Mmezipata habari za ChatGPT? Automation inatishia ajira za watu

Mmezipata habari za ChatGPT? Automation inatishia ajira za watu

Screenshot from 2023-01-13 20-18-23.png

Screenshot from 2023-01-13 20-19-08.png

screenshot-from-2023-01-13-20-19-26-png.2479852

Screenshot from 2023-01-13 20-19-43.png
 

Attachments

  • Screenshot from 2023-01-13 20-19-26.png
    Screenshot from 2023-01-13 20-19-26.png
    34.5 KB · Views: 65
Hii kitu nimekuwa nikicheza nayo kama week sasa, kwa kweli hii kitu iko vizuri sana na nimeipenda sana, nimeijaribu vitu vingi, niliiambia iandikie love letter to my x girlfriend, nikaiuliza iniambie kuhusu Julius Nyerere na inionyeshe speech yake ambayo ni muhimu sana , nikaiambie inifundishe calculus, nikaiambia iniandikie thank you note to my co worker, nikaiuliza kama inajua kiswahili, nikaimbia iandike short essay kumaliza umaskini Tanzania etc kwa kweli i was impressed na majibu yake na kila kitu chake, ni kama unaongea na binadamu mwenzako ambaye ni genius na ana majibu yote, ijaribuni then muweke matokeo hapa
Mkuu..nitatakiwa kulipia?
Naona kuna malipo ya wiki na ya mwezi
 
ChatGPT ni nzuri lkn ndio mwanzo na step nzr ya tech colonialism.

Wanaenda ku-cap knowledge ya watu. Duniani tutajazwa garbage na itafikia hatua kutakua na wataalam wachache saaana na hao watamilikiwa na mamlaka zilizolenga kufaidika na huu ukoloni, kwangu chatGPT ni kama game tu au assistant, naipaga movies nnazopenda then inanipa suggestions kutokana na taste zangu, na pia kwa sababu napenda Ancient chinese poetry huwa naiambia initungie poems kwa style za kina Zhuge Liang, Cao Cao etc..... Ila hata siku moja siwezi fanya kitu serious na chatGPT.

In simple terms hii AI model imetrainiwa kutokana na data watu walizoandika mitandaoni toka enzi zile. Sasa kwa speed hii nmeona blog posts nying zimeanza kutumia hii AI generated content. Kwa maana hio in 2 to 5 years ChatGPT itakua inalearn kutumia 'its own output' coz ndo zitakazokua zimejaa online kpnd hiko and trust me kama ushafanya AI development na ukajaribu kutrain model yako kwa output yake basi unafaham kiakachokukuta. Ni kama vile binadam uwe unakula nnya yako. Facebook na twitter wanajua vzr madhara ya hio kitu coz iliwatokea kwenye algos zao za newsfeed suggestion kpnd fln miaka ya nyuma.


Mitandao inayoendeshwa na akili kubwa kama StackOverflow wameshazuia hizo content kutoka ChatGPT
Unawezaje ku detect kama content imekuwa generated na AI model kama ChatGPT?
 
Nimejaribu hii kitu na kiukweli kwa mara ya kwanza tekinolojia imenifanya nitafakari sana. Maana inaenda kubadilisha vitu vingi. kwa mfano.

1. Itafanya wanadamu tuwe lazy...hii ngoma inafanya kila kitu mtu anachoweza kuandika na kwa ufasaha. Kwa mgano juzi nilikuwa nataka kuandika cover letter...ambayo kiuhalishia ingenichukua kama 1 hr kupangia lugha na content...lakini ngoma hii iliniandika kwa dk 1. Niliedit tu mstari mmoja..ili kila kitu fresh.

2. Itapunguza ajira. Hizi kazi za consultancy na nyingine kama hizo nyingi zitapungua. Maana hii ngoma ni consultant anaye jua kila kitu.

3. Mashuleni na vyuo inabidi wabadilishe mfumo wa ku asses wanafunzi. Kwa mfano hizi homework/group work zitakuwa hazina maana tena. May be sasa inabidi ziwe complex localized scenario ambayo chatgpt haiwezi kuwa na majibu yote..lakini bado inaweza kusaidia kukupa idea za ujumla.

Hizi research za masters na PhD inabidi kutafuta mfumo mwingine. Otherwise ngoma itaandika thesis na mwanafunzi ku submit. Na cha ajabu haifanyi plagarise.
 
3. Mashuleni na vyuo inabidi wabadilishe mfumo wa ku asses wanafunzi. Kwa mfano hizi homework/group work zitakuwa hazina maana tena. May be sasa inabidi ziwe complex localized scenario ambayo chatgpt haiwezi kuwa na majibu yote..lakini bado inaweza kusaidia kukupa idea za ujumla.
Kwa bahati mbaya hatuna wanafunzi ambao ni smart. Wengi wataishia ku_copy na ku_paste kila kitu.
 
Back
Top Bottom