Mmewahi kukumbana na uchawi wa kusahaulishwa

. Inaitwaje hyo mkuu
 
Dadadeki bosi alikuwa spana za kizigua
 


Aisee.
 
Bro acha ubishi na ujuaji la sivyo utakuja kuomba Msaada humu uchawi upo ulikuepo na utakuepo
Nikupe dawa ya kudhibiti hali hiyo?.Wala haina gharama.Ni kumwini Mungu,kumtegemea yeye maana yake Usali sana kila wakati,Ondoa uoga,acha kuogopa vitu ambavyo havina nguvu,vipo sawa lkn havina nguvu yoyote,usiruhusu akili yako iogope uchawi.
 
Watu wa Bagamoyo siyo watu wazuri, unanunua kiwanja ama shamba halafu hurudi... ilitutokea mimi na rafiki yangu, tukanunua maeneo makurunge halafu hatukuwahi kurudi mpaka leo zaidi ya miaka 5, sidhani hata napakumbuka vizuri.
 
Mkuu Mimi nimeshuhudia na nina uhakika na hii kitu...basi ngja nigeneralize kwa kusema uchawi wa kizigua una uwezo wa kufuta form zote za ushahidi ikiwemo na hizo documents za upelelezi tena ikiwezekana kumsahaulisha kabisa mpelelezi wa kesi yako
Ni kweli ila sitasema details maana mtashangaa wote. Jamaa kesi yake aliponea Tanga. Aisee ni kiboko. Kuna siku watu wa DPP hawakutokea mahakamani kabisa. Kwenye ushahidi cross examination hawakuweza. Na aliyejiweka mbelembele sitaki kusema kilichotokea. Dunia nzito hii.
 
Nikupe dawa ya kudhibiti hali hiyo?.Wala haina gharama.Ni kumwini Mungu,kumtegemea yeye maana yake Usali sana kila wakati,Ondoa uoga,acha kuogopa vitu ambavyo havina nguvu,vipo sawa lkn havina nguvu yoyote,usiruhusu akili yako iogope uchawi.
Ahsante mkuu,nitajaribu kufanya hivo
 
Nina nyumba yangu fulani Mbagala kwa Mbiku nilimpangisha mama mmoja sijawahi kuonana naye toka 2015,alikuwa analipa kwa kupitia njia ya simu ila mwaka juzi akanambia ameataafu,toka alipoingia sijawahi fika na toka alipostaafu hajalipa hata mia miezi kumi na sita na sijawahi enda.Inawezekana amanipiga muundo mbinu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…