Mmea huu ni kiboko kwa wote wenye ndonda na bawasili

Mmea huu ni kiboko kwa wote wenye ndonda na bawasili

barnabas masoko

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2016
Posts
1,298
Reaction score
659
Habari wakuu,

Leo tena nawaletea ujuzi mwingine ni mdogo sana,lakini kwa vile inawasumbua sana watu

Ugonjwa wa bawasiri maarufu ndonda kwa sasa naona imekuwa changamoto sana kwa watu wengi sana kwa sasa.

Kwa mmea huu ukifanikiwa kuupata haijalishi umeugua kwa muda gani, au sugu kiasi gani pale unapoaanza kutumia hapo hapo majibu yanaonekana hapa haijalishi ni ya nje au ndani.

Tiba hii wengi hupenda kuuita bomba
Sababu unaitaji bomba la sindano baada ya kuifikinya na kubaki maji unaweka kwenye chombo na kuongeza maji kidogo unayavuta kwenye bomba la sindano
Kisha inaingizwa kupitia njia ya haja kubwa
0753224347 kwa maelezo zaidi ukifanikiwa kuupata mmea huo

IMG_20211218_093608.jpg
IMG_20211218_093526.jpg
IMG_20211218_093514.jpg
 
habari
Wakuu
Leo tena nawaletea ujuzi mwingine ni mdogo sana,lakini kwa vile inawasumbua sana watu
Ugonjwa wa bawasiri maarufu ndonda kwa sasa naona imekuwa changamoto sana kwa watu wengi sana kwa sasa
Kwa mmea huu ukifanikiwa kuupata haijalishi umeugua kwa muda gani,au sugu kiasi gani pale unapoaanza kutumia hapo hapo majibu yanaonekana hapa haijalishi ni ya nje au ndani.

Tiba hii wengi hupenda kuuita bomba
Sababu unaitaji bomba LA sindano baada ya kuifikinya na kubaki maji unaweka kwenye chombo na kuongeza maji kidogo unayavuta kwenye bomba LA sindano
Kisha inaingizwa kupitia njia ya haja kubwa
0753224347 kwa maelezo zaidi ukifanikiwa kuupata mmea huoView attachment 2048376View attachment 2048381View attachment 2048382
Inatibu au ni biashara tu
 
habari
Wakuu
Leo tena nawaletea ujuzi mwingine ni mdogo sana,lakini kwa vile inawasumbua sana watu
Ugonjwa wa bawasiri maarufu ndonda kwa sasa naona imekuwa changamoto sana kwa watu wengi sana kwa sasa
Kwa mmea huu ukifanikiwa kuupata haijalishi umeugua kwa muda gani,au sugu kiasi gani pale unapoaanza kutumia hapo hapo majibu yanaonekana hapa haijalishi ni ya nje au ndani.

Tiba hii wengi hupenda kuuita bomba
Sababu unaitaji bomba LA sindano baada ya kuifikinya na kubaki maji unaweka kwenye chombo na kuongeza maji kidogo unayavuta kwenye bomba LA sindano
Kisha inaingizwa kupitia njia ya haja kubwa
0753224347 kwa maelezo zaidi ukifanikiwa kuupata mmea huoView attachment 2048376View attachment 2048381View attachment 2048382
Mimi nnatatizo lakini sijajuwa ninini nakunywa Damu
 
Back
Top Bottom