Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili yako wewe inakutuma mimi nataka kubishana na wewe kwenye lugha.Kwenda zako. Huna uwezo wa kupambana na mimi kwa lugha wewe. Idiot! Iwe kiswahili iwe kiingereza.
Just i dont get you! Kuna uhusiano gani kati ya kipundupindu kuua na chanjo ya korona? Ndiyo maana nikasema mmelemazwa na mawazo ya Magufuli.
Mbona chanjo nyingine hamsemi ni wafanya biashara? Mtu kama wewe si ajabu kesho ukaenda hospital na kutumia vifaa na dawa zilizotengenezwa na hao hao unaowaita wafanyabiashara.Wewe umelemazwa na wafanya biashara ngoma droo
Huenda wanajua zaidi kuliko waliochanja. Chanjo ni hiari.Magufuli aliharibu sana akili zenu. Nadhani watanzania wengi hawajui abc za korona na chanjo kwa ujumla.
Una uhakika haya mafua ni coronavirus? na je ukichanjwa ndiyo hauugui Tena ata mafua ? Wasomi wa degree za michongoMlochomwa chanjo mwaonaje hali?Hii hali ya sasa vp? Maana naona hili wimbi na nyie mmo tena kwa wingi kweli kweli
Vp mlochomwa hali ipoje kwa wimbi la sasa?nasema haya maana walochomwa naona na nyie mnahangaika kama sisi tu huku mtaani yaan tuna hali sawa....
J&J ishapigwa marufuku kwa mabeberu