Matawi ya juu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 3,504
- 6,809
20$ ni minimum wage boss (i assume uko US kwa sababu you quoted your pay in $$), you are not seriousWe chizi piga 20 usd per hour x 5 x 7 days x 4 kisha toa kodi za serikali yako halafu nambie nani anatengeneza huo mshahara kwenye ukoo wako. Ukimaliza kalale coz sitoendelea kujibu pumba zako hapa
Umeeleweka, unatumia React lakini wanaotumia libraries ni soft/cheap developer, nani mpuuzi?Yaan nikiquote kitu kwa usd ndo useme niko USA.
Ngoja nikupe elimu kwa faida ya wengi. And this is my last comment hapa JF kwa mwaka huu.
Kuna companies USA wanaajili remote developers kwa maana kwamba mm nakua Tz ila nafanya nao kazi. Kisha unasajili kampuni lako hapa tz maalum kwa kupokea tu hayo malipo ya mishahara, ukiwa na wataalam wa kodi watakuelekeza namna usipigwe sana kodi.
Hio rate nlokupa ni minimum kwa US lkn kwa TZ kuipata ni ngumu.
Option ya pili kuna kampuni kama Turing.com na RemoteMore.com. hizo wanakutafutia wao kazi na wanaset rate kulingana na perfomance yako na nchi uliopo. Nna madogo wanatumia remotemore lkn monthly salary yao ni imesetiwa kwenye Million tatu na kitu na wamezuiwa kuongeza zaidi ya hapo. That means wakipata kazi hata kama wanastahili 6m per month wao watalipwa 3... m per month coz ndio rate ya nchini kwao na imesetiwa kutokana na terms za hao remotemore.
Sasa usije ukakariri kila ukiona USD basi ujue mtu yupo USA, niko zangu pwani na watoto wa kiswahili ila kazi sifanyi na kampuni ya TZ, na ndo maana napata muda wa kukujibu hapa kwa sababu ya flexibility ya remote work culture.
Nimefanikiwa thanx.Hiyo siyo yenyewe, ingia kwenye website yao kabisa ya chat.openai.com
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujajibu hoja, ume stick kwenye hio part ya "kume memorize syntax" kama njia ya kukwepa hoja nyingineNa ww pia sijaongelea kumemorize syntax kwenye hoja yangu yoyote ile. Huna tofauti na jamaa mmoja alonambia napinga google search. Na unasemea kuhusu Copilot? Wapi nimeongelea copilot?
Na Nikisema deep knowledge namaanisha kuelewa language exactly na namna inavofanya kazi ili kuleverage advantage zake na kuepuka madhara ya disadvantagess zake. Mtu anaetengenezewa code utakuta hata haelewi simple concept kama Garbage collection.
Wewe nakujua ni mfuasi wa frameworks "cheap, soft developers" na tayari tulishabishana sana kuhusu hilo so najua mentality yako, haupo kwenye dimension yangu kudiscuss any technical stuff, hata kukuquote nimekuquote kwa faida ya wanaofuatilia huu mjadala.
I repeat, siwezi force ufikirie kama nnavyofikiria mimi sababu kila mtu ana uwezo tofauti, lakini future ndio itakayoongea kama mm au ww nani yuko sahihi.
Hamna kitu humo, usihangaike naeUmeeleweka, unatumia React lakini wanaotumia libraries ni soft/cheap developer, nani mpuuzi?
Hata akisema 500$ per hour, una prove vipi statement yake?20$ ni minimum wage boss (i assume uko US kwa sababu you quoted your pay in $$), you are not serious
Well sofar AI mpaka sasa inatumiwa na madaktari kwenye upasuaji mkubwa, maengeneer kwenye complex projects au kugundua faults kirahisi kwenye nchi zilizo endelea sana..Sawa, tunategemea madokta wawe wanaingia na vitabu kwenye upasuaji, au wanaingia na tablet zao, wanatoboa mtu then wanaangalia michoro kwenye hizo tab ndo wanaendelea na upasuaji.
Your comment is among the dumbest things I've seen in 2023 so far
Tumewazoea humu, maneno meengi. You can also be a dumb IT professional.Mkuu unapoteza heshima yako kwa kuonesha ujinga wako hadharani na kukosa msimamo
Hapo juu kwenye comment moja ulisema "IT field ni yangu" sababu nilikupa hoja nzito ukashindwa kuijibu, sasahivi umepata backup ya devs uchwara unakuja kuniita "empty" sawa, lakini kama ww ni mwanaume basi jifunze kuwa na msimamo na kujenga hoja.
Halafu sina sababu ya kukuonesha ujuzi wangu wewe, who the f**k are u? nshavuka hio step sababu dev ndo wananionesha ujuzi wao ili niwape michongo ya kazi. Huyo mwenzako mnaoniita mm ni "empty" ukiweka Poll hapa jf kwenye tech watu watadecide nani yuko empty. Japo sina haja ya kufanya huo utoto coz niko hapa nasimamia msimamo wangu kuhusu ChatGPT.
