Mmezipata habari za ChatGPT? Automation inatishia ajira za watu

Mmezipata habari za ChatGPT? Automation inatishia ajira za watu

Google wanatetemeka
Screenshot_20230116-010450_Lite.jpg
 
Wewe na huyu Gushleviv mnaongelea kitu ambacho hamkijui.

Kuna wimbi la cheap developers lakini the real geeks wa code wanapungua kila kukicha, chanzo kikubwa ni issue kama hizo. Maisha kurahisisha sana inafikia muda innovation itakufa. Ili mtu uweze kuvumbua mambo inabidi uwe na deep knowledge kwenye fani husika au uwe na watu wenye hio deep knowledge. Na ndo maana watu wenye uwezo mkubwa wa kudesign na kuinnovate products wanapenda kuwa na timu ndg ndg ila za vichwa, angalia mfano wa elon musk, ndo maana alipofika twitter kitu cha kwanza alianza kupunguza developers uchwara.

Mimi nimefanya kazi na Code wranglers wa makampuni mawili makubwa ya internet, ni vichwa haswa na kila nikifikiria naona vichwa kama hvo ni ngumu kuja kuvipata miaka ya mbeleni huko. Mtu anaejua exactly codes zikienda zinafanya nn at each and every step. We unadhan kutengeneza hizo ecommerce app au fintech app ndo kuwa developer? Hayo mambi sasahv naclick tu na tyr inatengenezwa, na hizo tool zitareplace devs uchwara wote mnaowasupport na huo ujinga.

Innovations kama Torrent, Blockchain etc... zilitokea sababu watu waliotengeneza walikua na deep knowledge ya wanachofanya.

Lkn haina haja kubishana na watu hapa as long as najua me and my house we are safe. Naongea kwa faida ya wanaofikiria kwa upeo zaidi.
Kuwa na "Deep Knowledge" ya unachokifanya na "Ku memorize syntax" ni vitu viwili tofauti
Kama unahisi ku leverage AI tools kama ChatGPT au Github Copilot kwa ajiri ya ku elewa, ku comment, au ku debug codes zako
ni uvivu wa "Kufikiri" au kuna kufanya uwe "Cheap developer" kuna onyesha jinsi gani ulivyo "Empty".
Hao hard core developers unao wazungumzia, (cause obvious wewe sio mmoja hao) uelewa wao mpana wa kuja na ku solve matatizo kwa haraka au kwa ufanisi haupo kwenye ku memorize syntax au kususa kutumia leverage ya Libraries, Frameworks au Development tools zilizopo kama unavyohisi, bali upo kwenye kujua fundamental concepts za Software Development ambazo hazina mahusiano yoyote ya kukariri syntax au kutotumia codes walizo andika wengine
Mfano cryptography algorithm iliyotumika kwenye original implementation ya Blockchain uliyo tumia kama mfano hapo juu ni SHA-256 iliyokua designed na NSA, kwanini Satoshi haku design algorithm yake mwenyewe kwa task hio from the scratch? kwanini alitumia leverage ya SHA-256 ?
Hizi tools hazipo kuwafanya watu vilaza kama unavyo hubiri hapa, zipo kuwafanya watu wawe productive
Kama unahisi wewe ni "smart developer" utabaki kuwa hivyo, ChatGPT inakupa extra leverage
 

DeepMind’s AI chatbot can do things that ChatGPT cannot, CEO claims​


Google’s artificial intelligence division DeepMind is considering releasing its rival to the ChatGPT chatbot this year, according to founder Demis Hassabis.

DeepMind’s Sparrow chatbot reportedly has features that OpenAI’s ChatGPT lacks, including the ability to cite sources through reinforcement learning, however Mr Hassabis warned about the potential dangers of powerful AI technology.

Speaking to Time magazine, Mr Hassabis said Sparrow could be released as a private beta in 2023, but said that AI is “on the cusp” of reaching a level that could cause significant damage to humanity.

“When it comes to very powerful technologies – and obviously AI is going to be one of the most powerful ever – we need to be careful,” he said.


“Not everybody is thinking about those things. It’s like experimentalists, many of whom don’t realise they’re holding dangerous material.”

