Mmezipata habari za ChatGPT? Automation inatishia ajira za watu

The Next Generation Won't Imagine
The Life Without Chat-GPT!
Sad truth.. ni kama smart phone kwa sasa, nathubutu kusema smart phone na social platforms ni uraibu kushinda ata pombe na cocaine.

Et watu wanashangalia AI, new age slavery!
 
100%
 
Imeshafanya mitihani kadhaa imefaulu, sasa hivi tayari ina MBA na pia imeshafauly Bar exams na medical.
Mwezi June law firms zitaanza kuitumia rasmi huko US
 
Hakuna icho kitu, kutazuka kazi nyingine ambazo zitahitaji kufanyika na binadamu.
Zilipoanza kuingia computer maofisini watu walipiga kelele nyingi ati masekretari watakosa kazi kwa vile maofisa watakuwa wakifanya kazi zao wenyewe. Leo hii maofisa wanaandika ripoti wenyewe lakini masekretari bado wapo ijapokuwa wamekuwa wachache
 

Kwa sasa natumia Grammarly ila hii inaonekana iko bora zaidi, Ahsante mkuu naitafuta
 
OpenAI has hired an army of contractors to make basic coding obsolete

OpenAI has quietly hired hundreds of international contractors to train its artificial intelligence in software engineering, according to a report from Semafor.

Some contractors, hired in the last 6 months from places like Latin America and Eastern Europe, have reportedly been tasked with creating data to coach AI to learn simple software engineering tasks.

While OpenAI already has a product called Codex, which can convert natural language into working code, the company's hiring spree indicates that it's looking to advance that technology, potentially creating a working replacement for some human coders.

Semafor spoke to one engineer in South America who interviewed for one of OpenAI's contractor roles. As part of the process, he was tasked with finding bugs in AI code and providing explanations for how to fix its mistakes. The engineer told Semafor he thinks the company wants to feed the training data into its AI technology.


OpenAI did not immediately respond to Insider's request for comment.

OpenAI is also the owner of the buzzy AI chatbot, ChatGPT. Since the bot's launch late last year, it has already threatened to disrupt education, journalism, and law. Software engineering might be added to the list next.

In fact, Insider recently reported that some Amazon employees have already started using ChatGPT to help with coding, though the company warned its employees not to share confidential corporate information with the bot.
 
Quillbot ni software ambayo inafanya multiple tasks kama vile paraphrasing, plagiarism, summarizing na zinginezo, kwa sie academic writers hapa ndo nyumbani, hasahasa ukiwa na premium package ambayo ni affordable kwa watanzania tulio wengi.
 
Limitations of AI

1. Does n't have feelings and emotion
2.use few years past informations
3
 
Nmeisumbua/nmejisumbua leo kuipa hesabu zisizo na maana kwa ulimwengu wa sasa sijui ikachanganyikiwa?

Em niambieni hii error kweli au network tu?
 
The way you talk about it, personifying it, is what scares me!!
Tena tunavyoshinda kwenye gadgets zetu having less and less human interaction,
once the technology is readily available and cheap, when we won't need to consult other people to solve our problems,
people will prefer the company of robots to their fellow humans who make mistakes...
naona huko Japan washaanza kuoa ma robot,
it's the beginning of the end of the human race as we know it...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…