Mmeona sasa utofauti kati ya Uwajibikaji wa Wazungu na Waafrika? Kwetu Rais mpaka afie madarani vinginevyo hatoki!

Mmeona sasa utofauti kati ya Uwajibikaji wa Wazungu na Waafrika? Kwetu Rais mpaka afie madarani vinginevyo hatoki!

deblabant

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2022
Posts
2,650
Reaction score
4,065
Kila siku tunawaambia ya kuwa Wazungu ile ni race ambayo ina akili sana na huenda taifa pendwa la Mungu.

Angalia Joe Biden ameamua kujiuzulu kugombea Urais kisa uzee na shinikizo la watu kutaka afanye hivyo.

Pia soma: Joe Biden ajitoa kugombea Urais wa Marekani 2024

Huku kwetu Africa, Rais mpaka afie madarakani. Museveni, Kagame, nk, hawataki kabisa kuachia madaraka eti wanaleta maendeleo as if watu wengine ni vilaza wenyewe ndio wana akili tu!

I'm sure hata Hayati Magufuli alikuwa anataka kufata the same path, asingeachia madaraka kabisaa. Ndio maana kaweka bunge lote CCM ili asipingwe kwa chochote na akahakikisha chombo cha habari ni TBC tu vingine akawa anawaita malaika kuvifuta.

Hakika sisi Waafrika ni laana na Mungu anajua sisi siyo binadamu.
 
Hadi 2025 wehu mtapungua tu mitandaoni.
Ki vipi. Kwani unaona sisis waafrica ni watu wa kawaida? Kama jpm ndo kabisa lilikuwa li dictator upcoming. Mungu akaamu kumuangamizia mbali asije chafua taifa lililokabidhiwa liwe chini ya ulinzi wa bikra maria na papa paul wa pili
 
you are buying so much into propaganda, mambo usioyaelewa ni bora ukae kimya, unaangalia msn halafu unaamini propaganda wanazokulisha bila ya kuhoji na kuanza kusifia ujinga na udikteta wa democrats (chama cha sleepy joe) , unakwenda mbali hata kulaani na kutukana your own, …
 
Mawazo na fikra ya kutawaliwa na wazungu ndio Laana yenyewe kabisa.

Uzuri sasa tunapata taarifa bwerere. Kinachofanyika huko kwa wazungu hakina tofauti na kile kinachofanyika Afrika.

Siasa sio lele mama!
Aluta Continua.
 
Sasa afya ya Biden uilinganishe na Kagame au Museveni?
Issue ni kwamba kagame katiba haimruhusu kugombea. Mihura yake imeshaisha. Africa hatuheshimu hata katiba inakuwaje sasa maisha ya watu ama kuua ovyo ovyo kama afanyavyo kagame kwa mtu mwente nguvu kushindana naye kama ambayo jpm alitala kumassasinate lisu
 
Ki vipi. Kwani unaona sisis waafrica ni watu wa kawaida? Kama jpm ndo kabisa lilikuwa li dictator upcoming. Mungu akaamu kumuangamizia mbali asije chafua taifa lililokabidhiwa liwe chini ya ulinzi wa bikra maria na papa paul wa pili
Wehu kama pembe tu,haujifichi.
 
Kila siku tunawaaambia ya kuwa wazungu ile ni race ambayo ina akili sana na huenda taifa pendwa la Mungu.

Angalia Joe Biden ameamua kujiuzulu kugombea Urais kisa uzee na shinikizo la watu kutaka afanye hivyo

Hiku kwetu Africa,Rais mpaka afie madarakani. Museveni, Kagame nk hawataki kabisa kuachia madaraka eti wanaleta maendeleo as if watu wengine ni vilaza wenyewe ndo wana akili tu

I'm sure hata Hayati Magufuli alikuwa anataka kufata the same path asingeachia madaraka kabisaa. Ndio mana kaweka bunge lote CCM ili asipingwe kwa chochote na akahakikisha chombo cha habari ni TBC tu vingine akawa anawaita malaika kuvifuta.

Hakika sisi waafrika ni laana na Mungu anajua sisi siyo binadamu
Una akili kweli wewe au una bwana mzungu? Unadhani mazingira yanafanana au hali ya Biden ni sawa na Kagame au Museveni
 
Kila siku tunawaambia ya kuwa Wazungu ile ni race ambayo ina akili sana na huenda taifa pendwa la Mungu.

Angalia Joe Biden ameamua kujiuzulu kugombea Urais kisa uzee na shinikizo la watu kutaka afanye hivyo.

Huku kwetu Africa, Rais mpaka afie madarakani. Museveni, Kagame, nk, hawataki kabisa kuachia madaraka eti wanaleta maendeleo as if watu wengine ni vilaza wenyewe ndio wana akili tu!

I'm sure hata Hayati Magufuli alikuwa anataka kufata the same path, asingeachia madaraka kabisaa. Ndio maana kaweka bunge lote CCM ili asipingwe kwa chochote na akahakikisha chombo cha habari ni TBC tu vingine akawa anawaita malaika kuvifuta.

Hakika sisi Waafrika ni laana na Mungu anajua sisi siyo binadamu.
Umeandika vzr lakini ukafanya ujinga kumuingiza Magufuli aliyeongoza kwa miaka mitano pekee na kutuaga kwa mapenzi ya mungu. Na alisisitiza kwamba hataongeza hata dakika moja. Hivyo usiwe mjinga
 
Umefuatilia habari kuona idadi ya senior democrats representative waliokuwa wanamsihi aachie madaraka last count ilikuwa 40.

Bado kulikuwa kuna donors ambao wali-commit kuchangia $90 million ya campaign ya uraisi, baadae wakasema awatatoa tena kama Biden atakuwa nominated kugombea.

Kulikuwa na pressure kubwa ya ndani ya chama chake na wafuasi wao, babu hana mental capacity ya kuendesha nchi. Sio kwamba kaachia tu kirahisi.

Sasa sijui Magufuli anaingia vipi wakati hakuna ushahidi wa yeye kutaka kuongoza maisha, angetaka ivyo watanzania wengi pia tungeunga mkono kazi ya maendeleo iendelee.
 
Back
Top Bottom