa chanjo mwaonaje hali?Hii hali ya sasa vp? Maana naona hili wimbi na nyie mmo tena kwa wingi kweli kweli
Vp mlochomwa hali ipoje kwa wimbi la sasa?nasema haya maana walochomwa naona na nyie mnahangaika kama sisi tu huku mtaani yaan tuna hali sawa....
Hii!Me tangu nimechoma mambo yamenyooka. Nikupiga pesa tu maana madili yana kubali