Pia ni open source kumbuka unaweza itumia kutengeneza product yoyote bila wao kuhusika....One thing that I know for sure, THEY WILL KEEP IMPROVING IT. Actually, wameiachia bure watu waitumie kwa sasa sio kwa lengo la kuwasaidia watu, au kuwafaidisha watu, bali wameiachia ili wajue mapungufu ya ChatGPT kabla hawajaiachia rasmi, pengine kwa mfumo wa App, au browser extension etc. Kwa lugha nyepesi, hivi sasa hii ChatGPT iko kwenye Beta version, bado wanaifanyia maboresho - na njia nzuri ya kujua mapungufu yake ni kuruhusu watu waitumie. Na kadiri watu wengi wanavoitumia ndivyo inavyozidi kuwa smart.
Binafsi naitumia kuandika baadhi ya code, then kazi yangu inabaki ku-edit baadhi ya vitu; and I am loving it!🥳 Wakati huo kule Discord kuna binamu anaitwa Midjourney - tunamtumia kutengeneza images - and it is jaw dropping epic!
Experience.Sawa, tunategemea madokta wawe wanaingia na vitabu kwenye upasuaji, au wanaingia na tablet zao, wanatoboa mtu then wanaangalia michoro kwenye hizo tab ndo wanaendelea na upasuaji.
Your comment is among the dumbest things I've seen in 2023 so far
Dunia ya sasa developers wanashare code dunia nzima.sishangai IT wa Bongo kuitwa wa mchongo, wazee wa ready-made plugins, template na module
shuka raw code hapo, hamna kitu
mnapenda mteremko
Sasa Microsoft wanataka kuingiza ChatGPT kwenye program zao.Nadhani tuna attitude za kizamani. Ndio maana mpaka leo tunashangilia kuwa na Makomandoo wenye uwezo wa kubeba magogo ya kilo 200! Kwamba Komandoo wa ukweli ni yule anaekaanga kokoto kwa mikono[emoji1787][emoji1787][emoji1787] like seriously, katika karne ambayo watu wanapigana vita kwa drones! Karne ambayo watu wanatafuta namna ya kufanya mambo kwa spidi - badala ya kutumia mwezi mzima kuandika code wanatafuta namna ya kutumia masaa kuandika code ile ile.
Naungana na wewe kuwa innovations haimaanishi zote zilianza kutoka sifuri; infact Apple waliiba ideas, Meta wanaiba ideas kila siku,... na kuna kampuni inaitwa Rocket Internet yenyewe imejikita kwenye kuiba ideas na ku-execute fast!
So, Chat GPT ni zana kama zana zingine - kwamba unaitumiaje hiyo ni juu yako. Wasiotaka kuitumia kila la heri, lakini dunia ndio inaenda hivyo.
Uzuri wa google wanaweza tumia search engine yao kuitrain AI wanavyoitaka wao.Google wanatetemeka View attachment 2482871
Ewaa! Tena I wish waweke iwe voice activated commanding. Watu wasijisahaulishe kuwa tulianzia kwenye type writers zile za ku-punch na kusogeza karatasi manually, tukaja kwenye keyboard hizi physical, tukahamia kwenye touch screens, kwahiyo tukienda kwenye voice prompted Microsoft Word sio kesi, ndio kukua kwa teknolojia huko - tusiogope.Sasa Microsoft wanataka kuingiza ChatGPT kwenye program zao.
Ikiingizwa kwenye MsWord ndo balaa litaanzia hapo.
Unai-comand ikuandikie report ya week nzima, unaenda kuchukua maji kwenye dispenser, ukirudi imekamilika.
Unaifanyia small edits kazi yako una submitt.
Dunia ndo inaenda huko.
TU kama project ni open sourceDunia ya sasa developers wanashare code dunia nzima.
Mnaweza fanya kazi pamoja kwa kutumiana code na ikakamilika.
Na ukawapa wenzako wakague na kuweka inputs zao
Teknolojia inakuja na mazuri na mabaya yake.Ewaa! Tena I wish waweke iwe voice activated commanding. Watu wasijisahaulishe kuwa tulianzia kwenye type writers zile za ku-punch na kusogeza karatasi manually, tukaja kwenye keyboard hizi physical, tukahamia kwenye touch screens, kwahiyo tukienda kwenye voice prompted Microsoft Word sio kesi, ndio kukua kwa teknolojia huko - tusiogope.
Yeah.TU kama project ni open source
Kuna mtu nilimwambya kuwa AI itakuja mzidi binadsmu uwezo akabisha, sasa yameanza kujiri.Hii kitu nimekuwa nikicheza nayo kama week sasa, kwa kweli hii kitu iko vizuri sana na nimeipenda sana, nimeijaribu vitu vingi, niliiambia iandikie love letter to my x girlfriend, nikaiuliza iniambie kuhusu Julius Nyerere na inionyeshe speech yake ambayo ni muhimu sana , nikaiambie inifundishe calculus, nikaiambia iniandikie thank you note to my co worker, nikaiuliza kama inajua kiswahili, nikaimbia iandike short essay kumaliza umaskini Tanzania etc kwa kweli i was impressed na majibu yake na kila kitu chake, ni kama unaongea na binadamu mwenzako ambaye ni genius na ana majibu yote, ijaribuni then muweke matokeo hapa
Kuna very interesting and true story movie documentary ya hawa jamaa wa deepmind inaitwa AlphaGO, binadamu bingwa wa dunia na majivuno yake ambaye hajawahi kushindwa alicheza mechi na AI, kilichotokea angalia hapaKuna mtu nilimwambya kuwa AI itakuja mzidi binadsmu uwezo akabisha, sasa yameanza kujiri.