Mmezipata habari za ChatGPT? Automation inatishia ajira za watu

Mmezipata habari za ChatGPT? Automation inatishia ajira za watu

Wakuu kama kichwa cha habari kilivyojieleza.

Nimepata hamasa sana baada y kusikia habari za chathpt 4 ambayo ni ina real-time response hii tunayotumia ina limited data ya 2021.

Kwahiyo naweza vipi kuiaccess chatgpt 4 maana, link nyingi zinakuleta kwenye hii ya sasa ambayo ni chatgpt 3.

Msaada wakuu wa kielimu.
Bing chat inatumia model za gpt-4 nafikiri ni free ila unasubiri uwe waitlisted kwanza, ama lipia premium kwenye chatgpt ya kawaida upate acces ya hio gpt-4
 
Waliolipia ile wanasema hamna cha ajabu.
Unajua unaweza ukawa una kitu lakini hujui kukitumia mwisho wa siku utaona hakina maajabu. Nmeona watu huko LinkendIn wanatumia kufanya vitu ambavyo vinastajabisha
 
kama kichwa cha habari kinavyojieleza binafsi nimetumia sana chatgpt ila nilipo jaribu kutumia bard sikutaka kuendelea sana labda kutokana na mazoea niliokuanayo kutoka chatgpt, kwanza kilicho nifanya nisiendelee kuitumia ni kutokana na mfumo wake upo tofauti sana, hauneshi mada inazungumzia nini

Pili ni lugha chache sana inazozielewa

yapo mengi ila kama nilivyoelezea hapo mwanzo nimeshindwa kuendelea kuitumia naona bado ipo nyuma sana kulinganisha na chatgpt ingawa chatgpt inadata za 2021 ila ni helpful sana

kwa mlioitumia mnaweza kutuambia ubora wake upo wapi

NOTE: Sijasema kuwa haifai wala haina uwezo bari hayo ni maoni yangu binafsi kulingana na matumizi yangu, na inaweza kuwa bora zaidi ya chatgpt kwa hilo msiniquote vibaya.

sas.PNG
 
Ni sahh. Chat ana data za nyuma ila zimeshiba. Huyu bard hadi kifo cha membe anakijua ila hana nyama nyingi na pia anasema anajua lugha nyingi ila hawez kutumia. Naona wapo under maintenance. Ila wakitulia watakuwa poa

Sent from my 2201117TG using JamiiForums mobile app
 
"chatgpt inadata za 2021"
Sijaelewa hapa kwamba hamjui magu au?
 
kama kichwa cha habari kinavyojieleza binafsi nimetumia sana chatgpt ila nilipo jaribu kutumia bard sikutaka kuendelea sana labda kutokana na mazoea niliokuanayo kutoka chatgpt, kwanza kilicho nifanya nisiendelee kuitumia ni kutokana na mfumo wake upo tofauti sana, hauneshi mada inazungumzia nini

Pili ni lugha chache sana inazozielewa

yapo mengi ila kama nilivyoelezea hapo mwanzo nimeshindwa kuendelea kuitumia naona bado ipo nyuma sana kulinganisha na chatgpt ingawa chatgpt inadata za 2021 ila ni helpful sana

kwa mlioitumia mnaweza kutuambia ubora wake upo wapi

NOTE: Sijasema kuwa haifai wala haina uwezo bari hayo ni maoni yangu binafsi kulingana na matumizi yangu, na inaweza kuwa bora zaidi ya chatgpt kwa hilo msiniquote vibaya.

View attachment 2618892
Wanaifanyia majaribio...
 
Bardi hajui kiswahili mshenzi tu
Nabaki na Chatgpt kwanza huwa mpaka ananiomba samahani akiona anaingia chaka[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bard ina uongo mwingi balaaa 😂😂😂 licha ya kujiita wapo na latest info
 
Ni "Jaribio", wanategemea itakua vizuri kadri tutakavyo itumia
Kwa jibu ambalo hulipendi "Dislike" unalopenda "Like", hivyo ndiyo tunavyo lipia service ya "Free"
Ni hizi "Huma Feedback" ziilizofanya ChatBot iwe hivyo ilivyo

Google wame index Internet nzima, hivyo "data zilizo shiba" zipo kwao, Bard ipo nyuma ya ChatGPT cause ChatGPT ilianza kuwa trained na Human Feedback mda mrefu

Advantage ni kwamba Bard ipo Faster, na kuna uwezekano mkubwa ikawa Free
 
Bard hawajatulia bado ila watakuja kua moto sana.

ChatGPT kwa sasa ni mwisho wa matatizo.

Kuna Al.X ya Elon Musk. Hii bado haijatoka ila tutegemee itakuja kua matatizo makubwa mbeleni.
 
Bard hawajatulia bado ila watakuja kua moto sana.

ChatGPT kwa sasa ni mwisho wa matatizo.

Kuna Al.X ya Elon Musk. Hii bado haijatoka ila tutegemee itakuja kua matatizo makubwa mbeleni.
Elon Musk nae amekuaje tena si ameisha kataa haya mavitu
 
Back
Top Bottom