Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Hii ni fakeNadhani ila bado haijawa kila mahala mfano neno cobra plate View attachment 2481048
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni fakeNadhani ila bado haijawa kila mahala mfano neno cobra plate View attachment 2481048
Walimu nao ni shidaKwa bahati mbaya hatuna wanafunzi ambao ni smart. Wengi wataishia ku_copy na ku_paste kila kitu.
Original ni ipi tupe link
Ila hana taarifa za 2022 kuendelea.Hii kitu nimekuwa nikicheza nayo kama week sasa, kwa kweli hii kitu iko vizuri sana na nimeipenda sana, nimeijaribu vitu vingi, niliiambia iandikie love letter to my x girlfriend, nikaiuliza iniambie kuhusu Julius Nyerere na inionyeshe speech yake ambayo ni muhimu sana , nikaiambie inifundishe calculus, nikaiambia iniandikie thank you note to my co worker, nikaiuliza kama inajua kiswahili, nikaimbia iandike short essay kumaliza umaskini Tanzania etc kwa kweli i was impressed na majibu yake na kila kitu chake, ni kama unaongea na binadamu mwenzako ambaye ni genius na ana majibu yote, ijaribuni then muweke matokeo hapa
Ofcourse Dall-E inatengeza more realistic images kuliko Midjourney na Stable diffusion, generally. Dall-E inakimbiza.Midjourney vs Dall - E unaichagua ipi? Maana Dall - E ni project ya OpenAI pia.
Is it actually intelligent?Is it learning? Can it b creative? Au ni linakopi tu majibu ya data zilizokuwa fed kwake mtandaoni na kuzitapika kwa user?ChatGPT ni nzuri lkn ndio mwanzo na step nzr ya tech colonialism.
Wanaenda ku-cap knowledge ya watu. Duniani tutajazwa garbage na itafikia hatua kutakua na wataalam wachache saaana na hao watamilikiwa na mamlaka zilizolenga kufaidika na huu ukoloni, kwangu chatGPT ni kama game tu au assistant, naipaga movies nnazopenda then inanipa suggestions kutokana na taste zangu, na pia kwa sababu napenda Ancient chinese poetry huwa naiambia initungie poems kwa style za kina Zhuge Liang, Cao Cao etc..... Ila hata siku moja siwezi fanya kitu serious na chatGPT.
In simple terms hii AI model imetrainiwa kutokana na data watu walizoandika mitandaoni toka enzi zile. Sasa kwa speed hii nmeona blog posts nying zimeanza kutumia hii AI generated content. Kwa maana hio in 2 to 5 years ChatGPT itakua inalearn kutumia 'its own output' coz ndo zitakazokua zimejaa online kpnd hiko and trust me kama ushafanya AI development na ukajaribu kutrain model yako kwa output yake basi unafaham kiakachokukuta. Ni kama vile binadam uwe unakula nnya yako. Facebook na twitter wanajua vzr madhara ya hio kitu coz iliwatokea kwenye algos zao za newsfeed suggestion kpnd fln miaka ya nyuma.
Mitandao inayoendeshwa na akili kubwa kama StackOverflow wameshazuia hizo content kutoka ChatGPT
Elon Musk ana mkono hapa?Hii kitu italeta maajabu sana katika ulimwengu wa technology, Kudos kwa Elon Musk, Bill Gate & Co Founders
Duuu! hatari sana. Ila sio matumizi sahihi. Utakwama kwenye UE. maana utakuwa mweupe kichwani.
=
Open AI ilianzishwa na watu wanne; Sam Altman, Ilya Sutskever, Wojciech Zaremba na Elon Musk. Japo alijiuzulu kutoka kwenye bodi mwaka 2018 kuondoa mgongano wa maslahi. Lakini generally bado yupo karibu na team ya Open AI.Elon Musk ana mkono hapa?
Hivi tunaposema elon Musk ameanzisha kitu fulani, huwa tunamaanisha aliingia na spana na Nyundo akakaa na PC kwenye garage yake kucode, ...au anakuta watu wameshaanza ila hawana hela, anaiskiliza pitch ya biashara anamwaga mpunga kama early investor au??Open AI ilianzishwa na watu wanne; Sam Altman, Ilya Sutskever, Wojciech Zaremba na Elon Musk. Japo alijiuzulu kutoka kwenye bodi mwaka 2018 kuondoa mgongano wa maslahi. Lakini generally bado yupo karibu na team ya Open AI.
Well, vyovyote iwavyo; Co-Founders wana majukumu tofauti. Startup inapoanza sio wote watakuwa washika nyundo au PC. Na sio wote huwa wanaweka mtaji. Kwahiyo Co-Founder ni Co-Founder kwasababu alishiriki katika shughuli za mwanzoni kabisa za kampuni.Hivi tunaposema elon Musk ameanzisha kitu fulani, huwa tunamaanisha aliingia na spana na Nyundo akakaa na PC kwenye garage yake kucode, ...au anakuta watu wameshaanza ila hawana hela, anaiskiliza pitch ya biashara anamwaga mpunga kama early investor au??
AAAgh mbona Elon mwenyewe anapendaga kujiita Tesla Co- founderWell, vyovyote iwavyo; Co-Founders wana majukumu tofauti. Startup inapoanza sio wote watakuwa washika nyundo au PC. Na sio wote huwa wanaweka mtaji. Kwahiyo Co-Founder ni Co-Founder kwasababu alishiriki katika shughuli za mwanzoni kabisa za kampuni.
Huwezi kusikia Elon Musk anaitwa Founder au Co-Founder wa Tesla kwasababu hakushiriki mwanzo wakati Tesla inaanza, ila yeye ni Angel investor wa Tesla.
Kwahiyo mimi nadhani tunaposema mtu fulani ni mwanzilishi au mwanzilishi mwenza wa kitu fulani ni kwasababu alishiriki wakati kitu hicho kinaanzishwa, iwe ni kwa hali au ni kwa mali. Naomba kusahihishwa kama nimechochora.
Well, wenyewe wanaita "Bragging rights"... hata Palamagamba Kabudi aliwahi kusema aliokotwa majajalani... haimaanishi kweli alikuwa jalalani akateuliwa kuwa Waziri la hasha, bali anajaribu kuelezea hali ilivyokuwa kabla hajawa hapo alipo.AAAgh mbona Elon mwenyewe anapenaga kujiita Tesla Co- founder
Anasemaga aliikuta Tesla with nothing but drawings on a paper
Nisaidie link ni download hii kitu..View attachment 2479159
=
Nimeandika ID yako, Nayo ikanipa hayo maelezo [emoji115] [emoji119]
=
View attachment 2479167
Mbona kwenye app store haipo..?? Inapatikana wap ??CHATGP inamuelekeo mzuri na itateka na kuangusha baadhi ya mifumo ya utafutaji content kwenye mtandao japo kwa sasa bado siwezi kusema sana ila bado kufika huko.....
Inakupa kila kitu kwa jinsi unavyo hitaji katika mpangilio unao hitaji na kwa % kubwa, hata ukitaka ikuandikie simple program ,Thesis, blog content etc inakufanyia.
Ukitaka kujua bado ina mapungufu copy content ya kingereza iambia itransilate kwenda kwenye kiswahili utaona makosa mengi.
CHATGP yasasa as on Jan 2023 ina info kuanzia Dec 2021 kurudi nyuma na info zote Jan 2022 todate hazipo.Bado kwenye majaribio na wana mpango wa kuweka mpya ambayo iko improved zaidi soon.
Nafurahi kuwa kati ya watu wa kwanza TZ kuitumia Last year 2022 todate[emoji4]