Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,298
- 7,612
Mkuu kule ununio kuna mama mmoja aliachiwa nyumba akae, yeye akafanya yake sasa wenyewe kila wakija wanaipotea nyumba yao. Siku ya siku sijui dawa ziliisha nguvu au nao walitumia ndumba walipofika tu kwenye nyumba yao gari ikapata pancha wakaingia ndani alafu wakamfurusha yule mama.Kuna mmoja alimloga baba mwenye nyumba wake jamaa akasahau nyumba yake kwa miaka 8
Kimara mwisho hii kitu though ni hear say
Ndio maana yake hiyo hakuna mashtaka tena juu yakoFaili kupotea ndo kesi kuisha?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]mbona kama vile wewe unakumbuka kuna rafikiye na marehemu
Mkuu file kabla halijaenda mahakaman linachapishwa Kwanza inamaana copy yake inakua ipo mpelelez wa kesi anakua na ushahid mwng sana wa kukutia hatiani hizo kes ni mbaya Sana, we bora umtandike mtu mtaan umjeruhi siku ya kesi ndo umloge asahau kuja mahakamani ila hizi kes unazo shtakiwa na jamuhuri hizo hazipanguliwa kwa uchawi peke yake lazma umwage na pesa hapoNdio maana yake hiyo hakuna mashtaka tena juu yako
Uchawi haupo,uchawi ni akili zako.Yani jamaa anakuroga usahau au uwe unahairisha kila ukitaka kuchukua hatua.
Nilikutana na mganga flani akawa ananipa story yaani hata kama mtu anakesi ya kuua anaweza kumfanya hata Mahakama au ndugu wanaomshtaki wasifuatilie kesi.
Nimesikia kuna maeneo pwani ukilima Shamba ukikaribia kuvuna unapgwa juju hii unachukia Shamba hadi jamaa wamalize kuvuna na hadi wanaliuza ila kila ukitaka kwenda unasahau. Hii nilidokezewa na Dalali mmoja nikisubiri bus Bagamoyo stand.
Wafanya biashara nao nasikia huwa wanawaroga wale jamaa wa Mikopo ili wasifuatilie Mikopo waliokopa.
Kuna madalali wanakuuzia Kiwanja au Nyumba unalipa alafu wanakuloga usiende kisha wanauza tena.
Wakuu hii kitu imekaaje. Imenifanya niliona nasitasita kwenye kitu najilazimisha nikiogopa jamaa wasijekuwa wamefanya yao.
We unadhani ushahidi wa kesi huwa unakaa wapi mkuu?Faili kupotea ndo kesi kuisha?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] duh kumbe pale ununio kuna mambo ya kutisha kiasi hichi bila shaka watakuwa wazee wa pwani paleMkuu kule ununio kuna mama mmoja aliachiwa nyumba akae, yeye akafanya yake sasa wenyewe kila wakija wanaipotea nyumba yao. Siku ya siku sijui dawa ziliisha nguvu au nao walitumia ndumba walipofika tu kwenye nyumba yao gari ikapata pancha wakaingia ndani alafu wakamfurusha yule mama.
Kwa hasira na nyumba wakaamua kuiuza.
Hebu nambie mkuu. Kesi ya mauaji iko mahakamani. Kila anayetakiwa kutoa ushahidi anakufa siku tatu kabla ya kutoa ushahidi.Kesi ya mauaji hustakiwi na ndugu wa marehemu unashtakiwa na jamuhuri mzee ustegemee hiyo dawa kufanya kaz labda umwage pesa huko mahakamani
Yeyote anayejua akiulizwa ataishia kusema kama huku au kule ila nimesahau. Si utani, watu wanaroga.Sasa wewe utasahau mkeo atasahau mpaka na watoto nao wasahau
Ulikua hujui🤣🤣🤣....au unataka kubishanaFaili kupotea ndo kesi kuisha?
We jamaa Kama hujui kaa kimya....faili linaliwa na mchwa ata Kama liko kwenye sefu ya chuma....acha maneno Kama hujui kituMkuu file kabla halijaenda mahakaman linachapishwa Kwanza inamaana copy yake inakua ipo mpelelez wa kesi anakua na ushahid mwng sana wa kukutia hatiani hizo kes ni mbaya Sana, we bora umtandike mtu mtaan umjeruhi siku ya kesi ndo umloge asahau kuja mahakamani ila hizi kes unazo shtakiwa na jamuhuri hizo hazipanguliwa kwa uchawi peke yake lazma umwage na pesa hapo
Mkuu file kabla halijaenda mahakaman linachapishwa Kwanza inamaana copy yake inakua ipo mpelelez wa kesi anakua na ushahid mwng sana wa kukutia hatiani hizo kes ni mbaya Sana, we bora umtandike mtu mtaan umjeruhi siku ya kesi ndo umloge asahau kuja mahakamani ila hizi kes unazo shtakiwa na jamuhuri hizo hazipanguliwa kwa uchawi peke yake lazma umwage na pesa hapo
Uchawi haupo,uchawi ni akili zako.
Acha ujinga wwWe jamaa Kama hujui kaa kimya....faili linaliwa na mchwa ata Kama liko kwenye sefu ya chuma....acha maneno Kama hujui kitu
Labda uwauwe wote hapo utawavuruga ushahid utakosekanaHebu nambie mkuu. Kesi ya mauaji iko mahakamani. Kila anayetakiwa kutoa ushahidi anakufa siku tatu kabla ya kutoa ushahidi.
Hata askari mpelelezi wa kesi kafa. Nani ataendeleza kesi? Lazima uachiwe huru fasta.
Miaka mitano nyuma niliamini hivyo. Hata Mungu aliponitahadharisha kwa ndoto juu ya mipango miovu ya giza juu yangu nilipuuzia.Uchawi haupo,uchawi ni akili zako.
Umeona eenhh!!!!,Kumbe ishu ni wewe mwenyewe.Kwa hiyo uchawi haupo kwa wenyewe isipokuwa ni jambo binafsi.Miaka mitano nyuma niliamini hivyo. Hata Mungu aliponitahadharisha kwa ndoto juu ya mipango miovu ya giza juu yangu nilipuuzia.
Hata nyuzi zangu za miaka ya 2011 - 2014, kila nilipokuwa naona nyuzi za dizaini hiyo, niliishia kuwakashifu waleta nyuzi na kuwaambia Ni kwa kuwa hawana Yesu.
Leo hii sihitaji kuambiwa na mtu ili niamini kwamba uchawi una nguvu, na ukikosea ukampa nafasi shetani ndipo utajua kwa undani zaidi.
Unajua hadi unaweza sahaulishwa kusoma hata Biblia? Acha niishie hapa.