Mlowahi kudate au kuoa wasichana wa kihindi njooni hapa

Kwani uongo mkuu??hawana kitu wako kama wadudu
Dahh 😂😂 mkuu hata kama ila hapa umezidisha..kama wadudu? Ahahahah.
Aio kwel bwana.
Nimekulia mtaa wa Uhindini /Jamat street hapa Iringa brother wapo wahindi ni pini kali hatar hatar.
Wewe hao unaowazungumzia ni wamama wameshazaa wamechoka choka
 
Mbena mwenzangu uliniangusha,ilibidi mtoto atafunwe na kitambi chake.
 

Huko iringa nakufahamu vzr kabisaaaaaa sjawahi ona hao pisi kali za kihindi hapo jamatini
 
Mkipata pesa pitieni kwenye kasino nyingi za dar utawakuta ngozi nyeupe wenye muonekano na wasiobagua ila

Huko mtaani mtaishia kukutana na ngozi nyeupe wenye vitambi na ubaguzi juu.

Uko wapi Naira , uliijaza CV yangu kwa mambo adimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi white race zimenipitia kushoto niliwahi kudate na mmanga tu nae tukajamwagana .ila ukinikuta na heka heka za uswahilini sasa utachoka sijui wana nini. Nisamehe mpenzi mkewangu
 
Rangi nyeupe kwa ubaguzi ni [emoji91].

Nimewahi kua kwenye mahusiano na mtoto wa kihindi enzi hizo nikiwa advance school, mtoto tulikutana library moja hivi ya kihindi ipo Mwanza maeneo karibu na Mwanza hotel.

Kiukweli mtoto alikua mkali lakini sijui niseme alikua hajui mavitu au nini ila kiukweli alinifanya nisiwatamani tena,
wapili nimekutana nae ukubwani kwenye course fulani hivi ya kuendeleza ujuzi naye akapuyanga tu na hapo nikaapa kabisa mimi nitaendela kula hawa wadigo, wazaramu na wadengeleko tu(Buntu ladies) hao wengine labda niwe nimezidiwa.

Note: nilishawahi kula papuchi za waarabu na wazungu lakini pia hazikuninogea na niliona zimepoa sana hazina joto joto nililozoea kama hizi za kina mwajuma ndala ndefu.

Bantu ladies wanajua kutufurahisha na siku zote watakua juu kileleni.[emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi white race zimenipitia kushoto niliwahi kudate na mmanga tu nae tukajamwagana .ila ukinikuta na heka heka za uswahilini sasa utachoka sijui wana nini. Nisamehe mpenzi mkewangu

Mmanga Ndio yupoje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…