#COVID19 Mlochoma chanjo njooni mtupe mrejesho kwa hali ya sasa

#COVID19 Mlochoma chanjo njooni mtupe mrejesho kwa hali ya sasa

Mlochomwa chanjo mwaonaje hali?Hii hali ya sasa vp? Maana naona hili wimbi na nyie mmo tena kwa wingi kweli kweli

Vp mlochomwa hali ipoje kwa wimbi la sasa?nasema haya maana walochomwa naona na nyie mnahangaika kama sisi tu huku mtaani yaan tuna hali sawa....
Magufuli aliharibu sana akili zenu. Nadhani watanzania wengi hawajui abc za korona na chanjo kwa ujumla.
 
Zitto imempiga Corona japo Chanjo kapata
Wamedanganywa kuwa ukipata Chanjo ukiumwa Corona siyo serious.
Cha hajabu hata ambao hawajapata Corona na wao wakipata mafua wanapona vizuri

Hakuna taarifa yeyote kama mafua ya kipindi hiki yameondoa uhai watu
Una uhakika hayo mafua ni korona? Umejuaje na Tanzania hawazingatii upimaji wala hakuna takwimu? Wewe ni mgeni hapa? Mwaka jana kulikuwa na thread ya wanalalamika mafua makali sana na homa na wengi wakafikia hitimisho kuwa ni korona ila watu hawafi kwa sababu waafrika ni sugu. Baada ya muda ilipopiga korona ya kweli watu wakafa kwa wingi ndiyo tukajua kuwa kumbe yale yalikuwa mafua ya kawaida tu. BTW unafikiria hata kama hiki kirusi kipya hakina makali basi ndiyo hatari imepita? Unajua maana ya mutation? Unajua ni kwanini wanasisitiza sana watu wachanjwe?

Hii ni thread ya mwaka jana kipindi kama hiki:
 
Magufuli aliharibu sana akili zenu. Nadhani watanzania wengi hawajui abc za korona na chanjo kwa ujumla.
Kwenye chanjo unamaingizia tu jiwe, wachezaji wengi kule Europe hasa EPL wamegoma kuchanja na hawataki kusikia chanjo.
Hao nao unataka kusema jiwe kaharibu akili zao, suala la chanjo ni dunia nzima wanapinga hakuna nchi raia wote wamekubali
 
Una uhakika hayo mafua ni korona? Umejuaje na Tanzania hawazingatii upimaji wala hakuna takwimu? Wewe ni mgeni hapa? Mwaka jana kulikuwa na thread ya wanalalamika mafua makali sana na homa na wengi wakafikia hitimisho kuwa ni korona ila watu hawafi kwa sababu waafrika ni sugu. Baada ya muda ilipopiga korona ya kweli watu wakafa kwa wingi ndiyo tukajua kuwa kumbe yale yalikuwa mafua ya kawaida tu. BTW unafikiria hata kama hiki kirusi kipya hakina makali basi ndiyo hatari imepita? Unajua maana ya mutation? Unajua ni kwanini wanasisitiza sana watu wachanjwe?

Hii ni thread ya mwaka jana kipindi kama hiki:
Nani kakuambia watu walikufa kwa uwingi kushinda Italy,USA
Wewe upo kwenye upande wa kusisitiza watu wachanjwe?
 
Mlochomwa chanjo mwaonaje hali?Hii hali ya sasa vp? Maana naona hili wimbi na nyie mmo tena kwa wingi kweli kweli

Vp mlochomwa hali ipoje kwa wimbi la sasa?nasema haya maana walochomwa naona na nyie mnahangaika kama sisi tu huku mtaani yaan tuna hali sawa....
Mi nimechanja Pfizer na sindano ya 2 nilipata september.
Niko okay tu hadi sasa na sijapata changamoto yoyote ile, sina hakika kama ni sababu ya chanjo maana hata kabla ya kuchanjwa pia sikuwahi kupata changamoto zozote zile zinazoashiria kuwa nna covid 19, kwahiyo sijaona tofauti yoyote ile kwenye afya yangu
 
