LGE2024 Mlowo: Polisi watawanya Mkutano wa Mbowe kwa Mabomu. Kosa kaingilia ratiba ya ACT-Wazalendo

LGE2024 Mlowo: Polisi watawanya Mkutano wa Mbowe kwa Mabomu. Kosa kaingilia ratiba ya ACT-Wazalendo

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Chadema wanapenda attention ya media. Ratiba ni ya ACT, chadema anaongea na ACT na kukubaliana kabla ya mkutano wa ACT kuanza mwenyekiti wa Chadema aongee na wananchi, childish. Unafanya mabadiliko bila kutaarifu vyombo vilivyokabidhiwa ratiba kusimamia amani kwenye mikutano?? Walitakiwa kuomba kibali kwa wenye mamlaka ya kusimamia amani ya mikutano kuwa tumekubaliana na ACT kuwa tutaanza sisi kisha wataendelea.

Wameenda kiholela na wenye mamlaka ya kusimamia usalama hawakuwa na taarifa wakadhani wanataka kuleta chokochoko. Wenye mamlaka wapo sahihi, wasubuli siku yao na wafuate utaratibu na ratiba iliyowekwa ambayo wanaijua ila wanataka muda wote waonekane wanaonewa ili waonewe huruma
Mimi sio CCM lakini hapa CDM wamekosea walipaswa kutoa taarifa kwa vyombo vya usalama
 
Wakuu

Jeshi la Polisi limemzuia mwenyekiti wa Chama cha CHADMA, Taifa, Freeman Mbowe kuzungumza na wananchi wa Mbozi, Mkoani Songwe, na kuwatawanya kwa mabomu wananchi waliokusanyika kumsikiliza mwenyekiti.

Kwa mujibu wa Ratiba eneo hilo lilikuwa na mkutano wa Chama cha ACT wazalendo mchana wa leo Novemba 22, 2024.

Viongozi wa Chadema wakazungumza na Viongozi wa Chama cha ACT Wazalendo na kukubaliana kuwa muda wa asubuhi mwenyekiti wa Chama Taifa Freeman Mbowe azungumze na wananchi wa Mlowo.
Waambie nimewatukania
 
Baada ya siku 2 tu za kampeni, tayari watawala washapata Picha kamili kwamba Mwisho wa CCM UMEFIKA RASMI, Sasa wameamua kuingiza Polisi na mitutu mitaani.

Tulishaonya Tangu mapema humu kwamba CCM haipo, imebaki polisi na watekaji tu.

View attachment 3158684View attachment 3158685View attachment 3158686

Nguvu za kuokoa Wahanga wa ghorofa la Kariakoo hakuna, ila ya kuumiza Raia imejaa!

Poor Polisi!
MTAHENYA MWAKA HUU LAANA YA KUMTUKANA JPM INAWARUDIA MPAKA MAJI MUITE MMA WAPUUZI NYIE
 
Wakuu,

1732277098434.png

Pia soma: LGE2024 - Freeman Mbowe akamatwa na Jeshi la Polisi akielekea Mbozi mkoani Songwe

Jeshi la polisi hii leo Ijumaa Novemba 22, 2024, limemzuia mwenyekiti wa CHADEMA Mbowe
kuzungumza na wananchi wa Mlowo. Kulingana na ripoti kutoka kwa wanachadema polisi hao walitumia mabomu ya kutoa machozi kuwatawanya wananchi waliokusanyika kumsikiliza mwenyekiti huyo.
 
Hizi sympathy za kutafutiza chaaaaa!
So mnatupanga!

Ukiisha uchafuzi sorry uchanguzi 🫣 msikose excuses za tulijaribu si mliona vile walitufanya…

Tuliwashauri zuieni hili zoezi kwa namna yoyote sio kususa but kuzuia kwani ni batili
Mliwaacha wanaharakati kupeleka kesi mahakamani wenyewe… hizi sarakasi zitaisha lini?

Ngoja tusogeze meza iliyojaa bilauri tupu.
 
CHADEMA ni wapumbavu. Hayo mazungumzo yasiyokuwa na kibali cha polisi ni uvunjifu wa amani. ACT ndo wanatoa vibali vya mikutano siku hizi? Waache utoto.
 
Back
Top Bottom