Mmeona sasa utofauti kati ya Uwajibikaji wa Wazungu na Waafrika? Kwetu Rais mpaka afie madarani vinginevyo hatoki!

Mmeona sasa utofauti kati ya Uwajibikaji wa Wazungu na Waafrika? Kwetu Rais mpaka afie madarani vinginevyo hatoki!

Umeandika vzr lakini ukafanya ujinga kumuingiza Magufuli aliyeongoza kwa miaka mitano pekee na kutuaga kwa mapenzi ya mungu. Na alisisitiza kwamba hataongeza hata dakika moja. Hivyo usiwe mjinga
Huwa wanasemaga hivyohivyo. Hata kagame huwa anasemaga kuwa haongezi tena ila ukikaribia uchaguzi anakuja kivingine. Jpm maneno yake ilikuwa tofauti na vitendo ndo maana aliiba uchaguzi wote ili ahakikishe ccm ndo wanakuwa bungeni ili kulinda maamuzi yake
 
Mtu mwenye miaka 76 hakutakiwa kuwa rais,ni kuyumba kwa dish la Biden kwenye mdahalo ndiyo kumemtoa,mnakuaje na rais hawezi nyoosha sentensi kisa dishi haliko sawa!!?
Trump ana miaka mingapi ?
 
Kila siku tunawaambia ya kuwa Wazungu ile ni race ambayo ina akili sana na huenda taifa pendwa la Mungu.

Angalia Joe Biden ameamua kujiuzulu kugombea Urais kisa uzee na shinikizo la watu kutaka afanye hivyo.

Pia soma: Joe Biden ajitoa kugombea Urais wa Marekani 2024

Huku kwetu Africa, Rais mpaka afie madarakani. Museveni, Kagame, nk, hawataki kabisa kuachia madaraka eti wanaleta maendeleo as if watu wengine ni vilaza wenyewe ndio wana akili tu!

I'm sure hata Hayati Magufuli alikuwa anataka kufata the same path, asingeachia madaraka kabisaa. Ndio maana kaweka bunge lote CCM ili asipingwe kwa chochote na akahakikisha chombo cha habari ni TBC tu vingine akawa anawaita malaika kuvifuta.

Hakika sisi Waafrika ni laana na Mungu anajua sisi siyo binadamu.
Sipendi mtu anae laani Africa 🌍....hili bala limebatikiwa wewe ni nani utoe laana
 
Kwan wewe ni January au Nape?? Wamekitengua, umesusa na praise na worship team... sasa Tlaatlaah atabaki mpweke
na malizia kuvuna nije kuelezea mageuzi na mapinduzi yaliyofanyika katika katika kilimo kwenye awamu hii ya sita chini ya Kiongozi wetu ambae tunampenda sana kama Taifa Dr.Samia Suluhu Hassan, kwenye sekta hii ya kilimo inayosimamiwa na huyu kijana mchaka kazi mbunifu, hodari sana asie choka waziri Husseni Bashe 🐒

kwesema Ukweli ni Muhimu sana kwa Taifa 🐒
 
Biden anamkaribisha Zelensky alafu anamuita Jina Putin na Nchi anampa Ukraine, Biden ni Yuniki Fulawa wa Marekani dish limeyumba
Trump naye hupoteza memory,siku hizi naona huongea taratibu,sijui kwa nini
 
Ki vipi. Kwani unaona sisis waafrica ni watu wa kawaida? Kama jpm ndo kabisa lilikuwa li dictator upcoming. Mungu akaamu kumuangamizia mbali asije chafua taifa lililokabidhiwa liwe chini ya ulinzi wa bikra maria na papa paul wa pili
Kuna li mtu lingine watu wanatamani liwe rais haki ya nani mtahama kwa navyolijua mimi.
Lina unafiki ,ujuaji mwingi na pia lipenda sifa kama baba yake marehemu.Now lipo kanda za juu linajizolea sifa kwa vitendo vyake vya kutatua matatizo jukwaani huku CAMERA zikimmulika
 
Umeandika vzr lakini ukafanya ujinga kumuingiza Magufuli aliyeongoza kwa miaka mitano pekee na kutuaga kwa mapenzi ya mungu. Na alisisitiza kwamba hataongeza hata dakika moja. Hivyo usiwe mjinga

..alikuwa mgonjwa hakutakiwa aendelee ktk nafasi ile.

..pia ugonjwa wake ulifichwa, lakini wazungu wako wazi kwamba bwana mkubwa afya yake ina changamoto.
 
Screenshot_20240717-130932.jpg
 
Asingeaachia kama sio pressure kutoka kwa the real powers... Biden alikua kibaraka wa wasiomtaka Trump
 
Kila siku tunawaambia ya kuwa Wazungu ile ni race ambayo ina akili sana na huenda taifa pendwa la Mungu.

Angalia Joe Biden ameamua kujiuzulu kugombea Urais kisa uzee na shinikizo la watu kutaka afanye hivyo.

Pia soma: Joe Biden ajitoa kugombea Urais wa Marekani 2024

Huku kwetu Africa, Rais mpaka afie madarakani. Museveni, Kagame, nk, hawataki kabisa kuachia madaraka eti wanaleta maendeleo as if watu wengine ni vilaza wenyewe ndio wana akili tu!

I'm sure hata Hayati Magufuli alikuwa anataka kufata the same path, asingeachia madaraka kabisaa. Ndio maana kaweka bunge lote CCM ili asipingwe kwa chochote na akahakikisha chombo cha habari ni TBC tu vingine akawa anawaita malaika kuvifuta.

Hakika sisi Waafrika ni laana na Mungu anajua sisi siyo binadamu.
Mseveni na kagame wamefikia uzee wa Biden?
 
Hizo ndo akili za kimasikini mlizoachiwa na lile shetani lenu la Chato.
Mliaminishwa kuwachukia tu ambao shetani lenu halikuwapenda
Kwaiyo wizi, ufisadi na kubebwa kisa ni watoto wa wastafu kwenu nyie ndo roho ya utajiri?
 
Back
Top Bottom