The release of ChatGPT last year was hailed as a watershed moment for the advancement of AI, with some claiming the general purpose language model could revolutionise industries and even replace popular tools like Google’s search engine.

Its ability to understand and generate human-like responses to a wide range of queries also raised concerns that it could be misused, with OpenAI CEO Sam Altman warning of “scary moments” and “significant disruptions” with human-level systems.

DeepMind has achieved several major AI milestones spanning a range of disciplines since it was founded in 2010, including beating human world champions at the complex board game Go and predicting over 200 million structures of all known proteins.

The London-based company first revealed that it is working on a large language model (LLM) chatbot in a paper last September, which described an “information-seeking dialogue agent” designed to be more helpful, correct and harmless compared to other language models.

In a blog post released alongside the paper, DeepMind explained that Sparrow could be used to train other chatbots to be safer and more useful. One example given was Sparrow’s ability to spot potentially harmful questions from users, such as how to hotwire a car.

“Dialogue agents powered by LLMs can express inaccurate or invented information, use discriminatory language, or encourage unsafe behaviour,” the blog post stated.

“Sparrow advances our understanding of how we can train agents... and ultimately, to help build safer and more useful artificial general intelligence (AGI).”
 
Kuwa na "Deep Knowledge" ya unachokifanya na "Ku memorize syntax" ni vitu viwili tofauti
Kama unahisi ku leverage AI tools kama ChatGPT au Github Copilot kwa ajiri ya ku elewa, ku comment, au ku debug codes zako
ni uvivu wa "Kufikiri" au kuna kufanya uwe "Cheap developer" kuna onyesha jinsi gani ulivyo "Empty".
Hao hard core developers unao wazungumzia, (cause obvious wewe sio mmoja hao) uelewa wao mpana wa kuja na ku solve matatizo kwa haraka au kwa ufanisi haupo kwenye ku memorize syntax au kususa kutumia leverage ya Libraries, Frameworks au Development tools zilizopo kama unavyohisi, bali upo kwenye kujua fundamental concepts za Software Development ambazo hazina mahusiano yoyote ya kukariri syntax au kutotumia codes walizo andika wengine
Mfano cryptography algorithm iliyotumika kwenye original implementation ya Blockchain uliyo tumia kama mfano hapo juu ni SHA-256 iliyokua designed na NSA, kwanini Satoshi haku design algorithm yake mwenyewe kwa task hio from the scratch? kwanini alitumia leverage ya SHA-256 ?
Hizi tools hazipo kuwafanya watu vilaza kama unavyo hubiri hapa, zipo kuwafanya watu wawe productive
Kama unahisi wewe ni "smart developer" utabaki kuwa hivyo, ChatGPT inakupa extra leverage
Huyu jamaa kali linux bado mtupu mnoo, basi tu kuna empty heaf wenzie humu JF ndio huwa anawakimbiza.
 
Kuwa na "Deep Knowledge" ya unachokifanya na "Ku memorize syntax" ni vitu viwili tofauti
Na ww pia sijaongelea kumemorize syntax kwenye hoja yangu yoyote ile. Huna tofauti na jamaa mmoja alonambia napinga google search. Na unasemea kuhusu Copilot? Wapi nimeongelea copilot?

Na Nikisema deep knowledge namaanisha kuelewa language exactly na namna inavofanya kazi ili kuleverage advantage zake na kuepuka madhara ya disadvantagess zake. Mtu anaetengenezewa code utakuta hata haelewi simple concept kama Garbage collection.

Wewe nakujua ni mfuasi wa frameworks "cheap, soft developers" na tayari tulishabishana sana kuhusu hilo so najua mentality yako, haupo kwenye dimension yangu kudiscuss any technical stuff, hata kukuquote nimekuquote kwa faida ya wanaofuatilia huu mjadala.

I repeat, siwezi force ufikirie kama nnavyofikiria mimi sababu kila mtu ana uwezo tofauti, lakini future ndio itakayoongea kama mm au ww nani yuko sahihi.
 
