Mmegombana Akasema anaenda kwao Mpe nauli, na usimfuate wala kumtumia nauli ya kurudia.

Mmegombana Akasema anaenda kwao Mpe nauli, na usimfuate wala kumtumia nauli ya kurudia.

usipowafuata wakipigika kimaisha huko walikokimbilia hulialia na kuomba nauli warudi ila wakipata masela ya kuwahifadhi hawarudi na huzaa kabisa huko
 
Ilinitokea enzi za ujana bi dada mmoja ilikuwa kila tukikwazana anakimbilia aidha kwenda kwao ama kutishia kwenda kwao.

Ilitokea siku moja tukazinguana akasepa. Kawaida ilikuwa namfuata kumbembeleza. Safari hiyo sikumfuata nikaa kimya.

Baada ya muda akawa anatuma rafiki yake aje kuangalia kama nina mtu.
Kilichotokea yule rafiki yake ndio akawa mtu mwenyewe.

Alipokuja kuamua kurudi alikuta rafiki yake ndio mwenye nyumba.
Akatoka kuwa main chic mpaka side chic kwa upumbavu wake.
Safi, uanaume ndo huu sasa
 
Wangu ananitishia muda wote kuondoka na nilivyo bwege nambembeleza, naapa kuanzia sasa akiniletea ujinga nafukuza nimeshaelimiswa na mtibelia
 
Nondo tupu. Watibeli tunaelewa hili ndio maana

Wanatuhitaji kuliko sisi ambavyo tunawahitaji.
 
Inakuwa ngumu kufukuza kwasabb mbalimbali.
Mifano:-
1. Akiwa na katoto kachanga akikuachia utateseka nako mpk ujivue utibeli.
2. Kama una hela ya mawazo akaamua mgawane kiwanja ama kitanda mlichokinunua pamoja utajua kuwa wewe siyo mtibeli tena.
3. Ukifukuza mlevi atakayekuja anaweza kuwa teja. Ukifukuza katili anayekuja anaweza kuwa muuaji.

Ndiyo maana wenye akili wanaishi nao kwa akili
 
Wewe ni malaya,Watibeli hawageuzi main chick to side chick.Ukipiga chini piga mazima acha umalaya
It takes one to know the other.

Mimi na wewe wote ni malaya ndio maana ukanitambua.
 
Eti kukupa mbususu hadi apange ratiba ama kwa kujisikia, fukuza. Hakuja kwako kwa show wala kula.
 
Inakuwa ngumu kufukuza kwasabb mbalimbali.
Mifano:-
1. Akiwa na katoto kachanga akikuachia utateseka nako mpk ujivue utibeli.
2. Kama una hela ya mawazo akaamua mgawane kiwanja ama kitanda mlichokinunua pamoja utajua kuwa wewe siyo mtibeli tena.
3. Ukifukuza mlevi atakayekuja anaweza kuwa teja. Ukifukuza katili anayekuja anaweza kuwa muuaji.

Ndiyo maana wenye akili wanaishi nao kwa akili

1. Watibeli wanaume hulea watoto wa umri wowote.
2. Pesa na mali sio vipaombele vya Watibeli. Hata akisema apewe vyote tunampa
3. Watibeli hawaoi walevi
 
Wangu ananitishia muda wote kuondoka na nilivyo bwege nambembeleza, naapa kuanzia sasa akiniletea ujinga nafukuza nimeshaelimiswa na mtibelia

Usimfukuze. Muache aondoke mwenyewe. Ila akiasi kwa mambo ya usaliti mfukuze
 
Back
Top Bottom