Pia aache kutumia sabuni kali uko chini kama anatumia maana hua zinaua bakteria asilia wa huko, apendelee mtindi pia nasikia nimzuri pia! Dawa aende hospital asije akatumia dawa zikaja kumuharib kizaz!
kaka mimi nilijaribu kuutafuna wenyewe na nlipona ndani ya siku tatu tu. ni mchungu ila kula mpaka kinyesi kigeuke rangi alafu acha. ila uzuri siku ya kwanza tu unaona mabadiliko. lkn kujidunga naskia ni chap kwa haraka hata saa moja humalizi maumivu yanaisha