Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa Jabali la Siasa usijaliTupatie tu mwelekeo wa huyu Bwana baada ya hiki kifo
anawamilikiKwani marehemu ana husika je na malaya wanao jiunza hapo kwake? Naona unataka kumhukumu.
😂😂😂kweli upo sawa kichwani wewe? Huyo marehemu hafai kuigwa katika jamii sasa mtu anauza pombe na kumiliki danguro hivi kwa akili yako unaona ni mtu aliyekawa bora katika ustawi wa jamii kiujumla?wewe ni mkristo tatizo hapo kwa ushaamini Yesu kachukua dhambi za huyo aliyekataa kutii sheria za MunguHukumu yake imekugusa kuliko inayokusubiri wewe siku yako itakapofika?
Mkuu, tumepewa habari za msiba, huu ni msiba mzito kwa watu wanaomhusu huyo aliyefariki. Mambo ya dhambi zake ni yeye na MUNGU wake kama ilivyo wewe na dhambi zako zitakavyokuhusu wewe na MUNGU wako utakapofariki, unless useme wewe huna dhambi ila kama unazo, huna haki ya kuhoji majibu yake kwa MUNGU wake.
Atazaa mrithi, hivyo msimalize mali ya mtotoNi sawa, ila kimahesabu tunasema hajazaa nae wala kufunga nae ndoa
kabisa refer kampuni ya ngorika bus zimepaki mpaka sasa.Rip - hapo kinachofatia ni kugombania mali na mwisho chako ni chako itabaki jina hapa ndo tunajifunza success is about good management on top
Duh mahesabu makali haya 🔥Ni sawa, ila kimahesabu tunasema hajazaa nae wala kufunga nae ndoa
Nilijua itakuwa hiyo chuma...wenye V8 wanajua wanavyopata shida wakikutana na brevis hasa zile 300iNdio ni Brevis
Duh ni mtihani.Yule binti si ana mimba kubwa tu 🤦🏻♀️