Binafsi nilichanja 06/11/2021 na nilirudi kuchanja chanjo ya pili 24/11/2021 naendelea vizuri pia kwa chanjo zote mbili so kuhisi madhara yote mwilini.[emoji120]
 
Kwenye chanjo unamaingizia tu jiwe, wachezaji wengi kule Europe hasa EPL wamegoma kuchanja na hawataki kusikia chanjo.
Hao nao unataka kusema jiwe kaharibu akili zao, suala la chanjo ni dunia nzima wanapinga hakuna nchi raia wote wamekubali
Na sijasema kuna nchi raia wake wote wamekubali. Uwe unasoma na kuelewa kabla ya kuchangia. Mimi nimezungumzia jiwe alivyopotosha akili za watu kuhusu suala zima la korona. BTW ukiambiwa utoe takwimu za EPL ni wachezaji wangapi wachanja na ni wangapi hawajachanja unazo?
 
Did I mention Italy and USA in my comment? Unajua kusoma kwa ufahamu au unajibu vapour tu?
Did I mention Ndo nini unajifanya mzungu sana.
Sikujibu ilo swali lako kwa kuwa umeandika upuuz

Shuleni sijui mlienda kujifunza nini? Kwa uandishi huu
Kiswahili kiingereza unachanganya

Hizi shule sijui zinafunguliwa lini, wanafunzi warudi shule mkajifunze
Una uhakika hayo mafua ni korona? Umejuaje na Tanzania hawazingatii upimaji wala hakuna takwimu? Wewe ni mgeni hapa? Mwaka jana kulikuwa na thread ya wanalalamika mafua makali sana na homa na wengi wakafikia hitimisho kuwa ni korona ila watu hawafi kwa sababu waafrika ni sugu. Baada ya muda ilipopiga korona ya kweli watu wakafa kwa wingi ndiyo tukajua kuwa kumbe yale yalikuwa mafua ya kawaida tu. BTW unafikiria hata kama hiki kirusi kipya hakina makali basi ndiyo hatari imepita? Unajua maana ya mutation? Unajua ni kwanini wanasisitiza sana watu wachanjwe?

Hii ni thread ya mwaka jana kipindi kama hiki:
 
Wamejua kutuchonganisha sana sahivi kuna pande mbili na kila pande inamuombea mwenzake mabaya, Waliochanjwa wanaomba wasiochanjwa yawakute mambo na wasiochanjwa wanaomba waliochanjwa wakutwe na mambo.
 
Wamejua kutuchonganisha sana sahivi kuna pande mbili na kila pande inamuombea mwenzake mabaya, Waliochanjwa wanaomba wasiochanjwa yawakute mambo na wasiochanjwa wanaomba waliochanjwa wakutwe na mambo.
Kweli
 
Nimechanja hili wimbi hata sina stress nalo sijui ni mafua sijui ni corona sina muda, nipo nachapa kazi tu
 
Mlochomwa chanjo mwaonaje hali?Hii hali ya sasa vp? Maana naona hili wimbi na nyie mmo tena kwa wingi kweli kweli

Vp mlochomwa hali ipoje kwa wimbi la sasa?nasema haya maana walochomwa naona na nyie mnahangaika kama sisi tu huku mtaani yaan tuna hali sawa...

Mlochomwa chanjo mwaonaje hali?Hii hali ya sasa vp? Maana naona hili wimbi na nyie mmo tena kwa wingi kweli kweli

Vp mlochomwa hali ipoje kwa wimbi la sasa?nasema haya maana walochomwa naona na nyie mnahangaika kama sisi tu huku mtaani yaan tuna hali sawa....
Kuchoma chanjo haimaanishi hupati corona, ila ukipata uwezekano wa kupita kama homa ya kawaida ni mkumbwa. Waliokuwa ICU , 9 out of 10 hawakuchanja.
 
Mimi hapa nimerudi kusukumiza nyungu, tusiingie mtego wa mabeberu wa kuhamasisha matumizi ya chanjo. Tutajikuta tunakuwa tegemezi wa chanjo na kuua mfumo wa kinga asili. Na tukifikia hatua hiyo, beberu atakuwa katushika masikio na kutupeleka uelekeo anaotaka...........
 
Back
Top Bottom