Huyu jamaa kali linux bado mtupu mnoo, basi tu kuna empty heaf wenzie humu JF ndio huwa anawakimbiza.
Mkuu unapoteza heshima yako kwa kuonesha ujinga wako hadharani na kukosa msimamo

Hapo juu kwenye comment moja ulisema "IT field ni yangu" sababu nilikupa hoja nzito ukashindwa kuijibu, sasahivi umepata backup ya devs uchwara unakuja kuniita "empty" sawa, lakini kama ww ni mwanaume basi jifunze kuwa na msimamo na kujenga hoja.

Halafu sina sababu ya kukuonesha ujuzi wangu wewe, who the f**k are u? nshavuka hio step sababu dev ndo wananionesha ujuzi wao ili niwape michongo ya kazi. Huyo mwenzako mnaoniita mm ni "empty" ukiweka Poll hapa jf kwenye tech watu watadecide nani yuko empty. Japo sina haja ya kufanya huo utoto coz niko hapa nasimamia msimamo wangu kuhusu ChatGPT.
 
Na ww pia sijaongelea kumemorize syntax kwenye hoja yangu yoyote ile. Huna tofauti na jamaa mmoja alonambia napinga google search.

Na Nikisema deep knowledge namaanisha kuelewa language exactly na namna inavofanya kazi ili kuleverage advantage zake na kuepuka madhara ya disadvantagess zake. Mtu anaetengenezewa code utakuta hata haelewi simple concept kama Garbage collection.

Wewe nakujua ni mfuasi wa frameworks "cheap, soft developers" na tayari tulishabishana sana kuhusu hilo so najua mentality yako, haupo kwenye dimension yangu kudiscuss any technical stuff, hata kukuquote nimekuquote kwa faida ya wanaofuatilia huu mjadala.

I repeat, siwezi force ufikirie kama nnavyofikiria mimi sababu kila mtu ana uwezo tofauti, lakini future ndio itakayoongea kama mm au ww nani yuko sahihi.
Labda kama una program in assembly 🤣 , ila kwa job market ya sasa (US) huwezi avoid libraries & flameworks is like a must have, React developer easily anachukua 100,000$, wewe waite cheap & soft lakini ndio wanaohitajika
 
Ona sasa, ndo maana nliacha kabisa kuongelea kuhusu tech humu jf, coz watu akili ndogo sana kama wewe.

Hii ni topic ya chatGPT, kasome mjadala wangu na huyu jamaa kuhusu frameworks na ndo comment yako ukaweke kule. Sipingi frameworks lkn napinga kutumia frameworks bila kuwa na foundational knowledge. Mm nimeanza kuandika code zamani na nimeona frameworks zinakuja na kupotea, sasa kama huna knowledge ya underlying tech, mfano js kwa react, au php kwa laravel hizo framework zikifa kazi utafanya wapi.

Na kwa taarifa yako Mkuu nakunja minimum 20 usd per hour kuandika react projects
Nani anasoma frameworks/ libraries bila foundational languages (at least some basics), issue ni wewe unayeita watu soft cheap developer wanaotumia libraries, anyway to each his own
 
Ona sasa, ndo maana nliacha kabisa kuongelea kuhusu tech humu jf, coz watu akili ndogo sana kama wewe.

Hii ni topic ya chatGPT, kasome mjadala wangu na huyu jamaa kuhusu frameworks na ndo comment yako ukaweke kule. Sipingi frameworks lkn napinga kutumia frameworks bila kuwa na foundational knowledge. Mm nimeanza kuandika code zamani na nimeona frameworks zinakuja na kupotea, sasa kama huna knowledge ya underlying tech, mfano js kwa react, au php kwa laravel hizo framework zikifa kazi utafanya wapi.

Na kwa taarifa yako Mkuu nakunja minimum 20 usd per hour kuandika react projects
Mbona wanakulipa minimum wage, wewe ni developer kweli?
 
Samahani lakini, naomba nikuite MPUUZI

Wewe ni mpuuzi kwa sababu nimeandika nakunja "minimum" 20 usd per hour na unakuja kuuliza swali la kipuuzi tena.

Usitoke kwenye mada, hapa tunaongelea chatGPT
Hakuna serious React developer analipwa 20$ hata kama ni minimum, nina wasiwasi kama wewe ni developer
 
Back
Top Bottom