Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana kama alivyo sema mleta mada dawa hii inaingizwa kwa mfumo wa haja kubwa kwa kifipa tunaita KUINIKWAHamna ya kunywa.. ?
Sawaa mkuu...nitakuchekInabidi sasa kuamini nicheki 0753224347 nkupe maelekezo jinsi ya kuifanya dawa kisha ulete ushuhuda hapa mkuu
Ambao unaweza kula ugaliMaji hapana, majani menyewe ukiyapikicha halafu unakamua, yanatoa mchuzi flani amazing.
Mkuu majani hayo mabichi ni makali sana hauwezi kulia ugali.Ambao unaweza kula ugali
Ila nmeshangaa sokoni wanauza kama mboga..cjui wanaipikaje kwa kwelMkuu majani hayo mabichi ni makali sana hauwezi kulia ugali.
Kwanza hata ukipikwa mgagani ni mchungu sana tu.
Umeambiwa bomba la sindano unaliingiza kwenye tundu yako ya haja kubwa halafu unarusha maji ya dawa ndaniHamna ya kunywa.. ?
Hii nadhani baadhi ya makabila wanaita sungwe ni chungu kweli ila upikaji wake lazma uichemshe kisha unamwaga maji ulochemshia hapo unaweza iunga ikabaki na uchungu kwa mbali mi naipenda sana ukipika na ugali ni Tamu balaa!!Ila nmeshangaa sokoni wanauza kama mboga..cjui wanaipikaje kwa kwel
Mgagani unatumiwa na akina dada kufanya uke ibaneYaweza kuwa ni dawa kweli, maana unatibu hata vidonda vya masikioni.
Unapikicha unakamua yale majimaji unadondoshea tone masikioni, vidonda 'kau'.
Basi itakuwa ni dawa ya mambo mengi sana kama mwa40!Mgagani unatumiwa na akina dada kufanya uke ibane
Kuota kinyama sehem za haja kubwa, so ukiwa unaenda haja kubwa unasumbuka saaana kwa maumivuBawasirii ni kitu gani au ugonjwa gani?
Ni ule wa kuota vinyama mkunduni kwa ndani kidogo, vinaota vinatokeza hadi nje.Bawasirii ni kitu gani au ugonjwa gani?
Aisee, je hutokea kwa jinsia zote? Nimeuliza hivyo kwani nimekumbuka kuona kitu kama hicho sehemu ila sikuelewa. Je kama mtu asipojitibu kwa muda mrefu kuna madhara yeyote?Ni ule wa kuota vinyama mkunduni kwa ndani kidogo, vinaota vinatokeza hadi nje.
Wakati wa haja kubwa ni mateso tu.
Kunajamaa yangu ilikuwa inasumbua ndonda kapigwa Sana pesa nikampa iyoo bule kesho ananiambia ndugu yangu nimeponaAsante kwa ushuhuda mkuu
Mkuu rejea hili sio tangazo na hakuna atakaekuuzia ukatafute mwenyewe ,nimesema nagawa nachokijua na asomae akijue kimsaidie sihataja bei kuwa unione mkuuwakuu siku hizi matangazo ya tiba asilia yanaruhusiwa!?..
Sio sungwe mkuu wanaita mkalifwa wengineHii nadhani baadhi ya makabila wanaita sungwe ni chungu kweli ila upikaji wake lazma uichemshe kisha unamwaga maji ulochemshia hapo unaweza iunga ikabaki na uchungu kwa mbali mi naipenda sana ukipika na ugali ni Tamu balaa!!
Ndonda kinyama kutoka sehem ya haja kubwaBawasirii ni kitu gani au ugonjwa gani?
Mgaganihabari
Wakuu
Leo tena nawaletea ujuzi mwingine ni mdogo sana,lakini kwa vile inawasumbua sana watu
Ugonjwa wa bawasiri maarufu ndonda kwa sasa naona imekuwa changamoto sana kwa watu wengi sana kwa sasa
Kwa mmea huu ukifanikiwa kuupata haijalishi umeugua kwa muda gani,au sugu kiasi gani pale unapoaanza kutumia hapo hapo majibu yanaonekana hapa haijalishi ni ya nje au ndani.
Tiba hii wengi hupenda kuuita bomba
Sababu unaitaji bomba LA sindano baada ya kuifikinya na kubaki maji unaweka kwenye chombo na kuongeza maji kidogo unayavuta kwenye bomba LA sindano
Kisha inaingizwa kupitia njia ya haja kubwa
0753224347 kwa maelezo zaidi ukifanikiwa kuupata mmea huoView attachment 2048376View attachment 2048381View attachment 2048382
Kwa wote mkuu...enyewe mimi hapa inakaribia kupona kabisaAisee, je hutokea kwa jinsia zote? Nimeuliza hivyo kwani nimekumbuka kuona kitu kama hicho sehemu ila sikuelewa. Je kama mtu asipojitibu kwa muda mrefu kuna madhara yeyote?