#COVID19 Mlochoma chanjo njooni mtupe mrejesho kwa hali ya sasa

#COVID19 Mlochoma chanjo njooni mtupe mrejesho kwa hali ya sasa

Mlochomwa chanjo mwaonaje hali?Hii hali ya sasa vp? Maana naona hili wimbi na nyie mmo tena kwa wingi kweli kweli

Vp mlochomwa hali ipoje kwa wimbi la sasa?nasema haya maana walochomwa naona na nyie mnahangaika kama sisi tu huku mtaani yaan tuna hali sawa....
Watu wanaumwa kweli kweli mimi ni miongoni mwa waliopata chanjo ya covid 19 HAKIKA SIKUPATA MADHARA YOYOTE KWA HII WAVES YA WATU KUUGUA HOVYO HOVYO
 
Mmoja nayemfahamu kachanja juzi kaumwa kakimbilia nyungu
Unapochoma chanjo lazima uume...unaingiziwa antibiotics zenye nguvu saana mwilini na zinaenda kusisimua Kinga ya mwili.

Na ukishachanja maranyingi ukipima baada ya siku kadhaa utakuta upo positive.
 
Mlochomwa chanjo mwaonaje hali?Hii hali ya sasa vp? Maana naona hili wimbi na nyie mmo tena kwa wingi kweli kweli

Vp mlochomwa hali ipoje kwa wimbi la sasa?nasema haya maana walochomwa naona na nyie mnahangaika kama sisi tu huku mtaani yaan tuna hali sawa....
Nimeweka taa begani inawaka na shilingishilingi nyingi zimenasa begani, sina shida ya hela ndogo ndogo za bieri.
 
Ana Heri aliyepata chanjo
Anaweza kuambukizwa lakini atakuwa na immune ya kupambana na virus
Kila mtu aamue lililo jema kwake
Tulichanjwa polio chicken pox yellow fever wakati huo hata sayansi ilikuwa baaaado
Leo mtu anashangazwa na vaccine ya covid19 ni jambo la kustaabisha
 
Kuna watu wamechanja wasipoteze nyadhifa zao

Kuna watu wamechanja waonekane wa kisasa na wanaakili

Kuna watu wamechanja wasipoteze ajira

Kuna watu wamechanja waweze kusafiri nje ya nchi

Wengi hatujachanja kwa kuwa hatupo kwny makundi hayo niliyotaja
 
Wameambiwa watafute booster namba tatu cos this variantis deadlythan ever b4
na waliochoma,wasiootafuta booter na 3 hakiyani tutawapoteza,maana taya miili imesha respond chanjo na natural immune ime relax,hapo Sasa !!
 
Kuhusu corona, mimi nipo na mwendazake; mwendazake alisoma Sayansi na Sayansi ikamuelewa; sasa hvi hakuna nchi duniani inayo amini katika lockdown, alitilia chaka sana CHANJO na akatangaza hadharani; wote wapo pamoja sasa!
 
Chanjo haizuii maambukizi ya corona wala haifanyi mtu apatapo maambukizi asiumwe...

Chanjo iliundwa ili kupunguza nguvu ya athari ya Covid, yaani watu wasipate severe illness...
Shule ni muhimu mno, watu wanaropoka tu, hawajui nini hasa hiyo chanjo inachofanya mwilini. Aliyetunyima elimu ametuweza.
 
Magufuli aliharibu sana akili zenu. Nadhani watanzania wengi hawajui abc za korona na chanjo kwa ujumla.
Katika mapambano dhidi ya Covid, hayati alikuwa ni mpumbavu ktk hili, ndiye aliyegawa taifa.
 
Did I mention Ndo nini unajifanya mzungu sana.
Sikujibu ilo swali lako kwa kuwa umeandika upuuz

Shuleni sijui mlienda kujifunza nini? Kwa uandishi huu
Kiswahili kiingereza unachanganya

Hizi shule sijui zinafunguliwa lini, wanafunzi warudi shule mkajifunze
Kwenda zako. Huna uwezo wa kupambana na mimi kwa lugha wewe. Idiot! Iwe kiswahili iwe kiingereza.
 
Anataka kujua tofauti ya waliochanja na wasiochanja ili acahague upande uliosahihi
Toafuti:
1. Aliyechanjwa hapati virus kwa urahisi na hata akipata haugui taabani (viral load ya virus mwilini inakuwa ndogo) na hata akiugua taabani hafi kirahisi na wale wanaokufa ni wachache sana na wanakuwa na complication nyingine.
2. Aliyechanja haumbikizi wenzake kwa urais hata na hata akiambukiza, anaambukiza virus wachache sana na hawakai kwa muda mrefu kwenye mwilini hivyo uwezekano wa virus ku-mutate unakuwa mdogo.
Conclusion: Namna pekee ya kukabiliana na hawa virus ni kwa kila mtu kuchanja.
 
Toafuti:
1. Aliyechanjwa hapati virus kwa urahisi na hata akipata haugui taabani (viral load ya virus mwilini inakuwa ndogo) na hata akiugua taabani hafi kirahisi na wale wanaokufa ni wachache sana na wanakuwa na complication nyingine.
2. Aliyechanja haumbikizi wenzake kwa urais hata na hata akiambukiza, anaambukiza virus wachache sana na hawakai kwa muda mrefu kwenye mwilini hivyo uwezekano wa virus ku-mutate unakuwa mdogo.
Conclusion: Namna pekee ya kukabiliana na hawa virus ni kwa kila mtu kuchanja.
Hiyo conclosion ni yako wewe na wanaokutuma.
Kipindupindu kinaua kuliko corona usitishe watu kama kwenu mnaumwa chanjeni
 
Hiyo conclosion ni yako wewe na wanaokutuma.
Kipindupindu kinaua kuliko corona usitishe watu kama kwenu mnaumwa chanjeni
Just i dont get you! Kuna uhusiano gani kati ya kipundupindu kuua na chanjo ya korona? Ndiyo maana nikasema mmelemazwa na mawazo ya Magufuli.
 
Back
Top Bottom