Mmezipata habari za ChatGPT? Automation inatishia ajira za watu

Mmezipata habari za ChatGPT? Automation inatishia ajira za watu

Wewe ndiye mpumbavu unayeamini kila kitu bila kuchuja wala ku-digest!
Kuna kitu kinaitwa " mens rea"! Hicho hiyo AI hakiwezi kuwa nacho kwasababu ya kuwa iko programmed! Hiyo mens rea ni Natural Intelligence na siyo Artificial Intelligence na hivyo perfection haiwezi kufikiwa!
Unataka attention tuu, potezea kama huna cha kuchangia
 
Wewe ndiye mpumbavu unayeamini kila kitu bila kuchuja wala ku-digest!
Kuna kitu kinaitwa " mens rea"! Hicho hiyo AI hakiwezi kuwa nacho kwasababu ya kuwa iko programmed! Hiyo mens rea ni Natural Intelligence na siyo Artificial Intelligence na hivyo perfection haiwezi kufikiwa!
Hakuna programming kwenye AI technology, only training
 
Ni hii Matawi ya juu ?

Screenshot_20230103-090000_1.jpg
 
Hili dude ni noma wanakwambia baada ya miaka kama mitano kuna ajira zitaondoshwa ila hii ni fursa nzuri sana kama ukijua kuitumia kwa sababu unaweza tumia free APIs zake kutengeneza product yako na ukapiga $$$$ za kutosha
 
Kudadeki dunia ni kijiji acha technology ifanye yake wale wa barua nzuri ni mwendo wa ku-copy na paste 🤪🤪
 
Kudadeki dunia ni kijiji acha technology ifanye yake wale wa barua nzuri ni mwendo wa ku-copy na paste 🤪🤪
Ila ina hatari kubwa sana ya kutengeneza vitu vinavyofanana hasa kwenye uandishi wa CV na cover letter...
Naamini kwenye content writing inachuja... na nimeona inaweza kupa plagiarism ya hadi asilimia 20...
 
Hili dude ni noma wanakwambia baada ya miaka kama mitano kuna ajira zitaondoshwa ila hii ni fursa nzuri sana kama ukijua kuitumia kwa sababu unaweza tumia free APIs zake kutengeneza product yako na ukapiga $$$$ za kutosha
Bad enough ni moja ya plugin ambayo unaweza iplug kwenye WordPress
 
One thing that I know for sure, THEY WILL KEEP IMPROVING IT. Actually, wameiachia bure watu waitumie kwa sasa sio kwa lengo la kuwasaidia watu, au kuwafaidisha watu, bali wameiachia ili wajue mapungufu ya ChatGPT kabla hawajaiachia rasmi, pengine kwa mfumo wa App, au browser extension etc. Kwa lugha nyepesi, hivi sasa hii ChatGPT iko kwenye Beta version, bado wanaifanyia maboresho - na njia nzuri ya kujua mapungufu yake ni kuruhusu watu waitumie. Na kadiri watu wengi wanavoitumia ndivyo inavyozidi kuwa smart.

Binafsi naitumia kuandika baadhi ya code, then kazi yangu inabaki ku-edit baadhi ya vitu; and I am loving it!🥳 Wakati huo kule Discord kuna binamu anaitwa Midjourney - tunamtumia kutengeneza images - and it is jaw dropping epic!
 
Binafsi naitumia kuandika baadhi ya code, then kazi yangu inabaki ku-edit baadhi ya vitu; and I am loving it!🥳 Wakati huo kule Discord kuna binamu anaitwa Midjourney - tunamtumia kutengeneza images - and jaw dropping epic!
Safi sana.
 
Pamoja na yote, kuna baadhi ya wana JF hawapo updated na mambo yanayoendelea huku duniani.

Juzi juzi hapa kampuni ya openAI ilizidua chatbot yao (chatGPT) mpaka sasa ndani ya siku hizi 5 -7 imesha pata zaidi watumiaji 1M

honesty ukiachana na viumbe hai, kitu nacho kipenda cha kwanza ni computer pamoja na mifuo yake.

Kwa maoni yangu huu ni mfumo hatari zaidi wa computer miaka mi 3 - 5 ijayo. Jaribu kufikiri mfumo wa computer unweza kundaa dissertation au Thesis, mfumo unaweza kuandika essay, unweza kukupa ushauri etc

Pia cha ziada mfumo unweza ku program software kwa language mbalimbali Java, Js etc.

Ikitokea siku watu wabaya wakiutumia itakuaje, Duniani hakuta kalika. Bora tuanze kwa kuzuia kwa kuanza kuupiga marufuku
 
Back
Top Bottom