Mmeona sasa utofauti kati ya Uwajibikaji wa Wazungu na Waafrika? Kwetu Rais mpaka afie madarani vinginevyo hatoki!

Mmeona sasa utofauti kati ya Uwajibikaji wa Wazungu na Waafrika? Kwetu Rais mpaka afie madarani vinginevyo hatoki!

Wazungu nchi zao zinaendelea kwasababu wanajielewa.linapokuja swala la uongozi na uwajibikaji wanafanya kwa maslahi ya nchi tofauti na afrika tunakofanya kwa maslahi ya matumbo yetu na yawajukuu zetu.
 
Kila siku tunawaambia ya kuwa Wazungu ile ni race ambayo ina akili sana na huenda taifa pendwa la Mungu.

Angalia Joe Biden ameamua kujiuzulu kugombea Urais kisa uzee na shinikizo la watu kutaka afanye hivyo.

Pia soma: Joe Biden ajitoa kugombea Urais wa Marekani 2024

Huku kwetu Africa, Rais mpaka afie madarakani. Museveni, Kagame, nk, hawataki kabisa kuachia madaraka eti wanaleta maendeleo as if watu wengine ni vilaza wenyewe ndio wana akili tu!

I'm sure hata Hayati Magufuli alikuwa anataka kufata the same path, asingeachia madaraka kabisaa. Ndio maana kaweka bunge lote CCM ili asipingwe kwa chochote na akahakikisha chombo cha habari ni TBC tu vingine akawa anawaita malaika kuvifuta.

Hakika sisi Waafrika ni laana na Mungu anajua sisi siyo binadamu.
Umeanza vizurii mwishoni umeharisha Haya ya mwisho
 
Umefuatilia habari kuona idadi ya senior democrats representative waliokuwa wanamsihi aachie last count ni 40.

Bado kuna donors ambao wali-commit kuchangia $90 million ya campaign ya uraisi, walisema awatatoa tena kama Biden atakuwa nominated.

Kulikuwa na pressure kubwa ya ndani ya chama chake na wafuasi wao, babu hana mental capacity ya kuendesha nchi. Sio kwamba kaachia tu kirahisi.

Sasa sijui Magufuli anaingia vipi wakati hakuna ushahidi wa yeye kutaka kuongoza maisha, angetaka ivyo watanzania wengi pia tungeuka mkono kazi ya maendeleo iendelee.
Bado kuna tofauti kubwa kati ya waafrika na wazungu.mifano iko mingi duniani.ata huyo biden bado alikua na uamuzi wakwenda hadi kwenye sanduku la kura uchaguzi ukaamue.Kwa mwafrika hadi kifo kimuondoe au jeshi liingilie kati kama ilivyotokea kwa baadhi ya nchi za afrika magharibi.
 
Kila siku tunawaambia ya kuwa Wazungu ile ni race ambayo ina akili sana na huenda taifa pendwa la Mungu.

Angalia Joe Biden ameamua kujiuzulu kugombea Urais kisa uzee na shinikizo la watu kutaka afanye hivyo.

Pia soma: Joe Biden ajitoa kugombea Urais wa Marekani 2024

Huku kwetu Africa, Rais mpaka afie madarakani. Museveni, Kagame, nk, hawataki kabisa kuachia madaraka eti wanaleta maendeleo as if watu wengine ni vilaza wenyewe ndio wana akili tu!

I'm sure hata Hayati Magufuli alikuwa anataka kufata the same path, asingeachia madaraka kabisaa. Ndio maana kaweka bunge lote CCM ili asipingwe kwa chochote na akahakikisha chombo cha habari ni TBC tu vingine akawa anawaita malaika kuvifuta.

Hakika sisi Waafrika ni laana na Mungu anajua sisi siyo binadamu.
Mtu mwenye miaka 76 hakutakiwa kuwa rais,ni kuyumba kwa dish la Biden kwenye mdahalo ndiyo kumemtoa,mnakuaje na rais hawezi nyoosha sentensi kisa dishi haliko sawa!!?
 
Kwahio Trump mpaka watu kuvamia Congress na mpaka leo kusema aliibiwa alibadilika kuwa Muafrika ?, Na mtu kama Nixon baada ya kufanya ndivyo sivyo na shinikizo kubwa ndio akajifanya kutoka. In short ni kwamba Biden Sponsors walianza kusema hawatatoa pesa kwahio there was no way out na Marekani Bila Pesa huchukui nchi (Wanaochagua ni Donors, Delegates ) sio kapuku anayeletewa choice ya kuchagua, Wanasiasa wote ni walewale
 
Huyo mzee anaetembea kama Robot
Halafu kakaa mda gani Uraisi?
Mzee anasahau na ana Covid pia
Mwacheni akaangaliwe hawezi kuendelea kuwa Rais
Labda useme wengine ila sio Biden
 
Mtu mwenye miaka 76 hakutakiwa kuwa rais,ni kuyumba kwa dish la Biden kwenye mdahalo ndiyo kumemtoa,mnakuaje na rais hawezi nyoosha sentensi kisa dishi haliko sawa!!?
Biden anamkaribisha Zelensky alafu anamuita Jina Putin na Nchi anampa Ukraine, Biden ni Yuniki Fulawa wa Marekani dish limeyumba
 
Kila siku tunawaambia ya kuwa Wazungu ile ni race ambayo ina akili sana na huenda taifa pendwa la Mungu.

Angalia Joe Biden ameamua kujiuzulu kugombea Urais kisa uzee na shinikizo la watu kutaka afanye hivyo.

Pia soma: Joe Biden ajitoa kugombea Urais wa Marekani 2024

Huku kwetu Africa, Rais mpaka afie madarakani. Museveni, Kagame, nk, hawataki kabisa kuachia madaraka eti wanaleta maendeleo as if watu wengine ni vilaza wenyewe ndio wana akili tu!

I'm sure hata Hayati Magufuli alikuwa anataka kufata the same path, asingeachia madaraka kabisaa. Ndio maana kaweka bunge lote CCM ili asipingwe kwa chochote na akahakikisha chombo cha habari ni TBC tu vingine akawa anawaita malaika kuvifuta.

Hakika sisi Waafrika ni laana na Mungu anajua sisi siyo binadamu.
putin vipi ni mwafrika?
queen yule wa uingereza si kafia madarakani
yupo rais wa china nadhani naye wamemptisha afie madarakani
mzee wa kibwenzi
 
Kwani hujui maana ya Neno Uzungu, yani usmart, utulivu, unyoofu na sifa zingine ka hizo hata wewe ukipata pisi wife material unasema demu ni Mzungu yule.
 
Bado kuna tofauti kubwa kati ya waafrika na wazungu.mifano iko mingi duniani.ata huyo biden bado alikua na uamuzi wakwenda hadi kwenye sanduku la kura uchaguzi ukaamue.Kwa mwafrika hadi kifo kimuondoe au jeshi liingilie kati kama ilivyotokea kwa baadhi ya nchi za afrika magharibi.
Tofauti ninayoiona mimi ni unfair election.

Lakini kwenye chaguzi za haki hakuna nchi itaenda na raisi kama Biden, maana atawapotezea kura na wabunge kibao katika safari yake. Kama kuna uwezekano wa kumtoa watafanya hivyo.

Hao wanaofia madarakani Africa ni internal power struggle, mfano Mugabe ukiongea na wazimbabwe wanaofuatilia siasa zao. Watakwambia Mugabe alikuwa hoi muda mrefu yuko tayari kuachia nafasi, isipokuwa wale waliokuwa wanafaidika na uwepo wake ndio walikuwa wanambakiza madarakani.
 
Back
Top Bottom