Mmea huu ni kiboko kwa wote wenye ndonda na bawasili

Mmea huu ni kiboko kwa wote wenye ndonda na bawasili

Usafi,Ajikaushe vizur na kuacha kuvaa nguo za ndani zenye unyevu!

Pia aache kutumia sabuni kali uko chini kama anatumia maana hua zinaua bakteria asilia wa huko, apendelee mtindi pia nasikia nimzuri pia! Dawa aende hospital asije akatumia dawa zikaja kumuharib kizaz!
 
Wacha tu niendelee kusubiri mpaka ipatikane ya kunywa...
kaka mimi nilijaribu kuutafuna wenyewe na nlipona ndani ya siku tatu tu. ni mchungu ila kula mpaka kinyesi kigeuke rangi alafu acha. ila uzuri siku ya kwanza tu unaona mabadiliko. lkn kujidunga naskia ni chap kwa haraka hata saa moja humalizi maumivu yanaisha
 
Back
Top Bottom