#COVID19 Mlochoma chanjo njooni mtupe mrejesho kwa hali ya sasa

#COVID19 Mlochoma chanjo njooni mtupe mrejesho kwa hali ya sasa

Binafai sichomi chanjo natumia mitishamba tu
 
binafsi nimechanja na hapa nilipo nina homa kali plus mafua na kifua na tonsils za kufa mtu
 
Kwenda zako. Huna uwezo wa kupambana na mimi kwa lugha wewe. Idiot! Iwe kiswahili iwe kiingereza.
Akili yako wewe inakutuma mimi nataka kubishana na wewe kwenye lugha.
Wewe ni kilaza Mshambaa wa kiingereza

Umeandikia nini hapo juu .
Shule ifunguliwe January 2022 urudi shule tena
 
Wewe umelemazwa na wafanya biashara ngoma droo
Mbona chanjo nyingine hamsemi ni wafanya biashara? Mtu kama wewe si ajabu kesho ukaenda hospital na kutumia vifaa na dawa zilizotengenezwa na hao hao unaowaita wafanyabiashara.
 
wabongo wana vichwa vigumusana, ni wapi ilisemwa kuwa ukichanja hupati Corana?

Corana unapata ila utafauti unakuja kwenye kuathirika nayo
 
Mlochomwa chanjo mwaonaje hali?Hii hali ya sasa vp? Maana naona hili wimbi na nyie mmo tena kwa wingi kweli kweli

Vp mlochomwa hali ipoje kwa wimbi la sasa?nasema haya maana walochomwa naona na nyie mnahangaika kama sisi tu huku mtaani yaan tuna hali sawa....
Una uhakika haya mafua ni coronavirus? na je ukichanjwa ndiyo hauugui Tena ata mafua ? Wasomi wa degree za michongo
 
Mtu mweusi mafua sio ishu kabisa ila kwa wale jamaa zetu ni majanga
 
J&J ishapigwa marufuku kwa mabeberu
 
Back
Top Bottom