Hii sio official site ya ChatGpt, ndo maana mnapata majibu ya uwongo. Fungua chat.openai.com .sasa bot mwenyewe mbona kama ananikwepa hivi au vipi.View attachment 2568502
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii sio official site ya ChatGpt, ndo maana mnapata majibu ya uwongo. Fungua chat.openai.com .sasa bot mwenyewe mbona kama ananikwepa hivi au vipi.View attachment 2568502
Nawewe usieshinda kwa Mwamposa umegundua platform ipi mpaka leo,naona Facebook, Instagram, WhatsApp,Google,na sasa chat GPT4 zote hizo ni zimegunduliwa na watu wa mataifa yaliyoendelea,wewe mwenzetu sijui umegundua nini mpaka sasa.Huwa Nawaza Hao Jamaa Waliotengeneza Hiyo Kitu Wangekuwa Wanashinda Kwa Mwamposa Kusubiri Miujiza Sijui Ingekuwaje Leo.
Afu mbona naona watu wengi mnachanganya maada humu. chatGPT haijatengenezwa na Microsoft, imetengenezwa na moja kati ya mfanyakazi wa Microsoft ambae ana kampuni yake tofauti na MicrosoftHii kitu nimekuwa nikicheza nayo kama week sasa, kwa kweli hii kitu iko vizuri sana na nimeipenda sana, nimeijaribu vitu vingi, niliiambia iandikie love letter to my x girlfriend, nikaiuliza iniambie kuhusu Julius Nyerere na inionyeshe speech yake ambayo ni muhimu sana.
Nikaiambie inifundishe calculus, nikaiambia iniandikie thank you note to my co worker, nikaiuliza kama inajua kiswahili, nikaimbia iandike short essay kumaliza umaskini Tanzania etc kwa kweli I was impressed na majibu yake na kila kitu chake, ni kama unaongea na binadamu mwenzako ambaye ni genius na ana majibu yote, ijaribuni then muweke matokeo hapa.
OpenAI ndio creator wa GPT 4 , sio wafanyakazi wa microsoft ni kampuni kubwa tuu ina thousands of Engineers pia, microsoft ni investor anamiliki 51% mpaka pesa yake aliyo invest OpenAI irudi, sasa wameachia API na plugs kwa developers, nina uhakika vitu vizuri vitaanza kuingia sokoni, kampuni nyingi zitaanza kuzaliwa soonAfu mbona naona watu wengi mnachanganya maada humu. chatGPT haijatengenezwa na Microsoft, imetengenezwa na moja kati ya mfanyakazi wa Microsoft ambae ana kampuni yake tofauti na Microsoft
chatGPT gpt siyo product ya Microsoft ni product ya kampuni ya OpenAi
ShukraniUmechanganya mambo. Training data ni za 2021 kurudi nyuma ila app ni ya March 14 hata hiyo screenshot ukiangalia utaona hapo. Kilichoongezeka ni ufanisi na speed. Majibu ya sasa yanakuwa more accurate.
Kila mtu saivi anatumia version hiyo ya 14 march ila wapo wana access gpt4 na wapo ambao hawa access mana gpt4 ni ni kwa plus users (yaani wanaolipia) ama tena utumie GPT-4 ya API ambayo offcourse pia ni ya subscription sio free japo kunakuwa na free credits mwanzoni.
Dr,Picha ume attach vibaya kwa sie wa App tunaona moja tu
Hii ngoma ni hatari sana. Itaua kazi na kutengeneza kazi. Mimi ishaanza kunisaidia kupiga elaNilikua nachat na Hayati Rais Magufuli kupitia ChatGPT[emoji23][emoji1487][emoji1487][emoji1487]
.
Angalia Thread Pics[emoji116]
View attachment 2572132
View attachment 2572133
haipo playstore ipo kwa muundo wa webHii app ipo playstore?
Nawezaje kuipata kama natumia kifaa cha Android?haipo playstore ipo kwa muundo wa web
Sawa Dr,Dr,
Hata sisi wa Web ipo moja pia. Usijali..
Inafanya kazi.Je imefungwa kwa muda.
Ndio naipataNyie mbaipata?
https://poe.com/
Tuma link halisi
https://chat.openai.com/chat
Sasa mbona ipo vizuri?. Kuna nafasi hapo chini..