Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
DDO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imani yangu haina uhusiano wowote na kazi uliyojipa ya kutoa hukumu. Kuna tofauti kati ya kukemea dhambi na kuhukumu wenye dhambi. Sasa ili turudi kwenye curiosity yako juu ya aliyetangulia kwamba atajibu nini tuambie kwanza kuhusu wewe, umeshamalizana na MUNGU wako? Huna dhambi?Kwani marehemu alizitaja dhambi zake au ilikuwa inaeleweka na kuonwa na kila mtu kuwa anafuga danguro na kuuza pombe?nijibu wewe ni mkristo?
Hakuna jibu lolote hapo lenye akili. Kwamba dhambi ni zile zinazoonekana tu? Wanaojifungia chumbani na kufanya yao wenyewe wakifa? Huyu aseme kama yeye keshamalizana na MUNGU wake ndipo atapata wa uhalali wa kuuliza kuhusu mwingine.Jibu lenye akili zote saba
Somo la delegation na division of labor limewapita watu wengi....!Watu wenye biashara na mishe mishe nyingi hiyo concentration unaipataje? Unadhani ni kwa nini hata serikalini wakurugenzi na ma CEOs wanaendeshwa? Ukiwa na uwezo make sure una kuwa na good driver hasa kwa safari ndefu, ili upate muda wa kujikita kwenye mishe mishe zako .
Nakereka mno dhidi ya hawa wenzetu wasiozingatia lugha sanifu ktk uwasilishaji maoni yao
Mimi huwa ninawaonya kila nipatapo nafasi.Kuna uzembe sana barabarani. Watu wanaendesha kama wehu. Yaani ajali nyingi ni za uzembe
Maneno mengi au wewe ni mtoa huduma wa chako ni chako? Kuna nilipomuhukumu ? Kwanini unakataa kutaja dini yako binti yangu unaogopa nini?Imani yangu haina uhusiano wowote na kazi uliyojipa ya kutoa hukumu. Kuna tofauti kati ya kukemea dhambi na kuhukumu wenye dhambi. Sasa ili turudi kwenye curiosity yako juu ya aliyetangulia kwamba atajibu nini tuambie kwanza kuhusu wewe, umeshamalizana na MUNGU wako? Huna dhambi?
Umeshamalizana na MUNGU wako huna dhambi ili tuone iwapo una uhalali wa kuhoji majibu atakayotoa marehemu kwa Muumba wake kuhusu dhambi zake?Maneno mengi au wewe ni mtoa huduma wa chako ni chako? Kuna nilipomuhukumu ? Kwanini unakataa kutaja dini yako binti yangu unaogopa nini?
kuna ugumu gani kutaja dini yako? Kwa mujibu wa dini yako ipi ni hukmu ya mtenda dhambi mbele za muumba wake?Umeshamalizana na MUNGU wako huna dhambi ili tuone iwapo una uhalali wa kuhoji majibu atakayotoa marehemu kwa Muumba wake kuhusu dhambi zake?
Dini yangu inahusiana nini na hili swali? Jikite kwenye hoja boss.
Masuala yake na Muumba wake yamekugusa kuliko yako na Muumba wako?kuna ugumu gani kutaja dini yako? Kwa mujibu wa dini yako ipi ni hukmu ya mtenda dhambi mbele za muumba wake?
Muumba wangu mimi ndie wake...nimekuuliza kwa mujibu wa dini unayoiamini wewe ni ipi hukmu ya mtenda dhambi mbele za Mungu?Masuala yake na Muumba wake yamekugusa kuliko yako na Muumba wako?
Hukumu yake imekugusa kuliko inayokusubiri wewe siku yako itakapofika?Muumba wangu mimi ndie wake...nimekuuliza kwa mujibu wa dini unayoiamini wewe ni ipi hukmu ya mtenda dhambi mbele za Mungu?
Ulisikia wapiChako ni chako si ndo sehemu maarufu kwa malaya wanaojiuza hapo dom ? Au siyo pale?
HahahahaKutiza[emoji777]
Kutoza[emoji736]
Toa kibanzi kwenye jicho lako kwanza
Ajari au ni Ajali?Ajari hizi [emoji46]
Bar wanauza niniBidhaa gani?
Yule binti si ana mimba kubwa tu 🤦🏻♀️Thubutu, na hivi hajazaa nae labda huruma za waliotaka kuwa mkwewe
Maelezo nilishatoa humuhumu kwenye uzi huu huu.Mbona Bar ya Chako ni Chako ni ya muda mrefu mno sasa kama unasema huyu ni wa mwaka 1989 maana yake hawezi kuwa ndiye mmiliki mwanzilishi vinginevyo awe aliinunua ama alirithishwa.