mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaeneza injili,
Ashura macheni nae alishakufa kama sikosei kati ya mwaka juzi alizikwa iringa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ah mamb ya duniani ayaache tuAnaeneza injili,
Ufunuo unasema injili itahubiriwa dunian kote mwenye masikini as ikiendelea [emoji16][emoji16]
UKIMWI sio jambo la kumcheka ntu maana hatuwi na wenza wetu kila mahali. Yaani hatujui. Unaweza kupata ajali kesho asbh ukaongezewa dawa yenye ngoma. Tuzidi kuomba sio kusanifiana. Vifaa vya kupimia damu vimechakachuliwa ++Duh 😷 kwa hiyo Mkuu na wewe ulipata ukimwi
Umetoa maelezo ambayo kila mtu anayajua lakini hukujibu swaliUKIMWI sio jambo la kumcheka ntu maana hatuwi na wenza wetu kila mahali. Yaani hatujui. Unaweza kupata ajali kesho asbh ukaongezewa dawa yenye ngoma. Tuzidi kuomba sio kusanifiana. Vifaa vya kupimia damu vimechakachuliwa ++
Kuna dogo kasema na mimi niliukwaaUmetoa maelezo ambayo kila mtu anayajua lakini hukujibu swali
Pole sana, ARV ni nzuri sinasaidia sana, si unaona hadi leo upo hai ✌️Kuna dogo kasema na mimi niliukwaa
BRT imepita na mengi sanaBarabara ya DART illifanya Kifusi. No more Macheni Bar.
We mbona nawe hunielewi. Mimi nimeanza kutumia kondjom kabla ukimwi haujaingia Tanzania. Sijui rangi ya ARVPole sana, ARV ni nzuri sinasaidia sana, si unaona hadi leo upo hai ✌️
Sijui mkuu nshahama mitaa ile, ilikua zamani sana Rama na mikato yake ya LLCool J mara chizi kwa ashuraNasikia Rama amepona siku hizi. Alipata uchizi kabisa
Siku kaishiwa macheni alianza kuwa kuwadi wa mkewe ,huku ashura anagongwa na wacongo bure msingi kiuno.... @inamambo macheni iliyumba kabla BRT haijaanza, walishanza kuhamisha nguvu kwenye bar ya mke wke ashura kinondoni, ilikuwa style hzo hzo za macheni
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Allah hamsamehe. Lakini kwa kuuza pombe atamsamehe kweliHuseein mmiliki wa Bar....Dah Allah amsamehe...
Hongera aisee miaka hiyo HIV haikuwepo kivile mzee ulikuwa unajisevia totozi za kutoka mkoaDah....nimekula sana totoz hapo kwenye baa yake miaka ya 90.
Apumzike kwa Amani.
Amepona ila kachoka sasa.Sijui mkuu nshahama mitaa ile, ilikua zamani sana Rama na mikato yake ya LLCool J mara chizi kwa ashura
Mke wake mwenyewe alikuwa shpshutaSiku kaishiwa macheni alianza kuwa kuwadi wa mkewe ,huku ashura anagongwa na wacongo bure msingi kiuno.
Unamzungumzia Rama baunsaSiku kaishiwa macheni alianza kuwa kuwadi wa mkewe ,huku ashura anagongwa na wacongo bure msingi kiuno.
Amepona ila kachoka sasa.