I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
kitengo maalum kilimtoa dunianiMagu alikataachanjo matokeoyake koronaikamuondoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kitengo maalum kilimtoa dunianiMagu alikataachanjo matokeoyake koronaikamuondoa
Kip yule uwelewawake mdogodoulponza hivileo badokunawatuwanaamimini ushikina kamawasumakumakitengo maalum kilimtoa duniani
Kajifunze kuandika kwanza kisha urudi tenaKip yule uwelewawake mdogodoulponza hivileo badokunawatuwanaamimini ushikina kamawasumakuma
Korona kichaka kweli kweli wengi wanaona ni rahisi kuficha " mambo" humo.Magu alikataachanjo matokeoyake koronaikamuondoa
Duh , eti huyu naye ana uelewa mkubwaKip yule uwelewawake mdogodoulponza hivileo badokunawatuwanaamimini ushikina kamawasumakuma
Utakuwa umechanja chale sio chanjoMe tangu nimechoma mambo yamenyooka. Nikupiga pesa tu maana madili yana kubali
Sahihi kabisa. Kwenye hizi chanjo tunazotumia hakuna ambayo inazuia maambukizi moja kwa moja. Ila zinapunguza ukali wa maradhi na muda wa kuugua pia.Chanjo haizuii maambukizi ya corona wala haifanyi mtu apatapo maambukizi asiumwe...
Chanjo iliundwa ili kupunguza nguvu ya athari ya Covid, yaani watu wasipate severe illness...
Fundi redio wa kijijiumenikumbusha Mario Van Peebles wa Solo , kitambo sana kibanda umiza
PoleMi nimechoma moja tu bado moja ,
Ila juzi hapa niliukwa koo na mafua na homa ila sio kali vile naelekea kupona
NothingMlochomwa chanjo mwaonaje hali?Hii hali ya sasa vp? Maana naona hili wimbi na nyie mmo tena kwa wingi kweli kweli
Vp mlochomwa hali ipoje kwa wimbi la sasa?nasema haya maana walochomwa naona na nyie mnahangaika kama sisi tu huku mtaani yaan tuna hali sawa....
Acha wajinga wapigwe sindano za kutosha, kila wimbi sindano,na jamaa wajanja kila wakikaa wakiona kumetulia wanaibua kua kuna kirusi kingine kimeibuka huko kinaitwa gamma 😂😂.Mlochomwa chanjo mwaonaje hali?Hii hali ya sasa vp? Maana naona hili wimbi na nyie mmo tena kwa wingi kweli kweli
Vp mlochomwa hali ipoje kwa wimbi la sasa?nasema haya maana walochomwa naona na nyie mnahangaika kama sisi tu huku mtaani yaan tuna hali sawa....
Anasema kasoma vitabu 30 mwaka huu,ila kashindwa kujua kua corona ni utapeli tuZitto imempiga Corona japo Chanjo kapata
Wamedanganywa kuwa ukipata Chanjo ukiumwa Corona siyo serious.
Cha hajabu hata ambao hawajapata Corona na wao wakipata mafua wanapona vizuri
Hakuna taarifa yeyote kama mafua ya kipindi hiki yameondoa uhai watu
Mlochomwa chanjo mwaonaje hali?Hii hali ya sasa vp? Maana naona hili wimbi na nyie mmo tena kwa wingi kweli kweli
Vp mlochomwa hali ipoje kwa wimbi la sasa?nasema haya maana walochomwa naona na nyie mnahangaika kama sisi tu huku mtaani yaan tuna hali sawa....
Mimi sijachoma. Nimeugua lakini nimepona kwa muda mfupi kwa kutumia home remedy tu. Wala sikuwa serious sana.Mm sijachoma hizo dalili nimepata hadi kuumwa kfua lakini haikuwa serious sana na nshaapona
Same... Nitachoma nikitaka safiri kwasababu ntakuwa sina optionMimi sijachoma. Nimeugua lakini nimepona tena nyumbani tu, wala sikuwa serious sana.
Huna sababu ya kuwa specimen ya mtu anayetaka kuunda mtu. Wewe habari ya cheti cha chanjo ni kitu kingine na kuchanjwa ni kitu kingie. Usijiue kwa sababu unataka cheti cha safari.Same... Nitachoma nikitaka safiri kwasababu ntakuwa sina option