barnabas masoko
JF-Expert Member
- Aug 8, 2016
- 1,298
- 659
Habari wakuu,
Leo tena nawaletea ujuzi mwingine ni mdogo sana,lakini kwa vile inawasumbua sana watu
Ugonjwa wa bawasiri maarufu ndonda kwa sasa naona imekuwa changamoto sana kwa watu wengi sana kwa sasa.
Kwa mmea huu ukifanikiwa kuupata haijalishi umeugua kwa muda gani, au sugu kiasi gani pale unapoaanza kutumia hapo hapo majibu yanaonekana hapa haijalishi ni ya nje au ndani.
Tiba hii wengi hupenda kuuita bomba
Sababu unaitaji bomba la sindano baada ya kuifikinya na kubaki maji unaweka kwenye chombo na kuongeza maji kidogo unayavuta kwenye bomba la sindano
Kisha inaingizwa kupitia njia ya haja kubwa
0753224347 kwa maelezo zaidi ukifanikiwa kuupata mmea huo
Leo tena nawaletea ujuzi mwingine ni mdogo sana,lakini kwa vile inawasumbua sana watu
Ugonjwa wa bawasiri maarufu ndonda kwa sasa naona imekuwa changamoto sana kwa watu wengi sana kwa sasa.
Kwa mmea huu ukifanikiwa kuupata haijalishi umeugua kwa muda gani, au sugu kiasi gani pale unapoaanza kutumia hapo hapo majibu yanaonekana hapa haijalishi ni ya nje au ndani.
Tiba hii wengi hupenda kuuita bomba
Sababu unaitaji bomba la sindano baada ya kuifikinya na kubaki maji unaweka kwenye chombo na kuongeza maji kidogo unayavuta kwenye bomba la sindano
Kisha inaingizwa kupitia njia ya haja kubwa
0753224347 kwa maelezo zaidi ukifanikiwa kuupata mmea huo